Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Ss hv mpare angekua mrs fulani, mana hd kwny msiba alipewa kipaumbele sn km mke vile, dah sema ndo hivo kifo kimeharibu mambo.
Hahahah ila mpare anamvuto kama yai la kisasa bana sio ile furu minjiks (Era-lighting mke spit out)
Naona hata wana Muleba walielewa chombo af kitoto kidogo kibichi!

Nahisi baada ya taarifa ya condolences minjiks alipop champange huko aliko na kibent 10 wake shebby chogo!
 
Watu hawaelewi tu dharau na majigambo si mazuri halafu huyo mr slow slow si kazaa na yule bongo movie aliyekuwa anataka ubunge
 
Acha kabisaa halafu mzee ana damu kali hatarii yule mtoto na yy kafata kwa mdingi akee sema bidada yupo vzuri haswaa hanaga mashow off
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji28]imebidi nichekeee!km madam ticha enzi uviko jiwe akasema "muambie mmeo anisamehe nakupigia mpk SAA nane usiku" Mme mwenyewe ndo yeye sasa[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]anajikoshaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 dah mtoto “Ooh Me Ticha” ndio aliambiwa hivyo dah...,Ila Jabali alikuwa na vituko sana yule mzee nitamkumbuka sana 😂😂😂😂 eti mume mwenyewe ndio yeye sasa!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…