Luhaga Mpina alikuwa Waziri Kigeugeu. Je, vigeugeu wanatufaa kama Taifa?

Luhaga Mpina alikuwa Waziri Kigeugeu. Je, vigeugeu wanatufaa kama Taifa?

Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.

Africa ndio maana ni maskini na itaendelea kuwa maskini tu

Shida inaanzia wale wezi wanakuwa na watu wao wa kuwatetea, watu hambao hawawajibiki wanakuwa na watu wao wa kuwatetea,


Huyo mpina unaemsema hapo ndio alileta ishu ya mamlaka ya Reli bungeni, na ufisadi wao wote, mpaka mambo ya wazabuni

Na watu mkampinga mkasema sio mzalendo because amekosa uwaziri

Haya Leo tena mnamuona yy ndio kama msaliti namba moja
 
Kama hiki ulichoandika ndivyo mambo yalivyo, basi huu ni uzembe wa makatibu wakuu wa wizara, sasa kwanini hao makatibu wakuu nao wageuzwe mahakimu kuhukumu walio chini yao?

Huu ujuaji wenu umepitwa na wakati, mnatetea uzembe hamtaki uwajibikaji.
Mkuu huu ni mwaka wangapi report ya CAG inaenda bungeni?

Yule anaitwa mdhibiti na Mkaguzi wa hesabu za serikali

Kwa miaka mingi anafanya kazi ya kukagua tu, Sasa kila mwaka wewe unakagua tu ni lini ataanza kudhibiti

CAG ni lini alifanya kazi ya udhibiti wa mapato na matumizi?

Sheria imeiminya ofisi yake na kuwapa wabunge nguvu, Wabunge hao hao na madiwani ndio waendesha tenda huko kwenye halmashauri

Hizi ni kelele za miezi mitatu tu ukifika mwezi wa budget kila mtu atakaa kimya
 
Mkuu huu ni mwaka wangapi report ya CAG inaenda bungeni?

Yule anaitwa mdhibiti na Mkaguzi wa hesabu za serikali

Kwa miaka mingi anafanya kazi ya kukagua tu, Sasa kila mwaka wewe unakagua tu ni lini ataanza kudhibiti

CAG ni lini alifanya kazi ya udhibiti wa mapato na matumizi?

Sheria imeiminya ofisi yake na kuwapa wabunge nguvu, Wabunge hao hao na madiwani ndio waendesha tenda huko kwenye halmashauri

Hizi ni kelele za miezi mitatu tu ukifika mwezi wa budget kila mtu atakaa kimya
Kwa hiyo shida yako ni ipi hasa? kile anachokiongea Luhaga Mpina au CAG kunyimwa meno ya kuwadhibiti wezi?

Kwa namna ulivyoandika hapa naona ni bora kwako kuilaumu hiyo sheria iliyomnyima nguvu, lakini sio kumponda Mpina anayepigia kelele wizi unaoendelea kutokea.

Jitahidi kuwa specific my friend.
 
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
hana lolote huyu
 
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
Kuna watu vigeugeu kama chadema.? Tafuta clip zao kabla ya 2015 kumchukua Lowasa kama mgombea wao.
 
Hatuwezi kujidumaza kifikra kwa kudharau hoja za wengine kwasababu ya yale waliyofanya siku za nyuma, huko ni sawa na kuliangamiza taifa.

Kama unaamini Mpina hana sifa za kusema kile asemacho sasa kwasababu ya past, basi nioneshe yule aliye mtakatifu ili niwe namsikiliza yeye.
Mkuu hoja ya jamaa ni kwamba anaongea hivi sababu kapokonywa uwaziri ila akishaupata hutoona anainua mdomo. Mfano
1. Analaumu kwanini tumesamehe Trillion 300+ ya tax penalty issue ya Makinikia ila alipokua waziri alikaa kimya ingawa JPM alipotezea yale matrilioni.
2. Anamlalamikia nchi kukopa ila alipokua waziri alimsifia JPM kwa kutumia mikopo kujenga miundombinu.

3..kipindi CAG anasema bunge ni dhaifu halisimamii serikali alikua sehemu ya waliomshambulia CAG..Cha kushangaza Leo Hana uwaziri naye analalamika bunge ni dhaifu halisimamii ufisadi kuisha.

Sasa huu unafiki ndio tunaupinga, yaani Leo tunamshabikia Mpina alafu tunasahau Polepole, Bashiru, na Kabudi walivyokana juhudu zao za katiba mpya.
 
Kuna watu vigeugeu kama chadema.? Tafuta clip zao kabla ya 2015 kumchukua Lowasa kama mgombea wao.
Chadema wamejisahihisha Ile 2020 hakuna mwana CCM aliyepewa uongozi au kugombea ubunge. Sasa hao CCM unafiki wao ni vicious, Leo wanakubali mikutano, mwaka Jana walipinga usishangae Rais ajaye wakamsifia kwa kufunga mikutano.
 
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
Acha uongo wewe, huyu ameanza kuwa Waziri kabla ya JPM kuwa Rais, acha kuzusha kwa sababu tu mnashikwa pabaya, Mpina antoa hoja, jibu hoja usije na character assassination
 
Mkuu hoja ya jamaa ni kwamba anaongea hivi sababu kapokonywa uwaziri ila akishaupata hutoona anainua mdomo. Mfano
1. Analaumu kwanini tumesamehe Trillion 300+ ya tax penalty issue ya Makinikia ila alipokua waziri alikaa kimya ingawa JPM alipotezea yale matrilioni.
2. Anamlalamikia nchi kukopa ila alipokua waziri alimsifia JPM kwa kutumia mikopo kujenga miundombinu.

3..kipindi CAG anasema bunge ni dhaifu halisimamii serikali alikua sehemu ya waliomshambulia CAG..Cha kushangaza Leo Hana uwaziri naye analalamika bunge ni dhaifu halisimamii ufisadi kuisha.

Sasa huu unafiki ndio tunaupinga, yaani Leo tunamshabikia Mpina alafu tunasahau Polepole, Bashiru, na Kabudi walivyokana juhudu zao za katiba mpya.
Luhaga aliukosa uwaziri tangu zama za JPM, soma data tena uje na uongo mwingine!
 
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
Msumari wa moto lazima uwatowe mapangoni.

Mpina shikilia hapo hapo hadi waombe pooo na kodi zetu zipone.
 
Ndio maana Kila siku nahubiri humu ndani. Kamwe usiwaamini Wana CCM! Huwa Kuna mambo nikiwaza naishia kucheka!

Mfano, walisema mikutano ya siasa ni kupoteza muda, haifai! Jana nimepita njiani huko nikaona mabango ya kumsifia Mwenyekiti wao kwa kuruhusu mikutano.

2. Waliitwa vibaraka wa Wazungu. Leo hii yamejaa mabango kuwa Mwenyekiti wao analeta maridhiano, naangalia nacheka TU. Hawa watu wanakuaga na akili timamu kweli?.
Changamoto kubwa tunayoikabili ni kwamba wanasiasa wengi hufuata mkumbo kama nyumbu wanaohama kule Serengeti.
Kiongozi akibadilisha uelekeo nao wote hufuata.
Tunahitaji wanasiasa wanaojua uelekeo na itikadi wanayoisimamia.
 
Aliukosa awamu ya pili which was less than 3 months JPM akafariki. Ila angekua Bado waziri usingeona hizi kelele
Sababu za kufikirika na chuki tu kwa JPM, mimi sikuwa supporter wa JPM hata siku moja lakini nyie hizo bias zenu yaani zinaharibu utamu wote wa kujadili hoja. Yaani mko too intuition, vijiwe na uongo uongo, leteni evidence. Mpina ameleta evidence ndiyo maana sisi tunamuelewe. Quantitatively and qualitatively (Mpina), Vs Majungu yenu(nyie Pro Samia)
 
Mimi ni mwana ccm Siamini Katika watu wajinga wanaomsagia mwana ccm mwenzao kunguni ili wapate cheo

CCM ni mfumo na taasisi, Tatizo hawa akina Mpina, Makonda, Sabaya, Ally happi na mnyeti waliamini Katika kuligawa Taifa hili

Hawa watu walilazimisha kuwa ndugu zetu wa upinzani ni maadui wa Taifa hivyo tusishiriki hata Katika ndoa, misiba au harusi

Walisahau Taifa hili tumeshaoana na kuzaliana hakuna Chadema wala ccm, Hakuna simba wala Yanga, Tumeshazaliana

Chuki za akina Mpina must stop
Good point,kiukweli ujumbe huu umenigusa sana maana ilifika mahali ccm na vyama vingine kuwa maadui kwa sababu ya mtu mmoja ili atawale milele.Umoja,upendo na mshikamano wetu viliyumba sana,wewe fikiria Rais anafariki watu wanafanya sherehe kitu ambacho hakiwahi kutokea tangu tupate uhuru.Je huu ndiyo uzalendo tuliohubiriwa kwa muda wa miaka mitano?Vitu vingine tujifunze maana siasa zitaendelea kuwepo lakini umoja wetu kama Taifa una thamani sana kuliko siasa zetu.
 
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
Sawa ,nakubaliana na ww kuwa Mpina ni kigeugeu ,kwa Sasa amerusha makombora kwa Mwiguru wakati Kuna wengine wengi wezi wapo .Nn kimempata Mpina hatujui.Ila kuhusu watu kutupwa kwenye viroba wakati wa JPM sikubaliani na ww ,hizo ni siasa tu za maji taka.Ni kukuza tu maneno.Wakati wa Kikwete wakina Ulimboka waliokotwa misituni mabwe pandeni lakin hatusemi,watu walipigwa risasi wakitoka benki wengi tu ,hatusemi.Watu waliuliwa kwenye M-pesa ,Tigo pesa hatusemi.Siasa za Tanzania ni za ushabiki ,matumbo Basi.
 
Mkuu hoja ya jamaa ni kwamba anaongea hivi sababu kapokonywa uwaziri ila akishaupata hutoona anainua mdomo. Mfano
1. Analaumu kwanini tumesamehe Trillion 300+ ya tax penalty issue ya Makinikia ila alipokua waziri alikaa kimya ingawa JPM alipotezea yale matrilioni.
2. Anamlalamikia nchi kukopa ila alipokua waziri alimsifia JPM kwa kutumia mikopo kujenga miundombinu.

3..kipindi CAG anasema bunge ni dhaifu halisimamii serikali alikua sehemu ya waliomshambulia CAG..Cha kushangaza Leo Hana uwaziri naye analalamika bunge ni dhaifu halisimamii ufisadi kuisha.

Sasa huu unafiki ndio tunaupinga, yaani Leo tunamshabikia Mpina alafu tunasahau Polepole, Bashiru, na Kabudi walivyokana juhudu zao za katiba mpya.
Sawa, ndio maana nimemwambia anioneshe alie mtakatifu bado hajanionesha, au kama wewe unamjua mmoja nioneshe nimfuate..

Mkitaka Mpina akae kimya, maana yake mnataka tuendelee kuibiwa kama taifa, au mnataka hiyo haki ya kutoa maoni mjimilikishe peke yenu?!

Nikiwaita madikteta nitakuwa nakosea? na kama napatia, mtakuwa na tofauti gani na yule JPM mnayemponda kila siku?
 
Mimi ni mwana ccm Siamini Katika watu wajinga wanaomsagia mwana ccm mwenzao kunguni ili wapate cheo

CCM ni mfumo na taasisi, Tatizo hawa akina Mpina, Makonda, Sabaya, Ally happi na mnyeti waliamini Katika kuligawa Taifa hili

Hawa watu walilazimisha kuwa ndugu zetu wa upinzani ni maadui wa Taifa hivyo tusishiriki hata Katika ndoa, misiba au harusi

Walisahau Taifa hili tumeshaoana na kuzaliana hakuna Chadema wala ccm, Hakuna simba wala Yanga, Tumeshazaliana

Chuki za akina Mpina must stop
Good point,kiukweli ujumbe huu umenigusa sana maana ilifika mahali ccm na vyama vingine kuwa maadui kwa sababu ya mtu mmoja ili atawale milele.Umoja,upendo na mshikamano wetu viliyumba sana,wewe fikiria Rais anafariki watu wanafanya sherehe kitu ambacho hakiwahi kutokea tangu tupate uhuru.Je huu ndiyo uzalendo tuliohubiriwa kwa muda wa miaka mitano?Vitu vingine tujifunze maana siasa zitaendelea kuwepo lakini umoja wetu kama Taifa una thamani sana kuliko siasa zetu.
Kuna watu vigeugeu kama chadema.? Tafuta clip zao kabla ya 2015 kumchukua Lowasa kama mgombea wao.
Lowasa ni Mtanzania kama wengine na siyo kipimo cha kuwadharau CHADEMA mbona aliporudi ccm mlishangilia sana na ule ufilisi ambao Magufuri alikuwa ameanza kwenye mali na vitega uchumi vya Lowasa mbona alisitisha na mpaka sasa hajaharibiwa kitu chochote?
 
Mkuu hoja ya jamaa ni kwamba anaongea hivi sababu kapokonywa uwaziri ila akishaupata hutoona anainua mdomo. Mfano
1. Analaumu kwanini tumesamehe Trillion 300+ ya tax penalty issue ya Makinikia ila alipokua waziri alikaa kimya ingawa JPM alipotezea yale matrilioni.
2. Anamlalamikia nchi kukopa ila alipokua waziri alimsifia JPM kwa kutumia mikopo kujenga miundombinu.

3..kipindi CAG anasema bunge ni dhaifu halisimamii serikali alikua sehemu ya waliomshambulia CAG..Cha kushangaza Leo Hana uwaziri naye analalamika bunge ni dhaifu halisimamii ufisadi kuisha.

Sasa huu unafiki ndio tunaupinga, yaani Leo tunamshabikia Mpina alafu tunasahau Polepole, Bashiru, na Kabudi walivyokana juhudu zao za katiba mpya.
Ukabila na ukanda vinamsumbua.
 
Kwa hiyo shida yako ni ipi hasa? kile anachokiongea Luhaga Mpina au CAG kunyimwa meno ya kuwadhibiti wezi?

Kwa namna ulivyoandika hapa naona ni bora kwako kuilaumu hiyo sheria iliyomnyima nguvu, lakini sio kumponda Mpina anayepigia kelele wizi unaoendelea kutokea.

Jitahidi kuwa specific my friend.
Luhanga Mpina ni debe tupu, Anatafuta teuzi

Hana hoja huyo, Alivurunda wizarani

Luhanga Mpina ndie Chanzo cha samaki kupungua ziwa victoria
 
Back
Top Bottom