Luhaga Mpina amlipua Waziri Makamba, amtuhumu kwa Uhujumu Uchumi. Atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua

Luhaga Mpina amlipua Waziri Makamba, amtuhumu kwa Uhujumu Uchumi. Atoa wito kwa TAKUKURU kumchukulia hatua

Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli haitawaacha salama, walidhani kuongoza ni jambo rahisirahisi kama kujibatiza jina la kigogo2014 huko twita.
Huyo dikteta kalaaniwa na kila kiumbe chenye uhai, laanaakum kabisa,

Muacheni mama atuletee maendeleo, na Makamba kwa taarif yenu nyie wasukuma,,hatotolewa kwenye hiyo wizara ,nyau nyie
 
Umelinganisha kimlinganyo? Uchumi wa Tanzania unafanana na wa Marekani... Mbona wasomi mnatuangusha sana
Issue sio mlinganyo! Issue ni mafuta yamepanda kote duniani kwa iyo hadi Marekani nao wamlaumu Makamba?
 
Muwe wakweli sio kulaumu tuu kuhusu bei ya mafuta, Tanzania haina control yeyote na bei ya mafuta labda kama serikali inataka kuwalipia , bei ya mafuta imepanda sana soko la dunia sasa hata US gallon imefika 4$ ambayo ni kama ongezeko la 100% kutoka mwaka jana na hiyo shilingi 100 isiwe issue maana haiwezi kuleta unafuu wowote kwenye mafuta, January ana ujinga wake lakini kwa mafuta hana control yoyote
 
Makamba kazi yake ni nini? Dhamana yake inampasa afanyaje?
Kwa iyo kazi ya Makamba ni kushusha Bei ya mafuta wakati kwenye soko la Dunia na duniani kote mafuta yamepanda?

Huyu makamba basi atakuwa Malaika sio binadamu 😂
 
Mpina alikuwa anachukua ng'ombe za wafugaji na kuzipeleka kwenye mazizi yake ? Huyu aliyefilisi wavuvi kwa sababu za kijingajinga kabisa?

Anamuota rafiki yake Kalemani, hatarudi pale nishati.

Huyu Mpina kama anauota uwaziri, asubiri usiku, ni kiongozi wa hovyo sana.

Luhaga Mpina anampinga sana mama Samia, asidhani 2025 ni mbali
Huyo Mpina 2025 Hana ubunge
 
Hoja yako ndiyo imeishia hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unatia huruma
Magufuli kashakufa,Kama hamtaki kuongozwa na Samia,hamieni Somalia mbuzi nyie,

Huyo Kalemani wenu msitegemee kama atarudi nishati au kupewa Tena uwaziri,,msahau kabisa kabisa
 
Mpina alikuwa anachukua ng'ombe za wafugaji na kuzipeleka kwenye mazizi yake ? Huyu aliyefilisi wavuvi kwa sababu za kijingajinga kabisa?

Anamuota rafiki yake Kalemani, hatarudi pale nishati.

Huyu Mpina kama anauota uwaziri, asubiri usiku, ni kiongozi wa hovyo sana.

Luhaga Mpina anampinga sana mama Samia, asidhani 2025 ni mbali
Sindano imekuingia
 
Watu wa jiwe mnakazi na mnakazi sana na mtakubali tu kua jiwe alishatoweka harudi na hatorudi
Sukuma gang ebu kaeni kwa kutulia
 
Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli haitawaacha salama, walidhani kuongoza ni jambo rahisirahisi kama kujibatiza jina la kigogo2014 huko twita.
Waziri Kalemeni alionewa bure baba wa watu
 
Kwa iyo kazi ya Makamba ni kushusha Bei ya mafuta wakati kwenye soko la Dunia na duniani kote mafuta yamepanda?

Huyu makamba basi atakuwa Malaika sio binadamu [emoji23]

Swala sio makamba kazi yake kushusha bei, hizi bei zimepanda sitaki kuamini kila Mtanzania anatambua kama zimepanda kwasababu gani, mimi nashanga wizara yake kuwa kimya bila kuwafanunulia rai pia huoni kama wanapishana kauli na rais juu ya tozo 100 kuitoa au kuibakisha.. Shida nikuona hilo lipo sawa
 
mbona povu sana, tuliza mshono. vita ndio imeanza sasa hamtaki tutagawana nchi, nyie mbaki na bandari yenu na sisi tubaki na madini yetu.
Ebu jaribuni kenge nyinyi, ex solder tunawavunja makalio hayo
 
Waziri Kalemeni alionewa bure baba wa watu
Mchukueni akawe waziri wa usukumani, wapuuzi nyie,kwani alizaliwa hawe waziri,au iyo wizara ya baba yake,

Acheni kumuandama Makamba na mama
 
Tatizo sio honest broker... anakotokea tunakujua, next one please
 
Back
Top Bottom