Huyo wakili wa tatu ndiyo kishajihukumu mwenyewe kisheria, kuwa Spika hashitakiwi. Eti atayaongelea mbele huko, Hapo kuna mbele ipi nyingine? Anawadanganya wajinga ndiyo waliwao.
kama haiyoshi, nini kimefanya huyo wakili wa tatu kunyoa nyusi namna hiyo? Muendelezo wa wale wale.
Huyo na mpina ni chama kikundi kimoja, hakuna shaka. Kama mnakumbuka mina alivyowapima samaki kwa rula, kuna wabunge wakataka wabunge wote wapimwe marinda( astakafullahi111) bungeni. Kama mlikuwa hamuelewi alilengwa nani baada ya kuwapima samaki kwa rula, sasa mnaelewa.
Huyo wakili hizo nyusi alivyonyowa ni kama mishangazi ile ya mipasho na anavyorembuwa maho, kuliko wenye macho yao.
Huyo ndiyo kishashindwa kabisa.
Wanatutowa kwenye mstari wakati kuna vitu vya maana sasa hivi.