Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Hapana mkuu Lile dili Ni la Nandy advertisement kwenye radio kasimamia TTCL so anachopata Nandy anakipata chote. Nandy Hana watu wa Kati wengi. Ndio maana nakwambia ana pesa huyu dogo acha tu muone hivyo hivyo
Lakin TTCL walikuja katikati mpira ukiwa
Umeshaamza
 
Manzi hela anayo aiseeh!

DSTV wamempa milion zaidi ya 150 kuigiza ile tamthilia yao.

Nandy festival TTCL wamempa zaidi ya Milion 150 na Bia ya Guinness wakampa milion 20.

Hapo sijaja kwenye music Streaming platforms na dili zingine Kama endorsement. Hela anayo Nandy trust me! Tena ipo


Ila Huyo manzi Ni bahili sijapata kuona. Hata Kama umefanya nae kazi shida kulipa.
Hahahah!wapare bahili sana tena mnoo!yaani anakula ugali kwa picha ya samaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama nasema uongo Mungu aniadhibu.


Nandy acha ubahili lipa pesa za watu.
[emoji16][emoji23][emoji2]kakudhulumu nini mzee babaa!!!!?daahh hawa wasanii hawa

Yale Yale ya divathe boss uchwara anakopa halipi jamani hivi wana shida gani?

Mama kuki nae akawapiga kina wopa pesa za upatu!!kaaahhh sijui wana shida gani!jamani jamani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji23][emoji2]kakudhulumu nini mzee babaa!!!!?daahh hawa wasanii hawa

Yale Yale ya divathe boss uchwara anakopa halipi jamani hivi wana shida gani?

Mama kuki nae akawapiga kina wopa pesa za upatu!!kaaahhh sijui wana shida gani!jamani jamani!

Sent using Jamii Forums mobile app
Diva ukiwa mtu WA Uber hata huwez
Mbeba maana anakaatu tapel
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom