Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
YeahKatoka shopping
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YeahKatoka shopping
Niliwahi kupewa Story, Kuna Mvlana kawapitia wasanii wengi, anamsifia sana Lulu na anamponda Wema eti Hana maaajabu😁Ndumba tu kuzidiana baaasii!!!na kale kashoti chesisi kikichukua bwanaa ako harudi ng'ooooo!!!unaambiwa kanajua mambo balaa..ukiplus ndumba tenaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji119][emoji119][emoji16][emoji16][emoji3]hatarii anaonekana yule hata Uwoya nae wanadai yuko vzr kwa bedNiliwahi kupewa Story, Kuna Mvlana kawapitia wasanii wengi, anamsifia sana Lulu na anamponda Wema eti Hana maaajabu[emoji16]
Wadada wa mjini sio wa kuwalia Yamini best wao nyuma mbele,mbele nyuma...kale katoto hakuna zambi hajafanya!!!!Eti ni kweli anatoa Tigo?
Yes ukijibu kabla wazungu hawajaingia utaahidi hadi kutoa mbingu[emoji1787]
Ewaaa....ndani alifunga CCTV bwana mdogo kaja kuilia home kabisaa....mchezaji Mpira tena wa hizi timu zetu 3 kubwaa....!!!!Kwahio yule JB wa mwendokasi ndio alimgumia mkewe analiwa mchebwedee mjengoni[emoji28][emoji28][emoji28]
Moyo wauma kodi zetu wananchi zinachezewa siye....Leo hii Mimi kutoa elf10 nikatwe buku mbili kweli?!!!Mungu anawaonaaa hawa lidaz na watalaaniwacariha
reymage
Extrovert
Dada yenu anazidi kufanya upande cheki video hii ya leo
View attachment 1888621
Sasa yeye show alikua anaweza au mbwembwe tuu!!!Alimchitiiiii[emoji23] jabali alikua hataki kuchitiwa
Anhaaa nimemtaja hapo shooo au hujampata fureshiii[emoji3]
Hii code ya huyu mdada sijaijua mpaka sahvi nduguJinga tu kashazoea mijubuleng ya wacheza Mpira show sio kitoto final kama Barcelona na Madrid aka el classico ,sasa bwana handsome busy na kaazi akirudi cha kispos hoii!bin taabu kimoja tu chaaali!
Ndo aliporudi kazini kwake kutafuta utamu kafumwa kaachwa...kapoa kama maji kimyaaa!
Kakosa mwana na maji ya moto!!!
Jinga sana lile dada uzee wote akili kisoda
Mm imegoma kufunguka nini hii umbea suna mweeh[emoji39]Moyo wauma kodi zetu wananchi zinachezewa siye....Leo hii Mimi kutoa elf10 nikatwe buku mbili kweli?!!!Mungu anawaonaaa hawa lidaz na watalaaniwa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]khaaaHatari hao wadada walimdunda mwenzao ila alikuwa na focus na target zake, Mimi mtu akinidunda kisa mumewe ndo simwachi nazaa na mtoto kabisa na mumeo loh
Mcat (mpaka) way (njia)Border ni (Mpaka)! Na way ni (njia)! Sasa unganisha maneno yaliyo kwenye mabano
Yule shogaake director joan na yy anauzaga vipodozi kuna kpnd alikua anafundisha kupika onlineHii code ya huyu mdada sijaijua mpaka sahvi ndugu
Nampongeza Yule msanii wa kibao cha wanawake na maendeleo kwan hajatajwa popote katika huu uzii kabisa mana yake
Ni sehem sahihi pale
Balaa...hivi mtu kama Mrs Efm Leo amkute mmewe na demu ukute nae atamind akati yeye ndo alikua bingwa wa kuiba waume za watuu!!!
Huyo Mr Singeli anawalamba kama wote, anakuja nao mpk kwenye vikao yule Malkia wa uingereza habari yake ishaisha ametulia tu saiviWotazo kwa kile kidemu aiseeeee! Ya skendo zote zile,Mwamba aliziba masikio! Akavuta chuma ndani! Aiseeeee! Suala la Marehemu kahausi na suala la Marehemu yule Mzee kaputeni Yohana Kamba!!
Sijampata fureshi shostiAnhaaa nimemtaja hapo shooo au hujampata fureshiii[emoji3]
Itakuwa wema sikuhz kachunda maana hadi ck kumuelewa ni alimpa matashtiti balaa, na wengne waliopita wanasema ni km alikua ana jini mahaba akifika kwa bed[emoji3]Niliwahi kupewa Story, Kuna Mvlana kawapitia wasanii wengi, anamsifia sana Lulu na anamponda Wema eti Hana maaajabu[emoji16]
Sisi huyu aliyeko Dubai bwana katelefoni anahonga tuu!!hela zetu za kodiMm imegoma kufunguka nini hii umbea suna mweeh[emoji39]
Afu ujue mr singeli alizaa kweli na yule chikonda wa magic fm... mweeh umbea utatuua wallah[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Mr Singeli anawalamba kama wote, anakuja nao mpk kwenye vikao yule Malkia wa uingereza habari yake ishaisha ametulia tu saivi
Sent using Jamii Forums mobile app