Luhaga Mpina aenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC)

Sababu nyingine, huenda ambayo ni kubwa zaidi ni ile ambayo marehemu alisema kuwa Mpina ni kichaa kama yeye. Kama wameamua wasiwe na MNEC kichaa, sidhani kama angepitishwa. Labda itolewe kauli nyingine ya kubatilisha kauli ya marehemu itakayosema Mpina siyo kichaa, na marehemu alidanganya kudai kuwa alikuwa kichaa kama yeye. Na ili kauli mpya ikubaliwe, ni muhimu ikapatikana taarifa ya kitabibu.

Kutokana na yaliyotokea awamu iyopita, iwekwe sheria inayozuia kabisa mtu aliyewahi kupatwa na tatizo la afya ya akili, kuwa kiongozi mahali popote pale, hata kama matabibu watasema amepona. Magonjwa ya akili yana kawaida ya kujirudia.
 
Mwaka 2025, ataungana na Bashiru, Polepole na Kabudi, hata kwenye ubunge, majina yao hayatarudi.

Waridhike na nafasi walizokuwa wamewa, wafikirie maisha nje ya siasa.
kwa mfumo huu ukishatemwa CCM huna la kufanya - sababu jamaa wana kila kitu ushauri ni kuwa mpole.
 
Kuhoji kukatika kwa umeme, kuhoji kupanda kwa gharama za maisha, kuhoji kucheleweshewa mradi wetu wa umeme ndio mtu afukuzwe kama kweli hana sifa si ndio jina lake lingerudi alafu wajumbe wampige chini. ili kisima kitoe maji masafi lazima kichafuke kwa tope jingi Mpina endelea kuwa sauti ya wasio na sauti mengine tumuachie Mungu wetu wa mbinguni.
 
Inaonekani huishi Tanzania hujui matatizo yaliyoko nchini kwetu usileta mzaha kwenye maisha ya watu kwa taarifa yako kama uko nje ya nchi hayo yaliyosemwa yote na Mpina ndio matatizo halisi tuliyonayo kama wananchi ndio maana umeona yanazungumzwa bungeni. Kazi ya wabunge ni kuzungumza matatizo ya wananchi hayo maelezo yote hakuna jambo hata moja la nyumbani kwake Mpina yote ni ya kwetu wananchi hasa sisi wa hali ya chini
 
Na wewe Zitto unafiki umeacha?
 
Na 2025, atafute tu shughuli nyingine ya kufanya. Ubunge ndiyo bye bye!! CCM ndiyo chama pekee kinacho ongoza kwa fitina na figisu duniani.

Solution iliyobakia kwa sasa ni kupigania tu Katiba Mpya, lakini pia iwepo wa mgombea binafsi. Haya mambo ya kulazimishana kugombea Udiwani, Ubunge, au Urais kupitia mwamvuli wa cha cha siasa; yamepitiliza kwenye kiwango cha upuuzi.
 

CCM tunawaona wapo imara ni kwakuwa wanadola, tunawaona wana umoja ni kwasababu wanadola. Siku ikatokea hiki chama kimetolewa madarakani, kitavunjika vunjika vipande vipande.

Viongozi wa CCM wanapaswa kuwaheshimu sana viongozi wa vyama vya upinzani, hawa ndio wameongoza watu kweli. Hawa hawana dola na wameweza kuwaongoza wanachama wao na wakawatii. Niambieni leo CCM haipo madarakani ni nani atamtii Mwenyekiti wa CCM taifa?
 
huna wakukusemea zaidi ya kuandika mtandaoni mkuu wewe unafikiri anashikishwa adabu yeye katika maisha haya , cheo siyo inshu ya msingi maana na wengine wapo sisi tunajiuliza kama ameenguliwa kwa sababu tajwa hapo juu basi wananchi wasioweza kuhoji kama mpina tuna hatari na dubwasha la ccm.
 
wamekwambia hafai kwa sababu zipi na kama unayosema ni kweli si asingekuwa Mbunge maana pia anapitishwa na vikao hivyo hivyo
Kamati za siasa za mikoa zimebadilika viongozi wake kumbuka chama kimefanya uchaguzi juzi tu hapo...

Mwambie mpima samaki kwa rula 2025 hapiti kwenye kura za maoni.
 
Kwa hiyo CCM mtu akihiji jambo kwa faida ya umma ndo mnamkata?
 
Pole
 
CCM ya MAMA HAITAKI KUSEMWA WALA KUKOSOLEWA NCHI INA WATU WA AJABU SANA HII
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…