Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Kwa hio hata aliepata Division Zero darasa la 7 anafaa kua kiongozi km akifanyiwa usaili akapita au sio?Hili la kuteua tu mtu kwa kuangalia alisoma chuo fulani na chuo fulani au alipata A kweye cheti kisha unamteua ndio inafanya tunapata incompetent leaders,lazima tuanze kufanya usaili