BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,578
- 2,353
Mpina ana hoja au hana hoja? Matrilioni ya watanzania yameibiwa hayajaibiwa? Haya ndio ya kujadili, mambo ya huko nyuma yana faida gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inaonekana naongea na mtu Ambaye hamjui Luhaga Mpina. Mpina alikuwa Waziri wakati wa Kikwete na JPM, (maybe na Mkapa), uwaziri ulimwishia mwisho mwisho wa JPM. Muda wote alikuwa Member wa Cabinet; angewezaje kuanza ku-debate mambo ambayo Cabinet inakubaliana nayo? Ni wakati wa ubunge tu wakati wewe siyo Member wa Cabinet unaweza kuchallenge serikali. Sasa unafiki wake hapo upo wapi? You are lacking information Sir.Kakatwa sababu ya unafiki, mbona Gwajima hajakatwa licha ya kupinga sera za mama. Tatizo hiyo Mpina ni unafiki, Kuna mambo alifumbia macho awamu ya Tano mfano katiba mpya kivipi imekua ya muhimu Sasa kuliko mwaka juzi JPM alipokua hai? Kivipi sio unafiki huo
Kwani kusema kwenyewe mmemruhusu? mbona mmemfunga mdomo mpaka baada ya siku 21?!Yeye anayosema huko anakosemea ametoa ushahidi?
Kwani alivunja sheria?Ukweli upi anaongea, Huyu baada ya kugundua hatarudi bungeni tena sasa anahangaika kupiga domo
Alikuwa Waziri kamili wakati wa JPM tukashuhudia Wanapima samaki kwa kutumia rula kwenye migawa
Kwani wewe unapenda Chadema wachukue inch?Mimi ni mwana ccm Siamini Katika watu wajinga wanaomsagia mwana ccm mwenzao kunguni ili wapate cheo
CCM ni mfumo na taasisi, Tatizo hawa akina Mpina, Makonda, Sabaya, Ally happi na mnyeti waliamini Katika kuligawa Taifa hili
Hawa watu walilazimisha kuwa ndugu zetu wa upinzani ni maadui wa Taifa hivyo tusishiriki hata Katika ndoa, misiba au harusi
Walisahau Taifa hili tumeshaoana na kuzaliana hakuna Chadema wala ccm, Hakuna simba wala Yanga, Tumeshazaliana
Chuki za akina Mpina must stop
Jibu hojazakeMimi ni mwana ccm Siamini Katika watu wajinga wanaomsagia mwana ccm mwenzao kunguni ili wapate cheo
CCM ni mfumo na taasisi, Tatizo hawa akina Mpina, Makonda, Sabaya, Ally happi na mnyeti waliamini Katika kuligawa Taifa hili
Hawa watu walilazimisha kuwa ndugu zetu wa upinzani ni maadui wa Taifa hivyo tusishiriki hata Katika ndoa, misiba au harusi
Walisahau Taifa hili tumeshaoana na kuzaliana hakuna Chadema wala ccm, Hakuna simba wala Yanga, Tumeshazaliana
Chuki za akina Mpina must stop
JPM alishasema huyu Mpina ni kichaaKwani kusema kwenyewe mmemruhusu? mbona mmemfunga mdomo mpaka baada ya siku 21?!
Hata hujui unachoandika hapa.
Anatafuta ugali, na akiupata atakaa kimya!!Hatuwezi kujidumaza kifikra kwa kudharau hoja za wengine kwasababu ya yale waliyofanya siku za nyuma, huko ni sawa na kuliangamiza taifa.
Kama unaamini Mpina hana sifa za kusema kile asemacho sasa kwasababu ya past, basi nioneshe yule aliye mtakatifu ili niwe namsikiliza yeye.
Kwani huo ubunge alionao haumpi ugali?!Anatafuta ugali, na akiupata atakaa kimya!!
Mpina namjua vizuri sana tokea akiwa mwenyekiti wa kamati ya viwanda na biashara alikua machachari sana bunge la 10 kwenye kuisimamia serikali ila kuanzia 2015 ndio alikua waziri sio kabla ya hapo.inaonekana naongea na mtu Ambaye hamjui Luhaga Mpina. Mpina alikuwa Waziri wakati wa Kikwete na JPM, (maybe na Mkapa), uwaziri ulimwishia mwisho mwisho wa JPM. Muda wote alikuwa Member wa Cabinet; angewezaje kuanza ku-debate mambo ambayo Cabinet inakubaliana nayo? Ni wakati wa ubunge tu wakati wewe siyo Member wa Cabinet unaweza kuchallenge serikali. Sasa unafiki wake hapo upo wapi? You are lacking information Sir.
Hata kama kweli hakuraise issue ya Katiba mpya wakati wa JPM, sasa wakati wa Samia ame-raise - what's wrong? Hiyo ndiyo inamfanya awe mnafiki?
Mkuu usiingiie huu mtego kuwaamini hawa Wana CCM Membe yukowapi? Lowassa Yuko wapi? Mpina ni Yale Yale huwa wanakuwa "wazalendo" pale tu maslahi Yao yakiguswa ila huyo Mpina akipewa uwaziri utasikia ghafla anageuka. Hivi mara hii umesahau Bashe alivyotaka Hadi TISS ivunjwe kwa kuteka watu, ila ghafla kawa waziri na hatujasikia kokote akimuomba Rais kufanya reforms huko TISS!!Kwani huo ubunge alionao haumpi ugali?!
Jibuni hoja za Mpina, acheni kuhangaika.
Kuukataa huo mtego maana yake unanitaka nikae kimya pia nitazame tu "tunavyochakazwa" kwenye ripoti ya CAG..Mkuu usiingiie huu mtego kuwaamini hawa Wana CCM Membe yukowapi? Lowassa Yuko wapi? Mpina ni Yale Yale huwa wanakuwa "wazalendo" pale tu maslahi Yao yakiguswa ila huyo Mpina akipewa uwaziri utasikia ghafla anageuka. Hivi mara hii umesahau Bashe alivyotaka Hadi TISS ivunjwe kwa kuteka watu, ila ghafla kawa waziri na hatujasikia kokote akimuomba Rais kufanya reforms huko TISS!!
Sasa bajeti ya nchi haifiki trillion 45 alafu mtu anasema ufisadi uliofanyika ni Trillion 30!! Ina make sense kweli? Kingine unasema Kuna ushahidi? upi huo maana mie naona anasoma tu ripoti ya CAG ambayo ni audit query pekee na hakuna sehemu inasema trillion 30 imefanyiwa ufisadi!!Atoe ushahidi gani zaidi ya huo aliyotoa!
We tukana tu ila Jibu hoja? Kwanini mnapenda unafiki mkikosa cheo ndio mnajifanya wazalendo, mkipata mnasahau wenye shida. WaTanzania tumeamka hatutaki Tena unafiki wenu, na nilichofurahi Mama kamng'oa NEC na hiyo 2025 ubunge asahau.Pumbavu kwani kila siku ni jumatano?
Yeah usikae kimya maana platform za kupinga ufisadi ni nyingi ila kamwe haiwezekani platform hiyo ikatokea CCM. hao ni wasaka vyeo tu ni mara 10 tutumie lobby groups na wanaharakati sio mbunge wa CCMKuukataa huo mtego maana yake unanitaka nikae kimya pia nitazame tu "tunavyochakazwa" kwenye ripoti ya CAG..
Trillion 30 ni cumulative kwa sababu miradi haikuanza mwaka ambao CAG amefanya ukaguzi.Sasa bajeti ya nchi haifiki trillion 45 alafu mtu anasema ufisadi uliofanyika ni Trillion 30!! Ina make sense kweli? Kingine unasema Kuna ushahidi? upi huo maana mie naona anasoma tu ripoti ya CAG ambayo ni audit query pekee na hakuna sehemu inasema trillion 30 imefanyiwa ufisadi!!
Kwani wabunge wenu wote ni wajumbe wa NEC? Au wajumbe wote wa NEC ni wabunge?We tukana tu ila Jibu hoja? Kwanini mnapenda unafiki mkikosa cheo ndio mnajifanya wazalendo, mkipata mnasahau wenye shida. WaTanzania tumeamka hatutaki Tena unafiki wenu, na nilichofurahi Mama kamng'oa NEC na hiyo 2025 ubunge asahau.