Luhaga Mpina aenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC)

Luhaga Mpina aenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC)

Sababu nyingine, huenda ambayo ni kubwa zaidi ni ile ambayo marehemu alisema kuwa Mpina ni kichaa kama yeye. Kama wameamua wasiwe na MNEC kichaa, sidhani kama angepitishwa. Labda itolewe kauli nyingine ya kubatilisha kauli ya marehemu itakayosema Mpina siyo kichaa, na marehemu alidanganya kudai kuwa alikuwa kichaa kama yeye. Na ili kauli mpya ikubaliwe, ni muhimu ikapatikana taarifa ya kitabibu.

Kutokana na yaliyotokea awamu iyopita, iwekwe sheria inayozuia kabisa mtu aliyewahi kupatwa na tatizo la afya ya akili, kuwa kiongozi mahali popote pale, hata kama matabibu watasema amepona. Magonjwa ya akili yana kawaida ya kujirudia.
Asali tamu sana
 
Kuna watu watasikitika...

Kataa CCM uliokoe Taifa
Ukatae CCM (Samia) umpe nchi Mbowe na genge lake (Lema, Sugu, Heche, Msigwa!!!!!), to me hilo kundi la Mbowe kulipa nchi hii ni bora CCM iongoze miaka 200 ijayo. Nitakuwa na amani sana nchi ikiwa mikononi mwa Samia kuliko Mbowe
 
Ukatae CCM (Samia) umpe nchi Mbowe na genge lake (Lema, Sugu, Heche, Msigwa!!!!!), to me hilo kundi la Mbowe kulipa nchi hii ni bora CCM iongoze miaka 200 ijayo. Nitakuwa na amani sana nchi ikiwa mikononi mwa Samia kuliko Mbowe
Mbowe na Lema wamewahi kuamrisha watu wauawe na kufungwa kwenye viroba?

Mbowe amewatimua wajasiriamali?

Mbowe alileta Tozo?

Mbowe amewahi kuvunja sheria ipi?

Wewe jifariji na amani ya bandia huku ukiujua ukweli kuwa CCM ndo majizi, wauaji na mafisadi....
 
Sababu nyingine, huenda ambayo ni kubwa zaidi ni ile ambayo marehemu alisema kuwa Mpina ni kichaa kama yeye. Kama wameamua wasiwe na MNEC kichaa, sidhani kama angepitishwa. Labda itolewe kauli nyingine ya kubatilisha kauli ya marehemu itakayosema Mpina siyo kichaa, na marehemu alidanganya kudai kuwa alikuwa kichaa kama yeye. Na ili kauli mpya ikubaliwe, ni muhimu ikapatikana taarifa ya kitabibu.

Kutokana na yaliyotokea awamu iyopita, iwekwe sheria inayozuia kabisa mtu aliyewahi kupatwa na tatizo la afya ya akili, kuwa kiongozi mahali popote pale, hata kama matabibu watasema amepona. Magonjwa ya akili yana kawaida ya kujirudia.
Hahahahaha, Mkuu umemaliza kila kitu! Huyu Mpina hata haeleweki anataka nini, ndiyo maana kapuuzwa
 
Mbowe na Lema wamewahi kuamrisha watu wauawe na kufungwa kwenye viroba?

Mbowe amewatimua wajasiriamali?

Mbowe alileta Tozo?

Mbowe amewahi kuvunja sheria ipi?

Wewe jifariji na amani ya bandia huku ukiujua ukweli kuwa CCM ndo majizi, wauaji na mafisadi....
So Mkuu utakuwa na amani kabisa hii nchi akipewa Mbowe na kundi lake?
 
Mbowe na Lema wamewahi kuamrisha watu wauawe na kufungwa kwenye viroba?

Mbowe amewatimua wajasiriamali?

Mbowe alileta Tozo?

Mbowe amewahi kuvunja sheria ipi?

Wewe jifariji na amani ya bandia huku ukiujua ukweli kuwa CCM ndo majizi, wauaji na mafisadi....
So wewe upo tayari nchi hii apewe Mbowe?
 
Mbowe na Lema wamewahi kuamrisha watu wauawe na kufungwa kwenye viroba?

Mbowe amewatimua wajasiriamali?

Mbowe alileta Tozo?

Mbowe amewahi kuvunja sheria ipi?

Wewe jifariji na amani ya bandia huku ukiujua ukweli kuwa CCM ndo majizi, wauaji na mafisadi....
Mkuu umejazwa machuki mengi mnoo, nilikuwa kama wewe zamani, baadaye nikaijua kweli!! Hivi nchi ya watu mil 60 kuwa chini ya mbowe or samia, utakuwa na amani kwa nani?
 
Sababu nyingine, huenda ambayo ni kubwa zaidi ni ile ambayo marehemu alisema kuwa Mpina ni kichaa kama yeye. Kama wameamua wasiwe na MNEC kichaa, sidhani kama angepitishwa. Labda itolewe kauli nyingine ya kubatilisha kauli ya marehemu itakayosema Mpina siyo kichaa, na marehemu alidanganya kudai kuwa alikuwa kichaa kama yeye. Na ili kauli mpya ikubaliwe, ni muhimu ikapatikana taarifa ya kitabibu.

Kutokana na yaliyotokea awamu iyopita, iwekwe sheria inayozuia kabisa mtu aliyewahi kupatwa na tatizo la afya ya akili, kuwa kiongozi mahali popote pale, hata kama matabibu watasema amepona. Magonjwa ya akili yana kawaida ya kujirudia.
HONGERA SANA MPINA KWA KUISHI KWA VITENDO AHADI ZA MWANA TANU 'NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO'
 
Mkuu umejazwa machuki mengi mnoo, nilikuwa kama wewe zamani, baadaye nikaijua kweli!! Hivi nchi ya watu mil 60 kuwa chini ya mbowe or samia, utakuwa na amani kwa nani?
Haleluya
Polee sana
 
Back
Top Bottom