Luhaga Mpina: Mfumuko wa bei umetengenezwa. Ataka uchunguzi kilichojificha Symbion na mikataba mibovu ikafutwe bungeni

You don't know him. Hizo ni hasira za kukosa Uwaziri. Tena ashukuru Mungu yuko huko mjengoni sababu alikosa ubunge 2020. Ule uchafuzi ndiyo umemuweka hapo. Hata Mwendazake alitamka hadharani hicho kitu. La mwisho kabisa ana bifu na February Marope tangu wapo Mazingira.
 
Asante wewe umeongea ukweli, ifike mahala, sio kila mwana CCM anayetofautiana na mamlaka akaitwa sukuma gang, sababu hii inawapa nguvu sana wapigaji na wale wote wenye nia mbaya na hii nchi.
Kwa taarifa yako Mpina ni Sukuma Gang hasa na hampendi SSH. Mbaya zaidi alivyokosa Uwaziri kipindi cha Mwendazake na SSH kumteua February ndiyo chuki hasa ilipoanza.
 
Mjinga sana huyo. Atawa-fool wasiomfahamu pimbi yule
 
Huyu poyoyo aniponda India kwenye IT?

Haelewi kuwa kampuni zote kubwa duniani za IT zinawatumia wataalaam wa kutokea aindia, na nyingi zaidi zina "outsource" kutoka India.

Hivi mbunge kama huyu anapataje ubunge?


Dunia nzima mfumuko wa bei iliutengeza Tanzania? hovyo kweli huyu jamaa.
 
Huyo hana lolote ni sukuma gang tu.
 
Nasisitiza ni wanafiki tu hao .Huyu kuna kitu anakitafuta, akipata atakaa kimya kama wenzake.
Afu bado tu kuna punguwani wanaamini kwa akili hizi ipo siku Chadema wataongoza nchi hii [emoji848][emoji19]

Hata kipofu anaelewa kabisa kuwa ninyi ni mawakala tu wa serikali husika mnaopigania matumbo yenu basi [emoji28]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 

Yeye mwenyewe ni fisi tena lafi sana!
Kumzidi JPM? Acha maskhara bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…