Lucci Laciano: Mwanamuziki wa Jamaica aliyejichora tatoo ya Rais Magufuli (PICHA)

MBONA HAMNA SURA, AU MWNAMUZIKI WA KEKO....
 
Ka ni kule Jamaica, hilo neno laweza kuwa na maana nyingine kabisa. Lakini, nadhani ni kifua cha njemba moja ya hapo Kkoo imeamua tu kujichora kwa unga wa betri "Tigerhead" ili kuukwaa U dc.
 
Mleta mada bora upgwe lisas ya bichwa kwa kdanganya UMA[emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji379]
 
Mtoa mada ni muongo yaani anapotosha jamii yote kwa buku 7 tu.,duh vijana wa lumunba wana moyo.,!
 

Kiki kwakwenda mbele cyo picha yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…