Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
“Heart machine” nae anapigwa makita?
Huyo niliambiwaga zaman na dogo m1 anapenda penda kuimba ..aliendaga kwenye studio yao nadhna maeneo ya kiwalani nadhan..alikua na yule herri muzik..unambiwa dogo alishuhudia wanakulana denda studio huyo jamaa na manager wao anaitwa ki...... nilishangaa sana
 
Hahaa huyo mraiq kumbe na yeye amewahi kuwa punda sikuhizi amestaafu au kitu gani?
Ila huyu mbulu kuna Uzi alianzishiwa humu naona amepunguza kumpost yule mumewe hovyo
Alikua punda Sana'a tu hata baba first born alikamatwa kwa mambo hizo shoooo!!!tena yule na mama deladela ndo lao moja walikua wanabeba kwa boss mmoja!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwai kuwa na michongo flan na marehem..yule aliekua na huyo kimbau mbau enz hzo. Kuna siku sasa nilimwona live huyo bibie...daaaaah.aisee...yan ki virus chake inaonekana si cha nchi hii....ila nashangaa kweny instagram anaoneka mnana sana sasa sielew ndo filters ama nn...halaf kalikua na mimba sasa..ni balaaa
Hivi hawa watu wa instagram wanajisikiaga vipi kuwaga tofauti na uhalisia wao?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom