Lugha 6 za Afrika zinazotumika zaidi

Lugha 6 za Afrika zinazotumika zaidi

Ushaanza kubwabwaja na kuhororoja bila mpango. Dalili za kuishiwa na la kuchangia.
Ukweli ndo huo! Mnatamani Africa yote tuongee Kiarabu, mnatamani hata mtushikie mitutu!.....Hujambo lakini Bi. Mdada?
 
Ukweli ndo huo! Mnatamani Africa yote tuongee Kiarabu, mnatamani hata mtushikie mitutu!.....Hujambo lakini Bi. Mdada?

Lugha ya kwanza Afrika ni Kiarabu na Kiswahili unachoongea kina asilimia kubwa ya Kiarabu kuliko lugha nyingine yoyote ile na hiyo bila kushikiwa bunduki.

Unalo?
 
Lugha ya kwanza Afrika ni Kiarabu na Kiswahili unachoongea kina asilimia kubwa ya Kiarabu kuliko lugha nyingine yoyote ile na hiyo bila kushikiwa bunduki.

Unalo?
Sisi hiyo hatujari! Haina impact yoyote juu ya maisha ya Mwafrica, hata tusema lugha ya kwanza ya Mwafrica Kiarabu, Na kiswahili kina asili ya kiarabu.... So What??????
 
Sisi hiyo hatujari! Haina impact yoyote juu ya maisha ya Mwafrica, hata tusema lugha ya kwanza ya Mwafrica Kiarabu, Na kiswahili kina asili ya kiarabu.... So What??????

=hatujali

Ingekuwa hujali usingejibu.

Jee, unajuwa kuwa "Afrika" ni jina lililotokana na Kiarabu kama ilivyo Dar es Salaam?
 
=hatujali

Ingekuwa hujali usingejibu.

Jee, unajuwa kuwa "Afrika" ni jina lililotokana na Kiarabu kama ilivyo Dar es Salaam?
Sasa Kama Africa imetokana Na Kiarabu.... So What??? Haina maana yoyote kwangu.....labda ukinambia unajua Nyerere kachangia uhuru wa Nchi hii? Hiyo ndo itakua Na maana kwangu!
 
Sasa Kama Africa imetokana Na Kiarabu.... So What??? Haina maana yoyote kwangu.....labda ukinambia unajua Nyerere kachangia uhuru wa Nchi hii? Hiyo ndo itakua Na maana kwangu!

Nyerere hakuchangia, alichangiwa na wazee wa Dar kwenda umoja wa mataifa.

Yule baba na ubahili ule! Majanga.
 
Sasa Kama Africa imetokana Na Kiarabu.... So What??? Haina maana yoyote kwangu.....labda ukinambia unajua Nyerere kachangia uhuru wa Nchi hii? Hiyo ndo itakua Na maana kwangu!
We mkerewe mpk wali umefundishwa kula na Waarabu.
Bila wao ungeendelea kula funza wabichi mpk Yesu atakaporudi.

Teh teh teh.
Waijua halua wewe? Ukionjeshwa kiduchu na huo ulimi wa kikerewe ka bati unaweza kusisimka mwili ukaadhini kabla ya saa.

Teh teh teh teh.
 
Back
Top Bottom