Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Si anajua kesho atamchuna mtuPlus umri kwenda,pia umalaya ni laana pesa yake huishia kwenye starehe,mavazi,matumizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si anajua kesho atamchuna mtuPlus umri kwenda,pia umalaya ni laana pesa yake huishia kwenye starehe,mavazi,matumizi
Heeee?!!Barbra Hasan ndo ameacha Kaz clouds
Au?? Leo wamemuweka mzee wa mitulinga
Mtangazaj wao mpya! Alaf kwenye list.
Dada hayuko.......hapa mawingu watakua
Wameanguka kwakweli
Kumbe walikua wanapromote show ya professor na jide bwana
Fred hela ipo nyie aisee,,Mrembo wetu swala la mahusiano kwake ni sifuri aisee
Alitulia sabab ya jela..hakutaka tena yajirudie..Bora alitulia hawa mastar warembo wakiwa kwenye pick huwa hawashikiki sasa mda ukienda ndo mwendo wa stress
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shekhe kipoozeo ana hoja hapoUmetujuaje aisee?? Shehe wangu Kipoozeo ana usemi wake kwamba heri mwanaume wa kibongo akutane na Simba anaweza kupona kuliko awe nyuma wa mwanamke mrembo mwenye mzigo huku nyuma unaotikisika akitembea, maana hutasalimika [emoji12][emoji134] kwa kweli ile minyama nyama ni khatari kubwa...
Yes ana meza njegere mda mrefu atawamaliza watu huyu, imagine alipita na sayaba, mwenzake yuko jela sasa hivi anamgombea price breaker na mobeto lohTena kajilipuwa kabisa.
Huyo mrembo wa temeke sinasikia anameza njegere?
Khaa!!
Uzi niliumiss huuJaman Kwan icu imeenda na maji
Au?? Mlio mjin Muingie jikon basi
[emoji1][emoji1]
Hapo sawa!Kumbe walikua wanapromote show ya professor na jide bwana
Amuoe amstiri Dada yetu sasa hivi jamani!maana wangoni na wakibga wanaendana!Fred hela ipo nyie aisee,,
Kuna wadau wangu wananiambia fred kapenda vbya na anasmamia show zote humuambi kitu kwa jojo.
Alaf wanaendana tu .
Wema kichwa Nazi wanaume wa ki africa wanapenda mizigo in shekhe kippoozeo voice yeye anajikondesha ka sindano loh, hata wazungu sikuhizi Wana botch nakujiwekea makalio loh.Macebrities wa Bongo wengi hawana exposure Wema yuko Bongo na wanaume wabongo wanapenda makalio yeye badala ya kutengeneza kalio likae vizuri kajikondesha mwili mzima mpaka traco aende US au Ulaya ndio atapata mabwana wa vishape hivyo.
Mange mjanja anajua US ni shape gani zinalipa , angalia nae Shishi babe siku ya wananchi day kachomekea flana tumbo kubwa hayo mafuta ya unene si aende Uturuki akayahamishie kwenye hips pesa si anazo
Fred amepanga msururu wa wanawake hadi kuna demu flani mwenye hips wa chugga anapiga kawaida, so the list is long, Jojo kafa kaoza na huenda dukani sinza na vimau alipeleka vya birthday kwa Price breakerFred hela ipo nyie aisee,,
Kuna wadau wangu wananiambia fred kapenda vbya na anasmamia show zote humuambi kitu kwa jojo.
Alaf wanaendana tu .
Huyo Fred si huwa ana mke wa ndoa?Amuoe amstiri Dada yetu sasa hivi jamani!maana wangoni na wakibga wanaendana!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Fred mzigo upo na bado yank yank lazma apite nao t aisee.Fred amepanga msururu wa wanawake hadi kuna demu flani mwenye hips wa chugga anapiga kawaida, so the list is long, Jojo kafa kaoza na huenda dukani sinza na vimau alipeleka vya birthday kwa Price breaker
Yaaaan Kama mm [emoji2][emoji2]Uzi niliumiss huu
Mhhhh Fred pale anafuta umaarufu aiseeFred hela ipo nyie aisee,,
Kuna wadau wangu wananiambia fred kapenda vbya na anasmamia show zote humuambi kitu kwa jojo.
Alaf wanaendana tu .
😅😅..hao maarufu wengi wanajuana mkuu,Mhhhh Fred pale anafuta umaarufu aisee
Yani nae ataanza kutembea na nguzo za REA
kisa kapenda
Alienda kwa Jojo kwa hasira tu yule kipindi kagombana na mobeto na yeye ana enjoy umaarufu kuoa ni ngumu yeye yuko bussiness oriented atawatumia wote awaache.Fred mzigo upo na bado yank yank lazma apite nao t aisee.
Ila kwa jojo nafkiri yupo yupo sana nambiwa sm inaita muda wote,
Sjui kapewa nini na mh,
..
Ila jela ilimfundisha in hard way na ndio akatulia mazimaAlitulia sabab ya jela..hakutaka tena yajirudie..