Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Wakati wa Mabadiliko ukifika hakuna wa kuyazuia.
Tundu Lissu aliposema Umuhimu wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi vilaza wa CCM walianza kumjibu kwa kukurupuka bila kujua kumbe hata huko CCM wenye akili timamu wanasema Katiba Mpya ni sasa.
Asante sana Luhaga Mpina. Ni vizuri wana CCM wengi wanaoangalia maslahi mapana ya nchi na sio ya chama na mtu mmoja mmoja kuzidi kujitokeza na kudai Katiba Mpya sasa.
Asante Tundu Lissu. Nyoka wameanza kutoka pangoni.
Hapa tu retreat ya Chadema haijafanyika, ikifanyia sipati picha inzi wa kijani watakuwa kwenye hali gani?
#NoReformNoElection
Tundu Lissu aliposema Umuhimu wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi vilaza wa CCM walianza kumjibu kwa kukurupuka bila kujua kumbe hata huko CCM wenye akili timamu wanasema Katiba Mpya ni sasa.
Asante sana Luhaga Mpina. Ni vizuri wana CCM wengi wanaoangalia maslahi mapana ya nchi na sio ya chama na mtu mmoja mmoja kuzidi kujitokeza na kudai Katiba Mpya sasa.
Asante Tundu Lissu. Nyoka wameanza kutoka pangoni.
Hapa tu retreat ya Chadema haijafanyika, ikifanyia sipati picha inzi wa kijani watakuwa kwenye hali gani?
#NoReformNoElection