Lucky “Moyo mashine” afariki dunia

Lucky “Moyo mashine” afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Njoo pm unijuze hiyo kazi yako,
Hlf ishu ya tribadism ukapotea.
Mimi na deal na Mambo ya forensic investigation,na sexual offence imo humo,siwezi kutafiti kitu nisichokijua
IMG_20200825_174812_808.jpg
 
Astaghfirullah!! [emoji2817][emoji2817][emoji2817] mwanaume huyu? Then mbona machoko mengi yanatokea Mwanza?!
 
Yaani ukiwakuta sehemu wamekaaa
Unaweza kujibanza sehemu ukachekaaaa kama mjinga.
Wapuuzi sana hawa.

Hapo juu nimesahau ukuwadi.
Yaani anaweza kumkuwadia hadi bwana ake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee kwani aliumwa nini Ukimwi au nini ??
 
Heeeeh maadam umeamua kunitag kabisaah, kwahiyo kifo ni ajabu au jambo geni?
Wanaokufa wote wakiwa vijana ni gays? Kifo kipo na haki epukiki.
Halafu sio kila gay anakufa kwa huo ugonjwa, na wala hatufanani life style.
But ahsante kwa ushauri, enjoy life n relaaax.
[emoji848]
 
Sasa ishu ya kujiuza ni ajabu? Wanawake na Wanaume wanajiuza wamejaa tele kwenye mitandao,

Wait, uliingia kwenye group la gays?
Juzi ulikua una search about lesbians,
[emoji848][emoji848]

Okay nimekuelewa, [emoji2960][emoji2960]
shoga huyo asikupotezee wakti!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom