Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Jinga tu kashazoea mijubuleng ya wacheza Mpira show sio kitoto final kama Barcelona na Madrid aka el classico ,sasa bwana handsome busy na kaazi akirudi cha kispos hoii!bin taabu kimoja tu chaaali!

Ndo aliporudi kazini kwake kutafuta utamu kafumwa kaachwa...kapoa kama maji kimyaaa!
Kakosa mwana na maji ya moto!!!
Jinga sana lile dada uzee wote akili kisoda
Hii code ya huyu mdada sijaijua mpaka sahvi ndugu
 
Nampongeza Yule msanii wa kibao cha wanawake na maendeleo kwan hajatajwa popote katika huu uzii kabisa mana yake
Ni sehem sahihi pale
Balaa...hivi mtu kama Mrs Efm Leo amkute mmewe na demu ukute nae atamind akati yeye ndo alikua bingwa wa kuiba waume za watuu!!!
Wotazo kwa kile kidemu aiseeeee! Ya skendo zote zile,Mwamba aliziba masikio! Akavuta chuma ndani! Aiseeeee! Suala la Marehemu kahausi na suala la Marehemu yule Mzee kaputeni Yohana Kamba!!
Huyo Mr Singeli anawalamba kama wote, anakuja nao mpk kwenye vikao yule Malkia wa uingereza habari yake ishaisha ametulia tu saivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kupewa Story, Kuna Mvlana kawapitia wasanii wengi, anamsifia sana Lulu na anamponda Wema eti Hana maaajabu[emoji16]
Itakuwa wema sikuhz kachunda maana hadi ck kumuelewa ni alimpa matashtiti balaa, na wengne waliopita wanasema ni km alikua ana jini mahaba akifika kwa bed[emoji3]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom