Luhaga Mpina amlipua Waziri Makamba, amtuhumu kwa Uhujumu Uchumi. Atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua

Yaani kutwa mnamtukana Samia,halafu mnataka hamrudishe huyo mpuuzi mwenzenu kwenye hiyo wizara,,nyie kweli wapumbavu wakubwa
Huyo Makamba anapewa makavu live ya ukweli wewe unageuzia eti Samia... Ajibu hoja kwanza zinazohusu masuala muhimu ya nchi uswahili wa vijiweni.
 
MPINA WHAT
 
Tusifike huko wakuu..tuwe tunapima uzito wa hoja kuliko kumjadili mleta hoja.
Hivi hoja yake haina mashiko?

Tangu lini waziri aliwahi kuikosoa serikali?
Ni haki uake kama mbunge.
Hata alipokuwa Waziri alikuwa hasikii cha muadhin wala sheikh.

Umesahau kupima samaki kwa ruler mgahawani bungeni?
 
Uvuvi haramu ulikwisha na viwanda vya samaki vilianza kupata samaki wengi sana.

Uvuvi haramu na madawa ya kulevya hayaishi kwa kutamka tu ni mapaka uchukue hatua.
Viwanda gani vilipata samaki? Nenda viwanda vya samaki Kemondo Bukoba na Mwanza vicfish ,Nile,vimekofa mpaka Leo toka kipindi Cha Mpina kwa kukisa samaki,Acha kusoma taarifa za mitandaoni,nenda kajionee.
 
Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli haitawaacha salama, walidhani kuongoza ni jambo rahisirahisi kama kujibatiza jina la kigogo2014 huko twita.
Kwani Kuna mtu hakushangilia kifo kile. Hata wewe indirectly ulifurahi
 
Kuvunja katiba kunahitaji ushahidi gani tena??? ibara za katiba ziko wazi
 
Viwanda gani vilipata samaki? Nenda viwanda vya samaki Kemondo Bukoba na Mwanza vicfish ,Nile,vimekofa mpaka Leo toka kipindi Cha Mpina kwa kukisa samaki,Acha kusoma taarifa za mitandaoni,nenda kajionee.
Acha ujinga wako wewe kunauwezekano hata mwanza huijui, Wewe umeshajigeuza zezezta la kutetea uinga wote wa mama na serkali yake.
 
Chanzo cha habari hii tafadhali.
 
Chuki tu na kugombania maslahi
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ haya kakae na mavi yako nyumbani.πŸ˜„πŸ˜„
Unachekacheka kishoga huku hewa inatokea makalioni mbwa wewe. Unajichekesha utakula mdudu mbwa wewe kamuandalie shemeji yako maji ya kuoga akupasue unajichekesha huku utaambulia shahawa upate mimba usijue baba ni nani Kama mamako alivyokuzaa unaishia kumtukana sababu huna baba. Laanakum
 
Kauli ya waziri sio kauli ya Rais acha uongo, mfano waziri Mkenda alipotoa kauli kuhusu kuagiza sukari ya nche ilikuwa ni kauli ya Rais? Kama ilikuwa kauli ya Rais mbona Rais mwenyewe aliipuuzilia mbali na kumsema waziri wake hadharani!
 
Haya ndiyo majibu ya hoja za Mpina?
Pumbavu zako kabisa
Yule mwehu, Mpina na wewe, bila shaka ni wamoja. Dialo anafahamu tatizo lenu.

Mpina kama anazo kidogo zilizosalia, ajitahidi kuiomba Serikali iboreshe huduma za Mirembe hospital ili clinic mnazohudhuria pale zilete matokeo chanya.
 
Wana chuki na Makamba wa watu kisa mjinga mwenzao kawaaminisha anahusika na kifo cha mungu wao!

Wamejaa ujinga tu ndo mana wanaua vikongwe kwao kwa kuwahisi tu kuwa ni wachawi
Hoja za Mpina ni nyepesi. Kuhusu sukuma, mimi sishabikii sukuma gang.
Lkn kuhusu Makamba ni MWEUPEEEEE MNO wala vita isiwe kisingizio. Hana strategy za hiyo Wizara, i.e bora angepewa hata NAPE,
Mfano unaulizwa , Swali na wabunge. Unaacha kujibu kama serkali unasema eti mlikuwa hamtaki niwe waziri au mnautaka uwaziri wangu. Rubbish.

Huwezi kuja na hoja eti hakuna winchi ya kufunga milango ya bwawa kama kichwani uko biyeee
 
Ila kwenye wizi wa fedha, sijui kama kuna aliyemfikia Makonda. Pia haijawahi kutokea RC kuwa kiongozi wa kundi la watu wasiojulikana, na kazi yake kubwa ikiwa ni kusimamia utekaji wa watu, upotezaji watu na hata kuua. Ni Makonda pekee yake. Na ndiye kiongozi pekee wa Tanzania ambaye amepigwa marufuku kuingia US kutokana na yeye kushiriki kuwanyima watu haki yao ya kuishi (ikimaanisha ni muuaji).

Naye Sabaya, wakati akiwapora pesa watu kwa nguvu, aliweza kutamka kuwa eti hiyo inaitwa "Makonda style".
 
mama anaupiga mwingi.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…