Lucci Laciano: Mwanamuziki wa Jamaica aliyejichora tatoo ya Rais Magufuli (PICHA)

Lucci Laciano: Mwanamuziki wa Jamaica aliyejichora tatoo ya Rais Magufuli (PICHA)

Magufuli ni jembe la uhakika. Tuachane na hawa wanywaviroba wa tanzania kazi ni kulopoka lopoka tu eti magufuli hafai.
huwa uongo ukisemwa sana na kurudiwa rudiwa hugeuka na kuonekana ukweli lakini mwisho wa siku athali itakayopatikana huwa mbaya zaidi kuliko ulivyo uongo wenyewe,kwa mfano uuchukue muhogo mchungu kisha ukauchemsha ukachukua icingsugar ukaiweka juu na kuupamba mithili ya keki watu wengi watafikili ni keki isipokuwa watu wasioila wataitamani na kusema keki ile tamu sana lakini wale waliokula ndio wanajua kuwa ile ni keki au wamefanyiwa kanyaboya cha muhimu sisi tuliokula ndio tunajua kuwa hii keki au muhogo mchungu uliolembwa,Uongo ni uongo na utabaki kuwa uongo hata uusifie vipi
 
Mwanamziki wa Jamaica las laciano aliyewahi kutamba na nyimbo kadhaa , " ikiwemo its me against jah" amejichora tatoo ya rais kutokea Africa anayemkubali , ambaye ni rais wa Tanzania mh , John Magufuli
Sababu ni kuwa ndo rais muwajibikaji, anayeona mbele hatishiwi na matatizo ya mpito ila anatishiwa na matatizo ya mda mrefu kama rushwa, urasimu na uzembe kazini
View attachment 400403

Mheshimiwa Magufuli ameendelea kugonga kimataifa na anazidi kukubalika ,

Tatizo vyombo vya habari vimezuiwa kumwelezea uhalisia wake. Vinavyomsema vimetakiwa kumpamba tu kwa hiyo "HAWAMFAHAMU". PERIOD!
 
Mwanamziki wa Jamaica las laciano aliyewahi kutamba na nyimbo kadhaa , " ikiwemo its me against jah" amejichora tatoo ya rais kutokea Africa anayemkubali , ambaye ni rais wa Tanzania mh , John Magufuli
Sababu ni kuwa ndo rais muwajibikaji, anayeona mbele hatishiwi na matatizo ya mpito ila anatishiwa na matatizo ya mda mrefu kama rushwa, urasimu na uzembe kazini
View attachment 400403

Mheshimiwa Magufuli ameendelea kugonga kimataifa na anazidi kukubalika ,
Hii picha ina ukakasi, mbona sura imefichwa! Uso hauonekani kuthibitisha kuwa ni Las laciano,
Kuonyesha tu kifua ni udhaifu mkubwa na uklaza,..
 
Wala hailekei kwamba una access na Luciano kwahiyo chochote toka kwake lazima ukipate toka kwenye public domain. Tuwekee link ya ulikoitoa hiyo picha tafadhali!!!
 
Mwanamziki wa Jamaica las laciano aliyewahi kutamba na nyimbo kadhaa , " ikiwemo its me against jah" amejichora tatoo ya rais kutokea Africa anayemkubali , ambaye ni rais wa Tanzania mh , John Magufuli
Sababu ni kuwa ndo rais muwajibikaji, anayeona mbele hatishiwi na matatizo ya mpito ila anatishiwa na matatizo ya mda mrefu kama rushwa, urasimu na uzembe kazini
View attachment 400403

Mheshimiwa Magufuli ameendelea kugonga kimataifa na anazidi kukubalika ,
Hatishwi na ya mpito bali ya muda mrefu [emoji134] [emoji134] [emoji134] HATUFAI
Kiongozi yeyote anayetishika ni janga
 
Mi nlidhani ni Luciano Yule aliyeimba ITS ME AGAIN JAH. kumbe ni mwingine.
 

Attachments

  • images(2).jpg
    images(2).jpg
    6 KB · Views: 50
Mafisadi Chadema inawaumaa lkn moyoni wanakubali mziki wa magufuli kiaina
 
Mwanamziki wa Jamaica las laciano aliyewahi kutamba na nyimbo kadhaa , " ikiwemo its me against jah" amejichora tatoo ya rais kutokea Africa anayemkubali , ambaye ni rais wa Tanzania mh , John Magufuli
Sababu ni kuwa ndo rais muwajibikaji, anayeona mbele hatishiwi na matatizo ya mpito ila anatishiwa na matatizo ya mda mrefu kama rushwa, urasimu na uzembe kazini
View attachment 400403

Mheshimiwa Magufuli ameendelea kugonga kimataifa na anazidi kukubalika ,
Its me against jah!????.......Huyu atakuwa freemanson huyu![emoji15]
 
Back
Top Bottom