Luhaga Mpina amlipua Waziri Makamba, amtuhumu kwa Uhujumu Uchumi. Atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua

Amejaa chuki tu dhidi ya Makamba!

Saivi Hakuna mgao na hali ya umeme umerudi kuwa kawaida! Kama kukatika umeme umeme haijaanza kukatika Leo wala jana!

Kuhusu bei ya Mafuta inabidi atuambie ni wapi duniani Mafuta hayajapanda bei!

Amejawa na chuki tu Huyu mpuuzi na mkabila! Wana hasira na Makamba wa watu Kwa kuendekeza upuuzi wao wa roho mbaya
 
Mpina atulie. Watu wa Kisesa wanazo shida nyingi zaidi. Makamba hawezi kufanya kazi y kuondoa tozo ya mafuta bila idhini ya baraza la mawaziri.
Wana chuki na Makamba wa watu kisa mjinga mwenzao kawaaminisha anahusika na kifo cha mungu wao!

Wamejaa ujinga tu ndo mana wanaua vikongwe kwao kwa kuwahisi tu kuwa ni wachawi
 
Makamba hawezi kufanywa chochote wala kuguswa.
Kama Baba yake alipewa jukwaa siku ile arushe madongo kwa JPM mnategmea nini?
Suala sio makamba kuguswa! Suala ni kumsakama mtu kwa chuki zako tu!

Makamba anahusikaje na kupanda kwa umeme? Kama sio ujinga ni nini hicho?
 
Makamba amefeli mapema sana
Hajafeli ila anafanyiwa hujuma na baadhi ya watendaji ambao kimsingi sio wazalendo, lengo lao ni kumuqngusha Waziri bila kujali gharama na adha wanazo zipata wananchi.
na hili ndio tatizo la kujaza watu wa aina moja ktk Idara za Serikali, matokeo yake ni hujuma za chini kwa chini.
tubadilike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…