Lubengela village, Kigoma. Kijiji pekee chenye wanawake weupe na wazuri kwa muonekano

Lubengela village, Kigoma. Kijiji pekee chenye wanawake weupe na wazuri kwa muonekano

Kasema kuna pisi nyeupe nkasema OK OK EBU wacha nizoom nione naona wakarib aliyeshika kichwa black kama mimi naksema labda nizoom kwa mbali zile zimekaa chini zoote black jaman hata sample tuuuu hamna nyeupe khaa vingine swa lakin pisi nyeupe hapan sidhan kamo zipo.
 
Tatizo wamekomaaaa
Singida Tanga Zanzibar Arusha Moshi Dar wanawake weupe wazuri kwa muonekana wapo huku sio huko unakosema wewe…
 
Mkuu umenikumbusha Mliya bibi. Kuna pisi moja ya Kitusi alikuwa anaitwa ANNA alikuwa anaishi mwambaoni mwa mto malagarasi maeneo ya mliyabibi na wazazi wake. Nilitakaga kumuiba, asee yaani mali ile inaishia kuchakazwa na mavi ya ng'ombe. Haki tena yule demu ningemleta mjini niwingekuwa na utulivu. Yaani pisi hasa, white, wa wastan, mrefu afu ana shape flani inayoendana na mwili wake. Ana mwili laini sana yaani, dah.
Nilisikitika sana nilipoambiwa kuna bwege mmoja kalipa ng'ombe 50 kaondoka naye.

Yaani yule nilikuwa nasubiri nimalize mradi nisepe naye., sema ndo hivo tena.

Ila kigoma, kuna mali nyingi sana sema tu zinamezwa na mavi ya ng'ombe.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mulyabhibhi Lazima Hiyo Pisi Itakuwa Inatokea Katoto
 
Hivi Jacklin Ntuyabaliwe (K Lin) anatoka Kigoma kijiji gani,,
 
Wanawake weupe hawaonekani ila vizur watu wamepafahamu wengine tunaweza kuja kufanya utalii wa ndani
 
Nimemuona Vero black sijamuona Vero white kwenye picha yako.
 
Asilimia kubwa ya wanawake katika kijiji hichi ni weupe na wazuri kimaumbile, japokuwa eneo hili lina mchanganyiko wa makabila ya kimanyema na kiha.

Pia kuna wanawake wafanyabiashara kutoka nchini Congo na Burundi kwasababu ni eneo linalo tegemewa kwa uvuvi wa samaki na dagaa.


View attachment 2367668


Nyumba ni za nyasi, na vyoo vyake vipo nje, na kila choo lazima kiwe na kufuli kwa maana wanawake wa hapa ni wasafi sana na hawapendi kuchangia vyoo na watu wasio wafahamu. Na wengi wao ni wapole sana.

View attachment 2367682


Maeneo mengi Kijiji hichi kimezungukwa na mawe na milima, pia kipo mwambao wa ziwa Tanganyika.

View attachment 2367679


Lubengela kigoma Kusini, Wilaya ya Uvinza, Mwambao wa ziwa Tanganyika, kuna ardhi nzuri yenye kidongo cheupe. Katika kijiji hichi kuna eneo linaitwa Mbinguni.

View attachment 2367674

Mikondo ya miamba ya Maswa Point iko kati ya vijiji vya Kirando na Lubengela.

View attachment 2367678

Karibuni Kigoma, Karibuni Magharibi mwa Tanzania
Unauza Kijiji kwa Bandiko la kuvutia anasa. Ati Wanawake weupe!

Kijiji safi, wahamishwe wapishwe wawekezaji.
 
Nasikia Kuna Ndumba Sana Kuna Mamba mkubwa haui Mtu ye anatumika kwa shughuli za Uvuvi tu Pia hapo naskia ndio Boda ya kwenda DRC
 
Hicho kijiji wengi ni wacongomani, maana wakati wanakimbia vita huko Sud Kivu (South Kivu) walipanda maboti na kufikia hapo mzee kwaio hapo 90% ni wacongomani kwa waliofanyaga kazi kambi za wakimbizi Kigoma watathibitisha hilo...🤣🤣🤣 wacongomani na mikorogo ni dam dam...
 
Mkuu umenikumbusha Mliya bibi. Kuna pisi moja ya Kitusi alikuwa anaitwa ANNA alikuwa anaishi mwambaoni mwa mto malagarasi maeneo ya mliyabibi na wazazi wake. Nilitakaga kumuiba, asee yaani mali ile inaishia kuchakazwa na mavi ya ng'ombe. Haki tena yule demu ningemleta mjini niwingekuwa na utulivu. Yaani pisi hasa, white, wa wastan, mrefu afu ana shape flani inayoendana na mwili wake. Ana mwili laini sana yaani, dah.
Nilisikitika sana nilipoambiwa kuna bwege mmoja kalipa ng'ombe 50 kaondoka naye.

Yaani yule nilikuwa nasubiri nimalize mradi nisepe naye., sema ndo hivo tena.

Ila kigoma, kuna mali nyingi sana sema tu zinamezwa na mavi ya ng'ombe.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Usjie hata siku moja ukajidanganya ukamtoa mwanamke kijijini ukamleta mjini hapo itakua umewafungulia wana goli watakula mzigo etc..mali za aina hio unatakiwa uzile huko huko au labda ukutane nayo mjini lakini sio ya ku export au kuimport...Kigoma kuna kijiji kinaitwa Nyarubanda a.k.a utusini aisee watoto wa kitutsi ndo wamemwagwa hapo...fullu warembo....
 
Asilimia kubwa ya wanawake katika kijiji hichi ni weupe na wazuri kimaumbile, japokuwa eneo hili lina mchanganyiko wa makabila ya kimanyema na kiha.

Pia kuna wanawake wafanyabiashara kutoka nchini Congo na Burundi kwasababu ni eneo linalo tegemewa kwa uvuvi wa samaki na dagaa.


View attachment 2367668


Nyumba ni za nyasi, na vyoo vyake vipo nje, na kila choo lazima kiwe na kufuli kwa maana wanawake wa hapa ni wasafi sana na hawapendi kuchangia vyoo na watu wasio wafahamu. Na wengi wao ni wapole sana.

View attachment 2367682


Maeneo mengi Kijiji hichi kimezungukwa na mawe na milima, pia kipo mwambao wa ziwa Tanganyika.

View attachment 2367679


Lubengela kigoma Kusini, Wilaya ya Uvinza, Mwambao wa ziwa Tanganyika, kuna ardhi nzuri yenye kidongo cheupe. Katika kijiji hichi kuna eneo linaitwa Mbinguni.

View attachment 2367674

Mikondo ya miamba ya Maswa Point iko kati ya vijiji vya Kirando na Lubengela.

View attachment 2367678

Karibuni Kigoma, Karibuni Magharibi mwa Tanzania
Picha za wadada weupe zipo wapi mbona kichwa cha habari hakiendani na ulichoandika.
 
Asilimia kubwa ya wanawake katika kijiji hichi ni weupe na wazuri kimaumbile, japokuwa eneo hili lina mchanganyiko wa makabila ya kimanyema na kiha.

Pia kuna wanawake wafanyabiashara kutoka nchini Congo na Burundi kwasababu ni eneo linalo tegemewa kwa uvuvi wa samaki na dagaa.


View attachment 2367668


Nyumba ni za nyasi, na vyoo vyake vipo nje, na kila choo lazima kiwe na kufuli kwa maana wanawake wa hapa ni wasafi sana na hawapendi kuchangia vyoo na watu wasio wafahamu. Na wengi wao ni wapole sana.

View attachment 2367682


Maeneo mengi Kijiji hichi kimezungukwa na mawe na milima, pia kipo mwambao wa ziwa Tanganyika.

View attachment 2367679


Lubengela kigoma Kusini, Wilaya ya Uvinza, Mwambao wa ziwa Tanganyika, kuna ardhi nzuri yenye kidongo cheupe. Katika kijiji hichi kuna eneo linaitwa Mbinguni.

View attachment 2367674

Mikondo ya miamba ya Maswa Point iko kati ya vijiji vya Kirando na Lubengela.

View attachment 2367678

Karibuni Kigoma, Karibuni Magharibi mwa Tanzania
Kwenye picha hao wanawake weupe, wazuri hawaonekani kabisa.
 
Usjie hata siku moja ukajidanganya ukamtoa mwanamke kijijini ukamleta mjini hapo itakua umewafungulia wana goli watakula mzigo etc..mali za aina hio unatakiwa uzile huko huko au labda ukutane nayo mjini lakini sio ya ku export au kuimport...Kigoma kuna kijiji kinaitwa Nyarubanda a.k.a utusini aisee watoto wa kitutsi ndo wamemwagwa hapo...fullu warembo....
Uzi bila picha = uchaguzi huru bila Katiba mpya!
 
Back
Top Bottom