Luhaga Mpina aenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC)

Ajitathimini alipokuwa waziri wa mifugo alichokifanya kwa wafugaji na wavuvi asidhani walisahau .Alifanya mambo ya ovyo sana kama opereshen Zagamba.wananchi hawawezi sahau
 
Mpina ni juha ambalo bado lina ndoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…