Luhaga Mpina akamatwe ahojiwe analeta chokochoko, kifo cha Hayati Magufuli hakina utata wowote

Tatizo liko wapi?
Kama Luhaga Mpina amesema uongo suluhisho ni kukanusha huo uongo aliosema na kisha wenye kujua ukweli waweke ukweli wote hadharani, ikiwezekana watoe na Ushahidi wa nyaraka za kuaminika ili kuthibitisha ukweli wao kwa umma.
Postmortem tu ndiyo inaweza sema ukweli plus dots za washangiliaji wa kifo kama akina sbuku ambaye aliandaliwa na wauaji wenzake wanajua ndiyo maana hawaishi kuropoka kuwa wanafurahi walimuua.
 
Uhuru ukizidi unaweza leta tahatuki kwenye jamii unapotumiaa vibaya na watu dizaini ya kina Mpina.
Mpina kaleta jambo ambalo hata mtanzania mpiga kura wa kijijini anajua Dkt Magufuli aliuawa na sbuku na genge lake kisa alibana mianya ya wizi
 
Sio tu yanakinzana lakini wanaotaja sababu za kifo chake wanazitaja Kama ushindi mkubwa!!!!
Walikuwa wakifanya Ugaidi na katika kufanya ugaidi huo, vielelezo vyao vilikuwa vinakinzana na Taarifa rasmi ya Serikali, kwamba Hayat alifariki kwa Ugonjwa wa Moyo. Na hata kama alifariki kwa Corona, shida ipo wapi? Kwani kufa kwa Corona ina akisi kitu gani?

Utata wamejenga wao wenyewe, hawa kina John kigunia na genge lao la Kigaidi, sasa wanakurupuka na kutaka kusema vinginevyo.

Kuna nguvu kubwa sana ambayo hailezeki kwa Urahisi, na kama haielezeki kwa urahisi ni kwamba kuna utata ndani yake.

Naunga mkono hoja ya Luhaga Mpina. Na nashauri apewe ulinzi haraka sana.
 
Nakuelewa kamanda.
 
Mpina ana hoja! Kitu hujui Achana nacho
 
Huyo mke wake alitamka wapi na lini? Unaweza kutuwekea chanzo?
 




Unajua Magufuiuli alipotea vipi? Tuambie!
 
Kuna viongozi wakubwa na mashuhuri walikufa kama wanane wa kwanza wakifuatana ndani ya miezi miwili huku wengine wakiachana siku mbili na wengine wiki

Kuna mengi sana yalitokea ila Mungu awalaze pema na sisi sio wa kuhukumu

Yapite tu maana hatuna utaratibu wa kusema ukweli
 
Covid , ni watu wengi walikufa dunia nzima sio Tanzania tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…