Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Unawaza ubunge tu,mwenzio analiwazia Taifa...hamuoni haya kabisa nyie.Mwana ccm mwenyewe ambaye kapoteza matumaini ya ubunge
Kivipi?Msimamo wa mpina tangu zamani unajulikana.
Kama CCM wangekuwa wanajali maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla, hayo uliyoyaandika wangeyazingatia.Nakumbuka mzee warioba alipomaliza kuwasilisha rasimu ya katiba mpya; wabunge wa ccm wengi walisimama na kumpongeza.Sijui kilitokea nini baadaye kwapani.Hakunahawa jamaa kuweka mpira ushahidi kwamba k/mpya ndiyo kushinda uchaguzi kwa chadema au ccm bali ni ushindi wa maamuzi ya wananchi
Madai ya Katiba mpya ameyasema tangu zamani,Kivipi?
Lumumba ipi hiyo?!!Wakati wa Mabadiliko ukifika hakuna wa kuyazuia.
Tundu Lissu aliposema Umuhimu wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi vilaza wa CCM walianza kumjibu kwa kukurupuka bila kujua kumbe hata huko CCM wenye akili timamu wanasema Katiba Mpya ni sasa.
Asante sana Luhaga Mpina. Ni vizuri wana CCM wengi wanaoangalia maslahi mapana ya nchi na sio ya chama na mtu mmoja mmoja kuzidi kujitokeza na kudai Katiba Mpya sasa.
Asante Tundu Lissu. Nyoka wameanza kutoka pangoni.
Hapa tu retreat ya Chadema haijafanyika, ikifanyia sipati picha inzi wa kijani watakuwa kwenye hali gani?
#NoReformNoElection
Katiba ni takwa la msingi, tunaitaka sasaWakati wa Mabadiliko ukifika hakuna wa kuyazuia.
Tundu Lissu aliposema Umuhimu wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi vilaza wa CCM walianza kumjibu kwa kukurupuka bila kujua kumbe hata huko CCM wenye akili timamu wanasema Katiba Mpya ni sasa.
Asante sana Luhaga Mpina. Ni vizuri wana CCM wengi wanaoangalia maslahi mapana ya nchi na sio ya chama na mtu mmoja mmoja kuzidi kujitokeza na kudai Katiba Mpya sasa.
Asante Tundu Lissu. Nyoka wameanza kutoka pangoni.
Hapa tu retreat ya Chadema haijafanyika, ikifanyia sipati picha inzi wa kijani watakuwa kwenye hali gani?
#NoReformNoElection
Sasa ccm Katiba yao wanaipuuza itakuwa Katiba ya nchi?Lumumba ipi hiyo?!!
Mh.Luhaga Mpina si msemaji wa CCM wala wanalumumba....
Watanzania walio wengi hawaihitaji katiba mpya....wanaohitaji ni wanasiasa wachache akina Lissu.....
Katiba si mali ya wanasiasa peke yake.....
#Nchi Kwanza!
#Katiba iliyopo ni bora !!
Bunge la katiba mjini dodomaAliongea akiwa wapi ?🐼