Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Nchi nyingi za Kiafrika ukichaguliwa kazi yoyote au hata Rais uliyechaguliwa ni wewe sio wewe na familia yako. Matatizo ya utawala yanakuja mtu anapochukulia kila kitu family affairs lazima utashindwa.
Nchi nyingi za Kiafrika ukichaguliwa kazi yoyote au hata Rais uliyechaguliwa ni wewe sio wewe na familia yako. Matatizo ya utawala yanakuja mtu anapochukulia kila kitu family affairs lazima utashindwa.
Uteuzi wowote unaopata wa utumishi wa umma fahamu wewe ni mtumishi wa watu na sio vinginevyo sasa watu wengi akipata nafasi anajiona master na ndio inaleta complications.