Nguo auze yeye? Watu wameuza manguo huko mtaa wa congo nawaona tangu niko shule hadi leo hawana ubilionea wowote itakua yeye.Hawa motivational speaker hufanya vijana wapate stress kwa kuhangaika tu bila mafanikio huku wenzao wanauza nguo eti ni mabilionea wakuingia hadi contract na Simba kumbe behind the scene wanafanya ma illegal bussiness.
Hatari Sana mkuu wanajificha kwenye kuuza nguo na iPhone now days kumbe NGADAHawa motivational speaker hufanya vijana wapate stress kwa kuhangaika tu bila mafanikio huku wenzao wanauza nguo eti ni mabilionea wakuingia hadi contract na Simba kumbe behind the scene wanafanya ma illegal bussiness.
Wacha kujiaminisha ujinga wewe, nani aliyekuambia kujamiana ni dhambi?Siyo hao tu hata Mapadre na Masista sasa wanaweza kuwa na watoto bila kutenda dhambi ya kuzini.
Matusi ya nini katika uzi wa umbea?Wacha kujiaminisha ujinga wewe, nani aliyekuambia kujamiana ni dhambi?
Aisee πππMatusi ya nini katika uzi wa umbea?
Mbona sijakutukana?Matusi ya nini katika uzi wa umbea?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Sijaelewa naona kama umeelezea jinsi vvu vinasambaa
Na ukiangalia maduka yake hayana wateja kivile sasa unashangaa eti ni bilionea lohNguo auze yeye? Watu wameuza manguo huko mtaa wa congo nawaona tangu niko shule hadi leo hawana ubilionea wowote itakua yeye.
Kwa kweli technology imesaidia sana lohSiyo hao tu hata Mapadre na Masista sasa wanaweza kuwa na watoto bila kutenda dhambi ya kuzini. Surrogacy ndiyo mpango mzima kwa sasa. Sista anabaki na bikra yake maana ovaries zinatolewa kwa sindano
Yes hivi nguo hizi hizi uwe bilionea wa kuingia contract Eti na Simba club.Hatari Sana mkuu wanajificha kwenye kuuza nguo na iPhone now days kumbe NGADA
Hahahahahah atleast inaleta heshimaHivi mama ntilie anaweza kukaa Masaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Matusi ya nini katika uzi wa umbea?
[emoji23][emoji23][emoji23]Hili spy kuweni makini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti tuna upiga mwingi mno
We anza kuitisha ili ukajifunze neno mahabusu kwa vitendoπ !Tungekuwa tunachambua vifungu vya katiba hii na rasimu ya Warioba kwa weledi kama uliotumika kwenye huu uzi, Kesho Samia angeitisha bunge la katiba
ndio hivyo tena cha kufia nini? Wacha nile ubuyu tu
π π π π π π π imeisha hiyoAjali kazini!kufa kulala kaburi tutaa
Hahaha itakuwa gari na B inayotumiwa na muhindi. Wahind wanatunza magari aseeMimi nahisi sijui b iliyochangamka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe wasemaHahaha itakuwa gari na B inayotumiwa na muhindi. Wahind wanatunza magari asee
Shangazi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mama biskuti ni ex wa mkata mauno wa (waclean bebi)na bar ilikua maikocheni nao iko nje ya mji hukoo!!!