Luhaga Mpina alikuwa Waziri Kigeugeu. Je, vigeugeu wanatufaa kama Taifa?

Luhaga Mpina alikuwa Waziri Kigeugeu. Je, vigeugeu wanatufaa kama Taifa?

Sawa, ndio maana nimemwambia anioneshe alie mtakatifu bado hajanionesha, au kama wewe unamjua mmoja nioneshe nimfuate..

Mkitaka Mpina akae kimya, maana yake mnataka tuendelee kuibiwa kama taifa, au mnataka hiyo haki ya kutoa maoni mjimilikishe peke yenu?!

Nikiwaita madikteta nitakuwa nakosea? na kama napatia, mtakuwa na tofauti gani na yule JPM mnayemponda kila siku?
Wapi wanasema watu wameiba, Unafahamu maana ya Auditing

Mahakama ndio yenye mamlaka ya kuthibitisha wezi
 
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
Haha ni katika kipindi chake alimteua mlevi mmoja kuwa mkuu wa MACEMP? Wakaishia kupima samaria kwa rula? Hahaha duniani vituko haviishi
 
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
La msingi anachosema sasa kina mantiki hilo ndilo la muhimu. Kuhusu ukigeugeu wake huo tutauzingatia baadaye
 
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
Mpina endelea kupiga hapo hapo kwenye mshono wala usiwaachie majambazi haya!
 
Chadema wamejisahihisha Ile 2020 hakuna mwana CCM aliyepewa uongozi au kugombea ubunge. Sasa hao CCM unafiki wao ni vicious, Leo wanakubali mikutano, mwaka Jana walipinga usishangae Rais ajaye wakamsifia kwa kufunga mikutano.
2020 walimpata nani kutoka ccm?

Unasema wamejisahihisha wakati juzi wamelambishwa tena asali wakati gia angani. Badala ya kuongea mambo ya wananchi kila anayekuja anamuongelea Magufuli. Matokeo yake hoja za Magu zimedunda wamepoteana tena.

Masharti ya kula asali magumu.
 
2020 walimpata nani kutoka ccm?
-Walimkataa Membe
-Waliwakata Sumaye, Mwambe na Masalia yote yaliyotoka CCM.
-Ondoa mashinji wakamweka Mnyika.

Yote hayo ni kuondoa wazamiaji kutoka CCM huko Chadema.



Unasema wamejisahihisha wakati juzi wamelambishwa tena asali wakati gia angani. Badala ya kuongea mambo ya wananchi kila anayekuja anamuongelea Magufuli. Matokeo yake hoja za Magu zimedunda wamepoteana tena.
Asali Gani wamelamba nitajie Moja maana Kila siku asali asali ndio ipi Sasa Ruzuku? Stahiki za Lissu? Hizo ni hisani au LAZIMA?

Kingine ni Juzi tu wamechambua ripoti ya CAG na kuonyesha madudu ya CCM Sasa kivipi Tena wamebanwa na masharti ya maridhiano?
 
Mkitaka Mpina akae kimya, maana yake mnataka tuendelee kuibiwa kama taifa, au mnataka hiyo haki ya kutoa maoni mjimilikishe peke yenu?!
Mkuu hakuna aliyemkataza asiongee, sisi tunasema wananchi wampuuze sababu ni unafiki ule ule kama wa Nape, Polepole, Kabudi, na Bashiru wote tuliwaita wazalendo na kelele kama hizo kipindi ni wananchi wa kawaida tu. Cha kushangaza wamepata wote post za juu wakageuka misimamo Yao. Sasa tutakuwa tunachezewa hivi mpaka.lini?
Sawa, ndio maana nimemwambia anioneshe alie mtakatifu bado hajanionesha, au kama wewe unamjua mmoja nioneshe nimfuate
Hakuna mtakatifu ila Kuna wabunge sio wanafiki, mfano Gwajima as much as simkubali ila ana msimamo, alisema chanjo NO hajabadili, alisema JPM ni best hajabadili, so walau huyo akikosoa tutasema alikua hivyo hivyo tokea awamu ya JK Hadi Leo. Sio huyu mwenye ndimi mbili.

Subiri siku akiwa waziri ndio utaelewa nachosema, tutaandaa uzi hapa kujiuliza Nini kimemkuta. Kageuka kama Bashe na Nape!!
 
Sababu za kufikirika na chuki tu kwa JPM, mimi sikuwa supporter wa JPM hata siku moja lakini nyie hizo bias zenu yaani zinaharibu utamu wote wa kujadili hoja. Yaani mko too intuition, vijiwe na uongo uongo, leteni evidence. Mpina ameleta evidence ndiyo maana sisi tunamuelewe. Quantitatively and qualitatively (Mpina), Vs Majungu yenu(nyie Pro Samia)
Chuki Gani wakati keshamalizwa maana kakatwa na Samia kwenye NEC both mkoa na taifa na 2025 ndio asahau ubunge maana atakatwa na mwenyekiti wao Sasa nimchukie wa Nini huyo loser?

Hoja hapa ni kwamba Mpina Ni mnafiki
1. Juzi amedai katiba mpya kwamba ni suluhu ya matatizo yetu. Ila Cha kushangaza JPM alipopotezea issue ya katiba sikusikia akiropoka kwamba katiba mpya ni muhimu. Kiufupi alikaa kimya sababu aliona maslahi yake hayajaguswa.

2. Alilalamika kuwa inakuaje tumesamehe madeni ya trillion 300 plus za madai ya Makinikia ila amesahau JPM ndio alisalimu amri akiwa Rais na akakubali kishika uchumba pekee. Cha kuchekesha hakumsema JPM kwa kupotezea hizo pesa ila kamkosoa Samia kwa kupotezea hizo trillioni!!!

Hii ni mifano tu mwili sijazungumzia suala la kudai mikopo iidhinishwe bungeni ilihali miaka yote ya JPM alikopa bila idhini ya bunge na sikuona Mpina akisema sheria imekiukwa.

Hapo sijaongelea suala la CAG kuita bunge ni dhaifu sikuona Mpina akimtetea Assad Bali alipiga makofi bunge lilipoazimia kumchunguza CAG!! Cha kuchekesha Leo hii anadai Bunge ni dhaifu maana halichukulii hatua mafisadi!!

Sasa hapo chuki ziko wapo wakati ni uhalisia. Huyu mtu ni mnafiki, subiri ateuliwe uwaziri wa Nishati maana ndio anachotaka alafu utakuja niambia. Kuanzia katiba mpya, ripoti za CAG na matrilioni ya Makinikia yotee atayakana.

Mwalimu ni muda mzuri, I rest my case
 
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
alisema wapi na lini wewe ni damina hakuna kama wewe baba hapa tANZANIA? mbona mtu akisimama kusema uhalisia wa mambo mna tumii anguvu kumrebrand na kumtusi? buda wewe kama unaiba iba tu ila wacha waseme
 
Chuki Gani wakati keshamalizwa maana kakatwa na Samia kwenye NEC both mkoa na taifa na 2025 ndio asahau ubunge maana atakatwa na mwenyekiti wao Sasa nimchukie wa Nini huyo loser?

Hoja hapa ni kwamba Mpina Ni mnafiki
1. Juzi amedai katiba mpya kwamba ni suluhu ya matatizo yetu. Ila Cha kushangaza JPM alipopotezea issue ya katiba sikusikia akiropoka kwamba katiba mpya ni muhimu. Kiufupi alikaa kimya sababu aliona maslahi yake hayajaguswa.

2. Alilalamika kuwa inakuaje tumesamehe madeni ya trillion 300 plus za madai ya Makinikia ila amesahau JPM ndio alisalimu amri akiwa Rais na akakubali kishika uchumba pekee. Cha kuchekesha hakumsema JPM kwa kupotezea hizo pesa ila kamkosoa Samia kwa kupotezea hizo trillioni!!!

Hii ni mifano tu mwili sijazungumzia suala la kudai mikopo iidhinishwe bungeni ilihali miaka yote ya JPM alikopa bila idhini ya bunge na sikuona Mpina akisema sheria imekiukwa.

Hapo sijaongelea suala la CAG kuita bunge ni dhaifu sikuona Mpina akimtetea Assad Bali alipiga makofi bunge lilipoazimia kumchunguza CAG!! Cha kuchekesha Leo hii anadai Bunge ni dhaifu maana halichukulii hatua mafisadi!!

Sasa hapo chuki ziko wapo wakati ni uhalisia. Huyu mtu ni mnafiki, subiri ateuliwe uwaziri wa Nishati maana ndio anachotaka alafu utakuja niambia. Kuanzia katiba mpya, ripoti za CAG na matrilioni ya Makinikia yotee atayakana.

Mwalimu ni muda mzuri, I rest my case
Sasa huoni kuwa na wewe upo kama JPM, visasi; ati kakatwa kote huko kwa sababu ya kusema ukweli. Truth prevails, hata kama utamkata. Position ya mama Samia na Luhaga ilikuwa ni moja walikuwa chini ya JPM, mama Samia naye si anaropoka sasa hivi kuhusu JPM, mbona naye alikuwa Hasemi zama zile? Afadhali Mpina alivyoacha uwaziri tu hata wakati wa JPM aliongea mengi. Huyu ushungi wenu alifyata kabisa.

Yote uliyoongea hapo juu ni porojo, Mpina amekuja na Mahesabu.Numbers (Quantitative); akaelezea (Qualitatively); plus evidence on hand; tunachotaka na wewe ulete yako. Acha porojo.

Ulivyoandika hapo juu, hata kimoja hujaweka evidence, wewe umesikia au umepewa hadithi au umebuni, tupe evidence kama Mpina alivyotoa.
 
Sasa huoni kuwa na wewe upo kama JPM, visasi; ati kakatwa kote huko kwa sababu ya kusema ukweli. Truth prevails, hata kama utamkata. Position ya mama Samia na Luhaga ilikuwa ni moja walikuwa chini ya JPM, mama Samia naye si anaropoka sasa hivi kuhusu JPM, mbona naye alikuwa Hasemi zama zile? Afadhali Mpina alivyoacha uwaziri tu hata wakati wa JPM aliongea mengi. Huyu ushungi wenu alifyata kabisa.

Yote uliyoongea hapo juu ni porojo, Mpina amekuja na Mahesabu.Numbers (Quantitative); akaelezea (Qualitatively); plus evidence on hand; tunachotaka na wewe ulete yako. Acha porojo.

Ulivyoandika hapo juu, hata kimoja hujaweka evidence, wewe umesikia au umepewa hadithi au umebuni, tupe evidence kama Mpina alivyotoa.
Unafahamu Job description ya Makamu wa Rais Tanzania

Makamu wa Rais Tanzania hana nguvu yeyote hata hawezi kumfukuza kazi mkuu wa wilaya wala Mkurugenzi,

Waziri mkuu ni mdogo kicheo lakini ana nguvu ya kiutendaji kuliko bosi wake Makamu wa Rais

Hivyo kwa ufupi Makamu wa Rais Tanzania ni Ceremonial Figure wa kuzindua miradi na kumuwakilisha Rais kwenye Hafla alizoshindwa kwenda

Unafahamu kazi ya mbunge bungeni?

Mbunge huyu ni msemaji wa wananchi na sio Kigeu geu kama Luhanga Mpina

Wananchi wanataka mtu wa kuwasemea wakati wote wa shida na raha

Huyu alipokuwa member wa Sukuma Gang hakuongea kitu, Leo yupo nje ya mfumo anapiga kelele

Anatafuta chakula cha kushibisha tumbo

Aliwahi piga kelele akapata uwaziri, Alijawa kiburi na kebehi kubwa sana mpina

Watu ndumila kuwili hawatufai
 
Sasa huoni kuwa na wewe upo kama JPM, visasi; ati kakatwa kote huko kwa sababu ya kusema ukweli. Truth prevails, hata kama utamkata. Position ya mama Samia na Luhaga ilikuwa ni moja walikuwa chini ya JPM, mama Samia naye si anaropoka sasa hivi kuhusu JPM, mbona naye alikuwa Hasemi zama zile? Afadhali Mpina alivyoacha uwaziri tu hata wakati wa JPM aliongea mengi. Huyu ushungi wenu alifyata kabisa.

Yote uliyoongea hapo juu ni porojo, Mpina amekuja na Mahesabu.Numbers (Quantitative); akaelezea (Qualitatively); plus evidence on hand; tunachotaka na wewe ulete yako. Acha porojo.

Ulivyoandika hapo juu, hata kimoja hujaweka evidence, wewe umesikia au umepewa hadithi au umebuni, tupe evidence kama Mpina alivyotoa.
We naye umekazana na quantitative hivi unajua maana yake? Yeye kasema ufisadi kwenye ripoti ya CAG umefika trillion 30 mwaka huu je hiyo trillion 30 ameielezea quantitatively imekujaje? Alafu akiambiwa atoe ushahidi aseme anaonewa.

 
ati kakatwa kote huko kwa sababu ya kusema ukweli. Truth prevails, hata kama utamkata.
Kakatwa sababu ya unafiki, mbona Gwajima hajakatwa licha ya kupinga sera za mama. Tatizo hiyo Mpina ni unafiki, Kuna mambo alifumbia macho awamu ya Tano mfano katiba mpya kivipi imekua ya muhimu Sasa kuliko mwaka juzi JPM alipokua hai? Kivipi sio unafiki huo
 
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
Hao waliookotwa kwenye bahari unaweza kutuletea ushahidi ni kina nani na nani alilalamika kuokotwa kwa ndugu yake baharini na serikali imehusikaje kuuawa kwa watu hao na walifanyaje mpaka wauawe na naomba ushahidi pasipo shaka sio mnatuletea propaganda za kinafiki mlizotumwa na walamba asali kumchafua Magufuli
 
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
Mleta uzi katumwa na walamba asali na mafisadi kumchafua mpina
 
Mfano Auditor akija ofisi akakuta kweli watu walienda safari nje ya nchi kikazi na barua zipo kabisa na zimesainiwa lakini kwa kiburi Chao hawakuleta Airticket hao waliosafiri Wataandika kuna Safari hewa za madollar kadhaa, Issue inakufa pale wahusika wakisisitizwa walete Airticket zao

Wananchi huku hawaelewi wanapiga kelele tu ohooo watu wanafanya safari hewa wanalipana madollar

Mpina aliambiwa thibitisha kauli zako bungeni alishindwa

Amejawa chuki na lengo lake ni kukigawa chama

Hawa akina Mpina ni masalia ndani ya ccm, Next time huyu atakuwa kama Prof Kabudi
Yaani wewe ndio Zumbukuku kweli ndio maana nchi yetu inachelewa maendeleo kwa sababu ya wajinga kama hawa unatetea majizi na mafisadi umelipwa ngapi ndugu yangu
 
Kwani huyo mwanamama sio kigeugeu nae si alikuwepo kwa msukuma, akitoka msukuma wa chattle anakuja yeye, mbona yeye alikaa nae madarakani, akimuunga mkono juhudi wala hakung'atuka kuonesha haungiki mkono, mwendazake alipokwenda, yeye kabadilika kama kinyonga.

Sirikali yetu wote ni vigeugeu, wachumia tumbo, watu wanafiki nafiki, wapo tayari kwa lolote yao yaende.
Inchi hii hovyo saana
 
Back
Top Bottom