Luhaga Mpina ataka Katiba mpya inayolinda Rasilimali za Nchi

Luhaga Mpina ataka Katiba mpya inayolinda Rasilimali za Nchi

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Adai wizi wa Rasilimali , Ufisadi na Uozo unaoendelea na matokeo ya Katiba yetu kua na matobotobo.

Machawa wa Samia watamshambulia, wanasahau kua Tume ya Jaji Warioba, ilipendekeza KATIBA MPYA.

Anakua Mwanasiasa wa kwanza kutoka CCM kuungana na mwenye Akili LISSU juu ya KATIBA MPYA.
 
Ni wazi zuri ingawa jamaa anatapatapa sana kutaka kumharibia flani......nashangazwa tu na ukimya wake katika kipindi flani
 
Adai wizi wa Rasilimali , Ufisadi na Uozo unaoendelea na matokeo ya Katiba yetu kua na matobotobo.


Machawa wa Samia watamshambulia, wanasahau kua Tume ya Jaji Warioba, ilipendekeza KATIBA MPYA.


Anakua Mwanasiasa wa kwanza kutoka CCM kuungana na mwenye Akili LISSU juu ya KATIBA MPYA.
Nakumbuka mzee warioba alipomaliza kuwasilisha rasimu ya katiba mpya; wabunge wa ccm wengi walisimama na kumpongeza.Sijui kilitokea nini baadaye hawa jamaa kuweka mpira kwapani.Hakuna ushahidi kwamba k/mpya ndiyo kushinda uchaguzi kwa chadema au ccm bali ni ushindi wa maamuzi ya wananchi
 
Nahofia kichwa cha huyo Mpina kupinwa na watu wasiojulikana, nalijuwa vyema hili taifa
 
Back
Top Bottom