Lugha za wanawake zinavyowachanganya wanaume

Lugha za wanawake zinavyowachanganya wanaume

Habar wana JF,

Wanawake Wana lugha zao flan hivi ambazo huwachanganya Sana wanaume wengi, unajua inakuwaje? Nakupa
Hizo ni baadhi ya content kwenye kitabu cha women from venus men from mars, cha john gray. Hope hiki kitabu wangekuwa wanasoma watu wa jinsia zote, haya matatizo ya mahusiano yangepungua kiasi fulani hivi.
 
Hizo ni baadhi ya content kwenye kitabu cha women from venus men from mars, cha john gray. Hope hiki kitabu wangekuwa wanasoma watu wa jinsia zote, haya matatizo ya mahusiano yangepungua kiasi fulani hivi.
Ni kweli kabisa Kaka,ni Kitabu kizuri Sana naungana na wewe Lau wanaume na wanawake wangesoma hiki Kitabu naamini tungeimarisha Sana mahusiano yetu.

Ndo maana napenda kushare na wadau hapa dondoo kidogo kidogo,walau tupate ufahamu kidogo
 
Ni kweli kabisa Kaka,ni Kitabu kizuri Sana naungana na wewe Lau wanaume na wanawake wangesoma hiki Kitabu naamini tungeimarisha Sana mahusiano yetu.

Ndo maana napenda kushare na wadau hapa dondoo kidogo kidogo,walau tupate ufahamu kidogo
Ni kitu kizuri, unachokifanya have your way bro.
 
Kosa kubwa tunalofanya wanaume kwa wanawake ni kuwa wakweli kwao.
Wanawake huwa hawapendi ukweli hata kidogo. Utaishi vizuri na mwanamke ukiwa unamdanganya.
Mwambie mwanamke umependeza hata kama hajapendeza.
Mwambie mwanamke nakupenda hata kama humpendi.
Mwambie mwanamke nina pesa hata kama huna.
Mwambie mwanamke umzuri hata kama sio mzuri.
Kama ni bonge sifia ubonge wake hata kama huupendi.
Kama ni kimbaumbau msifie hata kama unaboreka.
Mwambie mwanamke ni yeye tu aliyejaa moyoni mwako, wakati una timu nzima ya mpira.
Na mengineyo, wala hutapata tabu naye.

Kinyume chake mweleze ukweli kwamba:
Hajapendeza
Humpendi
Huna pesa
Sio mzuri
Yeye ni bonge nyanya
Ni kimbaumbau
Kwamba asikubabaishe una timu nzima ya mpira,

Na mengineyo, uone kitakachotokea.

Tuishi nao kwa akili.
 
Kosa kubwa tunalofanya wanaume kwa wanawake ni kuwa wakweli kwao.
Wanawake huwa hawapendi ukweli hata kidogo. Utaishi vizuri na mwanamke ukiwa unamdanganya.
Mwambie mwanamke umependeza hata kama hajapendeza.
Mwambie mwanamke nakupenda hata kama humpendi.
Mwambie mwanamke nina pesa hata kama huna.
Mwambie mwanamke umzuri hata kama sio mzuri.
Kama ni bonge sifia ubonge wake hata kama huupendi.
Kama ni kimbaumbau msifie hata kama unaboreka.
Mwambie mwanamke ni yeye tu aliyejaa moyoni mwako, wakati una timu nzima ya mpira.
Na mengineyo, wala hutapata tabu naye.

Kinyume chake mweleze ukweli kwamba:
Hajapendeza
Humpendi
Huna pesa
Sio mzuri
Yeye ni bonge nyanya
Ni kimbaumbau
Kwamba asikubabaishe una timu nzima ya mpira,

Na mengineyo, uone kitakachotokea.

Tuishi nao kwa akili.
Kuna ukweli juu ya Hilo ndugu yangu,nakubaliana na wewe
 
Habar wana JF,

Wanawake Wana lugha zao flan hivi ambazo huwachanganya Sana wanaume wengi, unajua inakuwaje? Nakupa mchongo ufuatao, wanachoongea Sicho wanachomaanisha na hapa ndo wanaume tunapo katishagwa tamaa na hawa
"Yani huyo kaka simpendi jamani" alafu akimuona na huyo kaka yupo na mwanamke mwingine anaumia roho analia

"Yani mbona we huwapendi ndugu zangu" wakati hao ndugu zake wakilia shida huyo mwanaume ndo wa kwanza kuwasaidia.
 
Back
Top Bottom