Luhaga Mpina ataka Katiba mpya inayolinda Rasilimali za Nchi

Uchawa ni kuahirisha kufikiri kizalendo a.k.a kujizima data
 
Chanzo Cha habari mkuu?
Au hakuna la video?

Mpina alindwe ana kitu atafika mbali

Mkuu samaleko lakini
Mkuu Yuko laivu, Jamaa anasusha nondo hii inaitwa fungua Mwaka, anagusia kila kitu , narudia anagusia Kila kitu unachokijua wewe chenye masilahi na Taifa.
 
mzee wa msoga ndiye janga wa hili taifa kwa sasa
 
Huyu mpina hatumfukuzi huku CCM, labda aamue kuondoka mwenyewe. Hii mitego ni ya kitoto sana.
 
Mkuu Yuko laivu, Jamaa anasusha nondo hii inaitwa fungua Mwaka, anagusia kila kitu , narudia anagusia Kila kitu unachokijua wewe chenye masilahi na Taifa.
Mkuu hujajibu salamu .... Samalekoooo
Huyo Mpina alindweeeee sana
Ni hazina hiyo
 
Kama unaamini hivyo, basi wewe ni mshamba wa siasa za Tanzania.
 
Anaefikiri Mpira yuko peke yake, ajjue uwezo wake wa kufikiri, kutafakari na kuchambua mambo uko chini sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…