Lubengela village, Kigoma. Kijiji pekee chenye wanawake weupe na wazuri kwa muonekano

Lubengela village, Kigoma. Kijiji pekee chenye wanawake weupe na wazuri kwa muonekano

Asilimia kubwa ya wanawake katika kijiji hichi ni weupe na wazuri kimaumbile, japokuwa eneo hili lina mchanganyiko wa makabila ya kimanyema na kiha.

Pia kuna wanawake wafanyabiashara kutoka nchini Congo na Burundi kwasababu ni eneo linalo tegemewa kwa uvuvi wa samaki na dagaa.


View attachment 2367668


Nyumba ni za nyasi, na vyoo vyake vipo nje, na kila choo lazima kiwe na kufuli kwa maana wanawake wa hapa ni wasafi sana na hawapendi kuchangia vyoo na watu wasio wafahamu. Na wengi wao ni wapole sana.

View attachment 2367682


Maeneo mengi Kijiji hichi kimezungukwa na mawe na milima, pia kipo mwambao wa ziwa Tanganyika.

View attachment 2367679


Lubengela kigoma Kusini, Wilaya ya Uvinza, Mwambao wa ziwa Tanganyika, kuna ardhi nzuri yenye kidongo cheupe. Katika kijiji hichi kuna eneo linaitwa Mbinguni.

View attachment 2367674

Mikondo ya miamba ya Maswa Point iko kati ya vijiji vya Kirando na Lubengela.

View attachment 2367678

Karibuni Kigoma, Karibuni Magharibi mwa Tanzania
Hujaonyesha hata picha moja ya hao wanawake weupe wazuri wa kijiji chako.
Usituuzie mbuzi kwenye kiroba.
 
Asilimia kubwa ya wanawake katika kijiji hichi ni weupe na wazuri kimaumbile, japokuwa eneo hili lina mchanganyiko wa makabila ya kimanyema na kiha.

Pia kuna wanawake wafanyabiashara kutoka nchini Congo na Burundi kwasababu ni eneo linalo tegemewa kwa uvuvi wa samaki na dagaa.


View attachment 2367668


Nyumba ni za nyasi, na vyoo vyake vipo nje, na kila choo lazima kiwe na kufuli kwa maana wanawake wa hapa ni wasafi sana na hawapendi kuchangia vyoo na watu wasio wafahamu. Na wengi wao ni wapole sana.

View attachment 2367682


Maeneo mengi Kijiji hichi kimezungukwa na mawe na milima, pia kipo mwambao wa ziwa Tanganyika.

View attachment 2367679


Lubengela kigoma Kusini, Wilaya ya Uvinza, Mwambao wa ziwa Tanganyika, kuna ardhi nzuri yenye kidongo cheupe. Katika kijiji hichi kuna eneo linaitwa Mbinguni.

View attachment 2367674

Mikondo ya miamba ya Maswa Point iko kati ya vijiji vya Kirando na Lubengela.

View attachment 2367678

Karibuni Kigoma, Karibuni Magharibi mwa Tanzania
...Shusha Picha Mbili Tatu za Wanawake Unaosifia! Maneno TU hayatoshi!
 
Umefika Katoto Wewe Hapo Jirani Na Daraja La JM Kikwete
Ukitoka Mpeta, Wapo Watusi Wamejitenga Mbugani Hao Wanaowana Wenyewe Kwa Wenyewe. Shughuli Zao Ni Ufugaji Nao Wana Hoja Hatari Sana



Hicho Kijiji Nadhani Nilikipita Ni Mwambao Kabla Hujafika Gombe
Ila Hayo Mambo Ya Njia Ya Maji Shida Sana
Jimefanya kazi kanda hiyo kijiji kwa kijiji hakuna kijiji kinaitwa Katoto
 
Mkuu umenikumbusha Mliya bibi. Kuna pisi moja ya Kitusi alikuwa anaitwa ANNA alikuwa anaishi mwambaoni mwa mto malagarasi maeneo ya mliyabibi na wazazi wake. Nilitakaga kumuiba, asee yaani mali ile inaishia kuchakazwa na mavi ya ng'ombe. Haki tena yule demu ningemleta mjini niwingekuwa na utulivu. Yaani pisi hasa, white, wa wastan, mrefu afu ana shape flani inayoendana na mwili wake. Ana mwili laini sana yaani, dah.
Nilisikitika sana nilipoambiwa kuna bwege mmoja kalipa ng'ombe 50 kaondoka naye.

Yaani yule nilikuwa nasubiri nimalize mradi nisepe naye., sema ndo hivo tena.

Ila kigoma, kuna mali nyingi sana sema tu zinamezwa na mavi ya ng'ombe.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Atakuwa mtusi huyo. Hakuna muha mrembo abadan asilan
 
C lazima et mwanamke mzuri awe mweupe acha tabia za kisukuma we boya
 
Mkuu umenikumbusha Mliya bibi. Kuna pisi moja ya Kitusi alikuwa anaitwa ANNA alikuwa anaishi mwambaoni mwa mto malagarasi maeneo ya mliyabibi na wazazi wake. Nilitakaga kumuiba, asee yaani mali ile inaishia kuchakazwa na mavi ya ng'ombe. Haki tena yule demu ningemleta mjini niwingekuwa na utulivu. Yaani pisi hasa, white, wa wastan, mrefu afu ana shape flani inayoendana na mwili wake. Ana mwili laini sana yaani, dah.
Nilisikitika sana nilipoambiwa kuna bwege mmoja kalipa ng'ombe 50 kaondoka naye.

Yaani yule nilikuwa nasubiri nimalize mradi nisepe naye., sema ndo hivo tena.

Ila kigoma, kuna mali nyingi sana sema tu zinamezwa na mavi ya ng'ombe.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom