Luhaga Mpina ataka Katiba mpya inayolinda Rasilimali za Nchi

Luhaga Mpina ataka Katiba mpya inayolinda Rasilimali za Nchi

Wakati wa Mabadiliko ukifika hakuna wa kuyazuia.

Tundu Lissu aliposema Umuhimu wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi vilaza wa CCM walianza kumjibu kwa kukurupuka bila kujua kumbe hata huko CCM wenye akili timamu wanasema Katiba Mpya ni sasa.

Asante sana Luhaga Mpina. Ni vizuri wana CCM wengi wanaoangalia maslahi mapana ya nchi na sio ya chama na mtu mmoja mmoja kuzidi kujitokeza na kudai Katiba Mpya sasa.

Asante Tundu Lissu. Nyoka wameanza kutoka pangoni.

Hapa tu retreat ya Chadema haijafanyika, ikifanyia sipati picha inzi wa kijani watakuwa kwenye hali gani?

#NoReformNoElection
 
Lissu effect tutaelewana tu
images (1).jpeg
 
HUYU MPINA NDO YULE MZEE AMBAE HAKUSIMAMA KUSHANGILIA ULE USHUZI WA VITANO TENA AU MWINGINE??
 
Nakumbuka mzee warioba alipomaliza kuwasilisha rasimu ya katiba mpya; wabunge wa ccm wengi walisimama na kumpongeza.Sijui kilitokea nini baadaye kwapani.Hakunahawa jamaa kuweka mpira ushahidi kwamba k/mpya ndiyo kushinda uchaguzi kwa chadema au ccm bali ni ushindi wa maamuzi ya wananchi
Kama CCM wangekuwa wanajali maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla, hayo uliyoyaandika wangeyazingatia.

Tatizo la msingi ni kuwa CCM sio chama cha siasa tena, ni genge la wanyang'anyi wanaotumia siasa kushibisha matumbo yao na ya familia zao.

Chukua Chako Mapema (CCM).
 
Wakati wa Mabadiliko ukifika hakuna wa kuyazuia.

Tundu Lissu aliposema Umuhimu wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi vilaza wa CCM walianza kumjibu kwa kukurupuka bila kujua kumbe hata huko CCM wenye akili timamu wanasema Katiba Mpya ni sasa.

Asante sana Luhaga Mpina. Ni vizuri wana CCM wengi wanaoangalia maslahi mapana ya nchi na sio ya chama na mtu mmoja mmoja kuzidi kujitokeza na kudai Katiba Mpya sasa.

Asante Tundu Lissu. Nyoka wameanza kutoka pangoni.

Hapa tu retreat ya Chadema haijafanyika, ikifanyia sipati picha inzi wa kijani watakuwa kwenye hali gani?

#NoReformNoElection
Lumumba ipi hiyo?!!
Mh.Luhaga Mpina si msemaji wa CCM wala wanalumumba....

Watanzania walio wengi hawaihitaji katiba mpya....wanaohitaji ni wanasiasa wachache akina Lissu.....

Katiba si mali ya wanasiasa peke yake.....

#Nchi Kwanza!
#Katiba iliyopo ni bora !!
 
Wakati wa Mabadiliko ukifika hakuna wa kuyazuia.

Tundu Lissu aliposema Umuhimu wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi vilaza wa CCM walianza kumjibu kwa kukurupuka bila kujua kumbe hata huko CCM wenye akili timamu wanasema Katiba Mpya ni sasa.

Asante sana Luhaga Mpina. Ni vizuri wana CCM wengi wanaoangalia maslahi mapana ya nchi na sio ya chama na mtu mmoja mmoja kuzidi kujitokeza na kudai Katiba Mpya sasa.

Asante Tundu Lissu. Nyoka wameanza kutoka pangoni.

Hapa tu retreat ya Chadema haijafanyika, ikifanyia sipati picha inzi wa kijani watakuwa kwenye hali gani?

#NoReformNoElection
Katiba ni takwa la msingi, tunaitaka sasa
 
Mbona Mpina tangu muda tu anajulikana msimamo wake kabla hata ya Lisu kuwa mwenyekiti
 
Lumumba ipi hiyo?!!
Mh.Luhaga Mpina si msemaji wa CCM wala wanalumumba....

Watanzania walio wengi hawaihitaji katiba mpya....wanaohitaji ni wanasiasa wachache akina Lissu.....

Katiba si mali ya wanasiasa peke yake.....

#Nchi Kwanza!
#Katiba iliyopo ni bora !!
Sasa ccm Katiba yao wanaipuuza itakuwa Katiba ya nchi?
Mwenyekiti wenu bi kiboko alishasemaga katiba ni kitabu tu hakina maana yoyote!
 
Back
Top Bottom