Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Bi mkubwa n Kama anataka mwanae
Ampge dudu na amlipe cjui
Unaoneaje wivu dyudyu ya mwanao
Kwa waschana wake[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Yule mama nuksi haoni shida kuwagongea nane usiku halafu hana hata cha maana anachohitaji kwa mwanawe...na akiona mwanawe anaanza kufall tu anatengeneza zengwe mpk mnaachana
Kama bosslady baada ya kuona kijana atanogewa akaambiwa mobeto abebe mimba,baadae mobeto nae akasalitiwa alivoona mkaka bado anakomaa na mama watano akaenda south alichoenda kufanya anajua mwenyewe ila alivorudi tu UA jeusi likatawala na mambo yakaishia hapo.
Yule kaka hawezi oa mpk bimkubwa ake afe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule mama nuksi haoni shida kuwagongea nane usiku halafu hana hata cha maana anachohitaji kwa mwanawe...na akiona mwanawe anaanza kufall tu anatengeneza zengwe mpk mnaachana
Kama bosslady baada ya kuona kijana atanogewa akaambiwa mobeto abebe mimba,baadae mobeto nae akasalitiwa alivoona mkaka bado anakomaa na mama watano akaenda south alichoenda kufanya anajua mwenyewe ila alivorudi tu UA jeusi likatawala na mambo yakaishia hapo.
Yule kaka hawezi oa mpk bimkubwa ake afe

Sent using Jamii Forums mobile app
Na anamuendekeza huyo mm ake, yn yy hana maamuz na maisha yake. Kila kitu anamsikiliza mm ake
 
Ha ha ha mwenye jina kama la kondomu?? Hatari sana,nasikia hata mtoto wa Mzee Machache yule binti,ni chakula cha safe nasikia
Hahahahahahah kwahio pale SMG kuna wahuni wanaishi nae[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah kuna binadamu wana maamuzi magumu sana! Yani unapush samadi ya mtoto wa mtu kizembe tu. Sema safi zile range hazipatikani kirahisi.
Sio range tu, ile mikataba anakula pale + safari za nchi mbali mbali sio mchezo

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]
Hebu cheken kidogo mkingojea ubuyu

Kuna dem ameweka pic Kwa status
Akiwa na best Ake sasa mm nkataka
Number ya huyo mwenzake[emoji1][emoji1][emoji1]
Aniskumie pass[emoji1][emoji1]

Alichokifanya sasa nmebak Tu
Nacheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom