Luhaga Mpina alikuwa Waziri Kigeugeu. Je, vigeugeu wanatufaa kama Taifa?

Luhaga Mpina alikuwa Waziri Kigeugeu. Je, vigeugeu wanatufaa kama Taifa?

Sawa ,nakubaliana na ww kuwa Mpina ni kigeugeu ,kwa Sasa amerusha makombora kwa Mwiguru wakati Kuna wengine wengi wezi wapo .Nn kimempata Mpina hatujui.Ila kuhusu watu kutupwa kwenye viroba wakati wa JPM sikubaliani na ww ,hizo ni siasa tu za maji taka.Ni kukuza tu maneno.Wakati wa Kikwete wakina Ulimboka waliokotwa misituni mabwe pandeni lakin hatusemi,watu walipigwa risasi wakitoka benki wengi tu ,hatusemi.Watu waliuliwa kwenye M-pesa ,Tigo pesa hatusemi.Siasa za Tanzania ni za ushabiki ,matumbo Basi.
Umesahau dk Mvungi kuuawa, umesahau watu kumwagiwa tindikali, umesahau David Mwangosi aliuawa kipindi gani ili wanashadadia kipindi cha Magufuli hata mtu angeokotwa vichaka alisingiziwa Magufuli kisa aliwatumbua vyeti feki, wakwepa kodi, wadhulumaji, mafisadi,na aliwazuia wapinzani kula asali
 
Hatukai tulipojikwaa!

Kwa akili yako mleta uzi, unataka watu wawe 2020 huko wakati tupo 2023

Bushike boko!!
 
We naye umekazana na quantitative hivi unajua maana yake? Yeye kasema ufisadi kwenye ripoti ya CAG umefika trillion 30 mwaka huu je hiyo trillion 30 ameielezea quantitatively imekujaje? Alafu akiambiwa atoe ushahidi aseme anaonewa.


Atoe ushahidi gani zaidi ya huo aliyotoa!
 
Kakatwa sababu ya unafiki, mbona Gwajima hajakatwa licha ya kupinga sera za mama. Tatizo hiyo Mpina ni unafiki, Kuna mambo alifumbia macho awamu ya Tano mfano katiba mpya kivipi imekua ya muhimu Sasa kuliko mwaka juzi JPM alipokua hai? Kivipi sio unafiki huo
Pumbavu kwani kila siku ni jumatano?
 
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
FB_IMG_1648499814063.jpg
 
Umesahau dk Mvungi kuuawa, umesahau watu kumwagiwa tindikali, umesahau David Mwangosi aliuawa kipindi gani ili wanashadadia kipindi cha Magufuli hata mtu angeokotwa vichaka alisingiziwa Magufuli kisa aliwatumbua vyeti feki, wakwepa kodi, wadhulumaji, mafisadi,na aliwazuia wapinzani kula asali
Thanks brother !!Stay blessed for a nice memory.
 
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
Wewe mwenyewe ni kigeugeu huna hiki ama kile. Kiongozi thabiti lazima awe (Flexible and firm) ndicho anachokifanya kwa kuzingatia maslahi ya wananchi. Kwa sasa wananchi wananyanyswa sana kuliko wakati wowote na hakuna media zozote zinazosema chochote maana wote wamenunuliwa ili wasifu tu hilo kwa mbunge huyu hawezi kulikubali na msimlazimishe nyie wezi ndio maana kutwa kucha mnamshambulia huyu mwamba wa kuchambua kwa data 'realistic' sio siasa uchwara
 
Unafahamu Job description ya Makamu wa Rais Tanzania

Makamu wa Rais Tanzania hana nguvu yeyote hata hawezi kumfukuza kazi mkuu wa wilaya wala Mkurugenzi,

Waziri mkuu ni mdogo kicheo lakini ana nguvu ya kiutendaji kuliko bosi wake Makamu wa Rais

Hivyo kwa ufupi Makamu wa Rais Tanzania ni Ceremonial Figure wa kuzindua miradi na kumuwakilisha Rais kwenye Hafla alizoshindwa kwenda

Unafahamu kazi ya mbunge bungeni?

Mbunge huyu ni msemaji wa wananchi na sio Kigeu geu kama Luhanga Mpina

Wananchi wanataka mtu wa kuwasemea wakati wote wa shida na raha

Huyu alipokuwa member wa Sukuma Gang hakuongea kitu, Leo yupo nje ya mfumo anapiga kelele

Anatafuta chakula cha kushibisha tumbo

Aliwahi piga kelele akapata uwaziri, Alijawa kiburi na kebehi kubwa sana mpina

Watu ndumila kuwili hawatufai
Kama Samia alikuwa hapendi matendo ya Magufuli angejiuzulu, hebu punguza hii mambo ya kichawa.
 
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
Wewe una lako jambo na huyo bwana yako mpya aliyeanza kukutumia upya!
 
Wapi wanasema watu wameiba, Unafahamu maana ya Auditing

Mahakama ndio yenye mamlaka ya kuthibitisha wezi
Huu usomi wenu wa "Auditing" ndio unatumiwa kama kichaka na wezi, halafu mnadhani kila mtu ni mjinga atawaamini.

Iko hivi, Zitto jana akizungumza kulitaka bunge liwaruhusu wabunge waijadili ripoti ya CAG kwa uhuru, alisema hao makatibu wakuu na maafisa wengine wana mchezo wa kuwakwepa maafisa wa CAG wakienda kwenye ofisi zao kwa ajili ya kufanya ukaguzi, ajabu ikitoka ripoti chafu ya matumizi mabaya ndio wanaanza kuhangaika kutaka kujisafisha..

Hujiulizi huwa wanaficha kitu gani mpaka wamkwepe CAG akiwatembelea ofisini? huoni kuna mchezo wa kijinga hapo bila kujali mambo yako ya Auditing unayoniandikia hapa? kwani yule Zitto aliyezungumza vile sio mchumi mwenzenu?!

Na hizo mahakama zipi unazozungumzia za kuwatia hatiani hao wezi? hizi zilizowekwa mfukoni na watawala wa CCM au kuna nyingine tofauti?

Muwe mnatulia watu tukiandika mambo yetu, huo usomi wenu wa "Auditing" kaeni nao kwenye vitabu vyenu kwenye makabati yenu.
 
Who the h
Unafahamu Job description ya Makamu wa Rais Tanzania

Makamu wa Rais Tanzania hana nguvu yeyote hata hawezi kumfukuza kazi mkuu wa wilaya wala Mkurugenzi,

Waziri mkuu ni mdogo kicheo lakini ana nguvu ya kiutendaji kuliko bosi wake Makamu wa Rais

Hivyo kwa ufupi Makamu wa Rais Tanzania ni Ceremonial Figure wa kuzindua miradi na kumuwakilisha Rais kwenye Hafla alizoshindwa kwenda

Unafahamu kazi ya mbunge bungeni?

Mbunge huyu ni msemaji wa wananchi na sio Kigeu geu kama Luhanga Mpina

Wananchi wanataka mtu wa kuwasemea wakati wote wa shida na raha

Huyu alipokuwa member wa Sukuma Gang hakuongea kitu, Leo yupo nje ya mfumo anapiga kelele

Anatafuta chakula cha kushibisha tumbo

Aliwahi piga kelele akapata uwaziri, Alijawa kiburi na kebehi kubwa sana mpina

Watu ndumila kuwili hawatufai
ell wants to know about job description? Watu wanataka chakula mezani, siyo porojo. Pesa zinapotea na sisi tunahangaika hii ndiyo issue yetu, tunajua nchi ina Rais na lazima awe responsible.

Kama unakubali kuwa Samia alikuwa hana mamlaka wakati wa JPM kwa nini uoni kuwa hata Mpina hakuwa na hiyo privilege? Wote walikuwa under dictator kama wewe unavyotaka kusema, nakubali, sasa unamtetea Samia wakati unaona ati Mpina kigeugeu huoni hapo hiyo ni double standard?

Acha ya JPM; tujikite sasa, Mama Samia and the Team wameboronga lazima wajibu, na Mpina kwa sasa is right!
 
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
Alikuwa anakamata wavuvi anawaomba rushwa, wakikata, anaenda kuchoma nyavu zao na mitumbwi.

Pia alidhulumu n'gombe nyingi sana, akaenda kuzificha katavi kwa kisingizio kwamba zimetaifishwa.

Mkoa wa Morogoro amedhulumu ekari zaidi ya 1000, wanakijiji hawana mahala pa kulima, ardhi ya kilimo kachukua yote
 
Alikuwa anakamata wavuvi anawaomba rushwa, wakikata, anaenda kuchoma nyavu zao na mitumbwi.

Pia alidhulumu n'gombe nyingi sana, akaenda kuzificha katavi kwa kisingizio kwamba zimetaifishwa.

Mkoa wa Morogoro amedhulumu ekari zaidi ya 1000, wanakijiji hawana mahala pa kulima, ardhi ya kilimo kachukua yote
Ushahidi wako uko wapi?

Kama hauna wacha kelele unatuumiza masikio.
 
Huyu ni moja ya waasisi wa falsafa ya "wewe ni wewe daima hakuna kama wewe baba hapa Tanzania"

Luhaga Mpina ni vigeugeu kama vigeugeu Wengine, Huyu anatafuta chakula.

Alipiga kelele wakati huo akapata uwaziri, Baada ya kupata alijaa kiburi na dharau.

Ashakumu sio matusi huyu ni mfuasi wa falsafa za Sukuma Gang.

Wakati akiwa Waziri na watu walipokuwa wanaokotwa kwenye bahari, maziwa na mito aliyokuwa anaisimamia hakuthubutu kunyanyua mdomo wake mbele ya Rais.
Jibu hoja za Mpina acha mbambamba....
 
Mimi ni mwana ccm Siamini Katika watu wajinga wanaomsagia mwana ccm mwenzao kunguni ili wapate cheo

CCM ni mfumo na taasisi, Tatizo hawa akina Mpina, Makonda, Sabaya, Ally happi na mnyeti waliamini Katika kuligawa Taifa hili

Hawa watu walilazimisha kuwa ndugu zetu wa upinzani ni maadui wa Taifa hivyo tusishiriki hata Katika ndoa, misiba au harusi

Walisahau Taifa hili tumeshaoana na kuzaliana hakuna Chadema wala ccm, Hakuna simba wala Yanga, Tumeshazaliana

Chuki za akina Mpina must stop
CCM hamna mfumo wowote. CCM, Chadema, ACT na wengine wote wa upuuzi. Tunahitaji wagombea binafsi tupate watu wenye akili zao.
 
Hatuwezi kujidumaza kifikra kwa kudharau hoja za wengine kwasababu ya yale waliyofanya siku za nyuma, huko ni sawa na kuliangamiza taifa.

Kama unaamini Mpina hana sifa za kusema kile asemacho sasa kwasababu ya past, basi nioneshe yule aliye mtakatifu ili niwe namsikiliza yeye.
Tatizo sio kusema ukweli , bali huyo anayesema huo ukweli anaweza kuusimamia huo ukweli?
 
Back
Top Bottom