Huyu jamaa ni mnafiki sana Wacha wamnyooshe. Wakiwa serikalini walikopa eeh kujenga miradi sikusikia kelele eti katoka ndio anagundua mikopo ni mibaya. JPM malipo kibao alifanya nje ya bajeti iliyopangwa mfano manunuzi ya ndege ila ilionekana sio shida but ujinga ule ule ukiendelezwa na awamu hii eti ndio anapinga!!!
Nasema hivi anyooshwe na 2025 afyekwe kabisa kura za maoni. Hawa wanafiki tumewachoka, kesho akipewa uwaziri utashangaa anaanza kumpamba Tena Mama.