Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Yule binti mwenye migahawa mnamwitaga sijui shishi sijui nani na mobeto pamoja na na kina joket hawa Wana Akili kuzidi hawa wajinga wasiojielewa kabisa Kama wakina wema na Uwoya.
Shilole ana akili na alitokea kwa shida so anajua maisha ni nini hata akidanga Shilole ana nyumba kadhaa pia analea wale mabinti zake vizuri tuu.

Hamisa na yeye baada ya kuchekwa na watu na kuzalilishana na kina Mama Dangote na kina Zarina akapata akili mpaka sasa ana mjengo wake mzuri tu mjini, na hata Joketi hawawezi kufa njaa shida ni kubwa jinga uwoya ana danga na kufanya show off ka za teenager ha think about future aisee.

Vera sidika kadanga vya kutosha na kuwekeza hana stress kajioopolea ki Ben ten chake anakula life
 
Natabiri baada ya Vera kuzaa wataachana, ujue vera alitaka mwanaume mzuri ili angalau apate katoto kazuri.
Ila nowdays hii tabia ya wanaume kuolewa na wanawake inakua sana
Hii ndo imeshamiri mjini na hata huku mtaani.

Yani sio poa na kweli Vera akizaa anaachana na jamaa maana sion shuhuli yoyote inayompatia kipato huyo kijana.

Vera akizaa atarud kudanga apate pesa za kumsomesha mwanae badae

Hii ni kama tuu kwa kina Tunda na Whozu
 
Natabiri baada ya Vera kuzaa wataachana, ujue vera alitaka mwanaume mzuri ili angalau apate katoto kazuri.
Ila nowdays hii tabia ya wanaume kuolewa na wanawake inakua sana
Watoto wa kiume wa sasa hivi wanatia haya sana na hawana aibu hata kidogo yaani wanadanga kushinda wanawake
 
Kile alichopost ni cha nani?
Wewe labda kanunua juzi baada ya kuchambwa na mashosti zake,maana walikua wanamcheka yeye na wema kua hawana lolote.

Wema kwa sasa kaishiwaa kaenda kukaaa Mbagala kuuu huko hana lolote na anajutaaa kukata utumbo yaani anajutaa mnoo maana hana soko tena wanaume walikua wanataka manyama nyama.

Wakaja kwa Uwoya wakasema muache amwage hela hata kiwanja hana wanaringia nyumba za wazazi wao tu mjini!

Yaweza kua amenunua baada ya kuona watu wanamshambulia sana
 
Mdogo wa rafiki yangu Nigeria alikua anatoka kimapenzi na senator wa nchi yao. Danga alikua kwenye ule mkoa wa mafuta.
Bibi yule alipelekwa Ufaransa shopping, Marekani kuona mji na kutoa ushamba. Dubai ilikua ni weekend trips tena na mashost. Handbags, viatu na perfume alinunua YSL, Gucci, na Channel.

Alishazoea kulala five star hotels. Mzee alikua ana credit account yake kila mwezi. Kwakua yuko busy na familia yake walionans kwa nadra sana.

Siku danga liliposema it’s over between us dada alipata mental break down.
Duh,wanajisahau sana

Ova
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom