Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Jinga tu kashazoea mijubuleng ya wacheza Mpira show sio kitoto final kama Barcelona na Madrid aka el classico ,sasa bwana handsome busy na kaazi akirudi cha kispos hoii!bin taabu kimoja tu chaaali!

Ndo aliporudi kazini kwake kutafuta utamu kafumwa kaachwa...kapoa kama maji kimyaaa!
Kakosa mwana na maji ya moto!!!
Jinga sana lile dada uzee wote akili kisoda
Codes zote nimepata 98 ilanhapa. Nitakujia inbox Kama sitaelewa huko mbelen niponpage ya 50
 
[emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38]kasoma na ukute Mr.katelefoni kamuambia come back mkeka umechanikaa hukuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]mkeka kweli umechanika JF si ya kuchezea na baada ya Siri kujulikana atapata kibuti. Hivi hawawezi kula kimya kimya hawa ma slay queen
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom