Lugha ya makondakta na madereva daladala inatia hasira, abiria tuwe wakali kukemea mmomonyoko wa maadili

Lugha ya makondakta na madereva daladala inatia hasira, abiria tuwe wakali kukemea mmomonyoko wa maadili

Kukubwa ni kupambana umiliki usafiri wako ili kuondokana na hizo aibu.Maana tabia za makondakta wengi ni wa hovyo kuanzia uvaaji wao ,usafi na lugha.
 
Kuna konda wa Daladala za tegeta to mawasiliano nilimpiga ngumi hadi akapata kwikwi Hawa sio wa kuwachekea
Yah kwa Sasa mtaani kujua abc za mapigano ni muhimu mf hapo alipotukanwa ni unamvuta na roba mnaenda chini hadi ije winchi
 
Kupanda daladala,bajaji sijui bodaboda huna tofauti na mtu anaeishi uswailini...huko lugha chafu, uchafu wa mazingira, umbea, uvivu, chuki, wivu nk na vinavyofanana na hvyo ndio maisha Yao.

Solution jitaid by any means utoke katika hyo cycle ya maisha.. jitaid jitaid sabb huwezi wqbadilisha hao watu na hzo tabia zao sabb ishakua ni utamaduni wao...
 
Mwaramutse nshuti,

Mimi sina magari matatu kama ndugu yangu Makamura hivyo hulazimika kutumia usafiri wa umma kama daladala na bajaji kwenda kusaka mkate.

Adha kubwa ambazo nimekuwa nikikutana nazo kwenye usafiri huo ni maneno machafu, yasiyo na staha ya makonda na madereva. Imekuwa kama mtindo kwao, yaani kutamka hadharani maneno yanayohusisha sehemu za siri za kike imekuwa suala la kawaida sana kwao.

Hawajali jinsia, rika, hadhi ya waliopanda kwenye vyombo vyao vya usafiri, wao wanatukana tu bila aibu na kujiona wajanja. Mungu awasamehe.

Kuna siku nipo na kijana wangu ana miaka 7 tumeenda kupanda bajaji. Dereva bajaj kazinguana kidogo na mwenzake kisa abiria, aisee aliporomosha matusi hayo tena akitaja sehemu za siri za kike. Kiustaarabu nikamwambia bro hayo matusi yako naomba usitishe, huoni kuna mtoto? Eeeh si nakageuziwa kibao mimi nikatukanwa mbele ya mwanangu.

Jana mishale ya saa tatu nimekwea daladala ya Segerea, sasa ukishavuka Barakuda kuna foleni matata kutokana na ujenzi unaondelea Segerea Magereza. Dereva kachomekeana na kishandu mmoja, dereva kaanza kuporomosha matusi, sikupendezwa ikabidi kiustaarabu nimuulize, Bro tokea nipande hii gari pale Mwenge wewe ni matusi ya nguoni, hivi huna mama, dada, watoto wa kike? Nikaishia kutukanwa kuwa nina sura mbaya kama uchi wa mwanamke. Abiria wengine wakaishia kucheka. Kiustaarabu nikashuka na kukwea pikipiki nikaendelea na safari.

Hii ni mifano michache kati ya mingi ambayo nimeshuhudia. Hali ni mbaya sana, pamoja na vijana kuvurugwa lakini isiwe sababu ya kuondokewa na utu. Siyo kila mtu anapendezwa na lugha hizo, wengine tunataka kizazi kilichostaharabika.

Murakoze cyane.
Ndugu yangu, nakuelewa sanaaaa
Lugha zao kuna muda zinakwaza hasa unakuta mtu una stress na mawazo.. nakuelewa sana ndugu
 
Pole sana mkuu ila Nikuulize je ni kweli una sura mbaya kama sehemu za Siri za mwanamke au kinda alikusingizia 😃😃
 
Mwaramutse nshuti,

Mimi sina magari matatu kama ndugu yangu Makamura hivyo hulazimika kutumia usafiri wa umma kama daladala na bajaji kwenda kusaka mkate.

Adha kubwa ambazo nimekuwa nikikutana nazo kwenye usafiri huo ni maneno machafu, yasiyo na staha ya makonda na madereva. Imekuwa kama mtindo kwao, yaani kutamka hadharani maneno yanayohusisha sehemu za siri za kike imekuwa suala la kawaida sana kwao.

Hawajali jinsia, rika, hadhi ya waliopanda kwenye vyombo vyao vya usafiri, wao wanatukana tu bila aibu na kujiona wajanja. Mungu awasamehe.

Kuna siku nipo na kijana wangu ana miaka 7 tumeenda kupanda bajaji. Dereva bajaj kazinguana kidogo na mwenzake kisa abiria, aisee aliporomosha matusi hayo tena akitaja sehemu za siri za kike. Kiustaarabu nikamwambia bro hayo matusi yako naomba usitishe, huoni kuna mtoto? Eeeh si nakageuziwa kibao mimi nikatukanwa mbele ya mwanangu.

Jana mishale ya saa tatu nimekwea daladala ya Segerea, sasa ukishavuka Barakuda kuna foleni matata kutokana na ujenzi unaondelea Segerea Magereza. Dereva kachomekeana na kishandu mmoja, dereva kaanza kuporomosha matusi, sikupendezwa ikabidi kiustaarabu nimuulize, Bro tokea nipande hii gari pale Mwenge wewe ni matusi ya nguoni, hivi huna mama, dada, watoto wa kike? Nikaishia kutukanwa kuwa nina sura mbaya kama uchi wa mwanamke. Abiria wengine wakaishia kucheka. Kiustaarabu nikashuka na kukwea pikipiki nikaendelea na safari.

Hii ni mifano michache kati ya mingi ambayo nimeshuhudia. Hali ni mbaya sana, pamoja na vijana kuvurugwa lakini isiwe sababu ya kuondokewa na utu. Siyo kila mtu anapendezwa na lugha hizo, wengine tunataka kizazi kilichostaharabika.

Murakoze cyane.
Ihangane
 
Panda daladala za mbagara kawe au toangoma gerezani,pia lamboto gerezani.ukumbane na matusi yalioenda shule
 
Siku moja natoka mabibo nashuka ilala boma nasubili gari za makumbusho au za kawe kuja mbagara.Sasa bwana gari ya kawe ikafika nikadandia gari nipo na mzigo konda akanitukana eti we mpumbavu unaenda wapi na mzigo wako kama mwehu.Aise nilimtandika bonge la ngumi mpaka akadondoka chini gari ilikuwa imeanza kuondoka.dreva akasimamisha gari.
 
d4.jpg
 
Back
Top Bottom