Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 3,384
- 4,428
Upo ki-dictator-dictator - na Vitisho- kama vya - kiarabu-arabWameshindwa kesi kabla haijaanza.
Wakili wa kwanza anasema "Wanashitaki viwanda vya sukari kupata hasara" wakati anayeshitaki hana kiwanda cha sukari.
halafu wakati huohuo kesi ya boiashara unaofanya ya kikatiba.
Ujuha huo.
Hawa wanaisumbuwa mahakama, walipe ghatrama za kesi na wawalipe wanaowachafuwa majina.,3
Kesi hii itaishia Mpina kufilisiwa siyo tu na aliowashitaki bali na wenye viwanda pia.
Hivi Mwenye kiwanda kipi cha sukari Tanzania anauwezo wa kusimama na kuipinga serikali?
Huyo wa kwanza, macho yake yameanza kulia kabla hajalizwa.
Yes inaweza toa ndo maana kuna kitu cha chek and balance, ndo maana waziri anayetokana na Serikali anaweza wajibishwa na Mahakama au wakatoa ruling ya nini kifanyike, Ila hapo ni naongelea zenye kuweza kutafuna mfupa siyo za kubugia ujiMahakama inaweza kutoa hukumu kuhusu uendeshwaji wa mhimili unaojitegemea wa Bunge na Spika?
Hukumu hiyo haitaharibu uhuru wa Bunge kama mhimili unaojitegemea?
Mbombo ngafu!Kazi ipo!
Hapana.Yes inaweza toa ndo maana kuna kitu cha chek and balance, ndo maana waziri anayetokana na Serikali anaweza wajibishwa na Mahakama au wakatoa ruling ya nini kifanyike, Ila hapo ni naongelea zenye kuweza kutafuna mfupa siyo za kubugia uji
Britanicca
Punguza haraka na andika kwa umakini. Kwani umefundishwa ujinga?Huyo wakili wa tatu ndiyo kishajihukumu mwenyewe kisheria, kuwa Spika hashitakiwi. Eti atayaongelea mbele huko, Hapo kuna mbele ipi nyingine? Anawadanganya wajinga ndiyo waliwao.
kama haiyoshi, nini kimefanya huyo wakili wa tatu kunyoa nyusi namna hiyo? Muendelezo wa wale wale.
Huyo na mpina ni chama kikundi kimoja, hakuna shaka. Kama mnakumbuka mina alivyowapima samaki kwa rula, kuna wabunge wakataka wabunge wote wapimwe marinda( astakafullahi111) bungeni. Kama mlikuwa hamuelewi alilengwa nani baada ya kuwapima samaki kwa rula, sasa mnaelewa.
Huyo wakili hizo nyusi alivyonyowa ni kama mishangazi ile ya mipasho na anavyorembuwa maho, kuliko wenye macho yao.
Huyo ndiyo kishashindwa kabisa.
Wanatutowa kwenye mstari wakati kuna vitu vya maana sasa hivi.
Anajilinda vipi dhidi ya watu wasiojulikana.Hata kama matokeo hayatatoka leo ama kesho ama hayatatoka in favor ya Mpina, napenda courage yake, napenda fighting spirit ndani yake. Mpina ana ile kitu inaitwa intestinal and testicular fortitude. Sio mtu wa kukubali kushindwa kirahisi.
Sinema zetu hakika ni za kwetuMawakili wa Luhaga Mpina wanazungumza na waandishi wa habari muda huu.
Pamoja na nambo mengine, mawakili hao wamesema mojawapo ya kesi zilizofunguliwa ni ile anayomshtaki Spika wa Bunge na Mwanasheria mkuu wa Serikali kwa kunyang'anywa na kunyimwa haki ya kuwakilisha wananchi wa kisesa na watanzania wote kwa vikao 15 Bungeni ambapo msingi wa kesi yake anaamini ameonewa kwa kuondolewa kinyume cha Sheria.
Aidha, Mpina anaamini hatua za kuchukuliwa dhidi yake zilikuwa zimepangwa hata kabla ya yeye kusikilizwa.
Hadi sasa, zaidi ya Mawakili 100 wamejitolea kumsaidia Mpina kwenye kesi hii.
Pia soma
Je huna kumbukumbu SERIKALI kushtakiwa mahakamani? Je SERIKALI si mihimili ?Hapana.
Mahakama haiwezi kutoa hukumu kuhusu jinsi Bunge linavyojiendesha.
Because of "separation of powers".
Hilo ni suala lililo chini ya muhimili wa Bunge, chini ya Spika.
Mahakama itasema "Hili ni suala lililo chini ya Bunge, Mahakama haiwezi kuhukumu. Rudisheni shauri hili Bungeni"
Kumbukumbu zipo nyingi sana, hata Mahakama yenyewe pia huwa inashitakiwa Mahakamani na inashindwa Kesi. Lakini kwa suala hili la Mpina ni tofauti kidogo, lina exceptions nyingi.Je huna kumbukumbu SERIKALI kushtakiwa mahakamani? Je SERIKALI si mihimili ?
Mkuu,Je huna kumbukumbu SERIKALI kushtakiwa mahakamani? Je SERIKALI si mihimili ?
Mzee wa kwa madiba upoYes inaweza toa ndo maana kuna kitu cha chek and balance, ndo maana waziri anayetokana na Serikali anaweza wajibishwa na Mahakama au wakatoa ruling ya nini kifanyike, Ila hapo ni naongelea zenye kuweza kutafuna mfupa siyo za kubugia uji
Britanicca
Kwahiyo More than ya mawakili 100 , hawajui Sheria linapokuja suala la Bunge?.Hiyo kesi haina mashiko, proceeding za Bunge zina kinga chini ya sheria na katiba, atapigwa kama ngoma
Kwan Kesi ya MPINA Kwa Spika ni juu ya Adhabu, au Kanuni na Sheria ambazo zilikiukwa katika kufikia Hukumu hiyo??.Mkuu,
Hata Spika anaweza kushtakiwa mahakamani.
Akipigana na jirani yake mtaani anaweza kushtakiwa mahakamani.
Tatizo hapa shauri linahusu uendeshwaji wa Bunge. Mahakama haiwezi kuhukumu suala la uendeshwaji wa Bunge. Hilo ni suala la Bunge. Kuna precedent tayari, Mahakama ishakataa hizi kesi za beef za Bungeni, ikasema hayo mambo ya Bunge yamalizeni Bungeni.
Mahakama pia haiwezi kusikiliza kesi ya kumshitaki rais kateua au katengua mtu kwenye uteuzi wa serikali, Rais ana mamlaka yote kuhusu hilo na mahakama haiwezi kumuingilia.
Same thing kwa Spika. Hakuna kesi ya shauri la Spika anavyoendesha Bunge ambayo itatolewa hukumu na mahakama. Hukumu hiyo itaingilia uhuru wa Bunge na kuharibu kanuni ya separation of powers.
Sisi kina hohehahe tukae pembeni, tule popcorn na soda bardiii.Kwan Kesi ya MPINA Kwa Spika ni juu ya Adhabu, au Kanuni na Sheria ambazo zilikiukwa katika kufikia Hukumu hiyo??.
Na kama Kanuni na Sheria zinakiukwa na Bunge, ni nani hasa Sasa mwenye MAMLAKA ya kuzitafasiri ?.
Swali la Mwisho, mawakili zaidi ya 100, Hawa wote Hilo hawalijui kiasi kwamba Kiranga ndio unalijua pekeako??. 🤣