Luhaga Mpina amejaa tena kwenye kosa la utovu wa nidhamu, Bunge limshughulikie kwa kumfungia vikao 30

Na wewe mungu akufunge uhai milele
 
Na Dr. Tulia kwa maamuzi ya hovyo yanaweza ku signal utekelezaji wa mission ya "kitambaa cheusi katika Bunge la Marekani" ulioandikwa na Tumia akili mapema sana!!
 
Mkuu we ni zaidi used diaper haufai hata kwa dustbin.
 
Katukana bunge Zima, kamtukana Mama Abdul pamoja Na Spika wa bunge , adhabu ya kumvua uanachama haimtoshi huyo
Chura kiziwi ataruka kisimani baada ya maji kuwa ya moto na kubabua ngozi yake!
Atakimbilia KWA WAJOMBA zake ndipo rasmi the unknowns will lead from the dark!
 


Aliyewakosea heshima Watanzania ni haya mafisadi yaliyopokea hongo ya bilioni 36 kupitia vibali vya uagizaji sukari nje ya nchi. Na mengine yaliyokosa heshima kwa watanzania, ni yale majitu yote yanayotetea huu ufisadi.
 
Wewe chawa acha ungese
 
ni imani yangu spika makini wa bunge mh. Dr.Tulia Akson hatavumilia wala kusita kuchukua hatua za kikanuni na za kusheria dhidi ya muungwana huyu kwa wakati muafaka....

vile vile, ni imani yangu,
Dr.Tulia Aksoni hata kubali hata kidogo najisi hii inayofanywa na mtu huyu asie mkweli kinyume na sheria na kanuni za bunge, tena mtu anaetumikia adhabu ya bunge kwa sababu ile ile ya kukiuka taratibu, kanuni na sheria za bunge...

hii kiburi, jeuri, dharau na majivuno lazima ikomeshwe na kukemewa kwa nguvu zote, na iwe fundisho kwa wengine wenye hulka za utovu wa maadili kama huyu muungwana....

nashauri Chama Chake cha Mapinduzi CCM, kusimcheleweshe hata kidogo, kumtia adabu ili akili imkae sawa kwanza.
 
CCM siku hizi wananyukana wao kwa wao...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…