Lubengela village, Kigoma. Kijiji pekee chenye wanawake weupe na wazuri kwa muonekano

Kasema kuna pisi nyeupe nkasema OK OK EBU wacha nizoom nione naona wakarib aliyeshika kichwa black kama mimi naksema labda nizoom kwa mbali zile zimekaa chini zoote black jaman hata sample tuuuu hamna nyeupe khaa vingine swa lakin pisi nyeupe hapan sidhan kamo zipo.
 
Tatizo wamekomaaaa
Singida Tanga Zanzibar Arusha Moshi Dar wanawake weupe wazuri kwa muonekana wapo huku sio huko unakosema wewe…
 
Mulyabhibhi Lazima Hiyo Pisi Itakuwa Inatokea Katoto
 
Hivi Jacklin Ntuyabaliwe (K Lin) anatoka Kigoma kijiji gani,,
 
Wanawake weupe hawaonekani ila vizur watu wamepafahamu wengine tunaweza kuja kufanya utalii wa ndani
 
Nimemuona Vero black sijamuona Vero white kwenye picha yako.
 
Unauza Kijiji kwa Bandiko la kuvutia anasa. Ati Wanawake weupe!

Kijiji safi, wahamishwe wapishwe wawekezaji.
 
Nasikia Kuna Ndumba Sana Kuna Mamba mkubwa haui Mtu ye anatumika kwa shughuli za Uvuvi tu Pia hapo naskia ndio Boda ya kwenda DRC
 
Hicho kijiji wengi ni wacongomani, maana wakati wanakimbia vita huko Sud Kivu (South Kivu) walipanda maboti na kufikia hapo mzee kwaio hapo 90% ni wacongomani kwa waliofanyaga kazi kambi za wakimbizi Kigoma watathibitisha hilo...🤣🤣🤣 wacongomani na mikorogo ni dam dam...
 
Usjie hata siku moja ukajidanganya ukamtoa mwanamke kijijini ukamleta mjini hapo itakua umewafungulia wana goli watakula mzigo etc..mali za aina hio unatakiwa uzile huko huko au labda ukutane nayo mjini lakini sio ya ku export au kuimport...Kigoma kuna kijiji kinaitwa Nyarubanda a.k.a utusini aisee watoto wa kitutsi ndo wamemwagwa hapo...fullu warembo....
 
Picha za wadada weupe zipo wapi mbona kichwa cha habari hakiendani na ulichoandika.
 
Kwenye picha hao wanawake weupe, wazuri hawaonekani kabisa.
 
Uzi bila picha = uchaguzi huru bila Katiba mpya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…