Pre GE2025 Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24

Pre GE2025 Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Taarifa yake hii hapa
===

“Niliahidi kwenda Mahakamani, naomba kutoa taarifa kwamba ndani ya Saa 24 nitakuwa nimeshafungua kesi zote zinazohitajika kama ifuatavyo, kesi dhidi ya kupingwa kufukuzwa Bungeni, kesi ya pili itakuwa dhidi ya Hussen Bashe, Mwigulu Nchemba, kamishna ya TRA na bodi ya Sukari” Luhaga Mpina

“Waziri wa kilimo Hussein Bashe, Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba, bodi ya Sukari na TRA, makampuni yasikuwa na viwanda vya sukari wote kwa pamoja walikula njama na kuisababishia Serikali hasara ya shilingi Trillion 1.54”

Wapo baadhi ya wananchama wa CCM wameingiwa na wasiwasi kwamba nitahama CCM, mimi ni mwanaccm sio wa kuandikishwa bali ni wa kuzaliwa ninachosimamia Bungeni ni msingi imara ya Chama cha Mapinduzi

Sitafukuzwa CCM nadhani kule CCM nitakwenda kuvikwa nishani kwa sababu haya ninayoyaongea ndio ya CCM yenyewe ili iweze kuleta maendeleo kwa watu, kukomesha dhuluma na kutekeleza ilani”

"UKIMUNG'UNYA NCHALE UKITEMA NCHALE"

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Ngoja..🙄🙄
 
Taarifa yake hii hapa
===

“Niliahidi kwenda Mahakamani, naomba kutoa taarifa kwamba ndani ya Saa 24 nitakuwa nimeshafungua kesi zote zinazohitajika kama ifuatavyo, kesi dhidi ya kupingwa kufukuzwa Bungeni, kesi ya pili itakuwa dhidi ya Hussen Bashe, Mwigulu Nchemba, kamishna ya TRA na bodi ya Sukari” Luhaga Mpina

“Waziri wa kilimo Hussein Bashe, Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba, bodi ya Sukari na TRA, makampuni yasikuwa na viwanda vya sukari wote kwa pamoja walikula njama na kuisababishia Serikali hasara ya shilingi Trillion 1.54”

Wapo baadhi ya wananchama wa CCM wameingiwa na wasiwasi kwamba nitahama CCM, mimi ni mwanaccm sio wa kuandikishwa bali ni wa kuzaliwa ninachosimamia Bungeni ni msingi imara ya Chama cha Mapinduzi

Sitafukuzwa CCM nadhani kule CCM nitakwenda kuvikwa nishani kwa sababu haya ninayoyaongea ndio ya CCM yenyewe ili iweze kuleta maendeleo kwa watu, kukomesha dhuluma na kutekeleza ilani”

"UKIMUNG'UNYA NCHALE UKITEMA NCHALE"

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Maelezo yake ya safari hii ni marefu sana.Lakini naomba text ili niyasome kwa raha zangu
 
Najua sasa unaweweseka kwani umeshatonywa kuwa Ubunge mwakani haupo tena hivyo unajifanya tu Kuhangaika na Vitisho vyako na Mikwara yako Mbuzi. Hivi Wewe unaweza kweli Kushindana na CCM ambayo pia imeikamata System yote ya nchi? Hamia zako tu huko Upinzani kwani tumeshachoka Kutwa tu kuona Vitisho vyako. Halafu nakusihi tu uwe makini mno kwani hata Horace Kolimba nae aliambiwa hivi hivi ila akawaona Washauri hawana Akili na hatimaye Watu wakamaliza Shughuli katika Podium pale Dodoma.
 
Back
Top Bottom