GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,880
- 11,134
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"
Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.
Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.
Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.
Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.
Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.
Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.
Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.