Pre GE2025 Luhaga Mpina: Nchi sita za Afrika zilizopindua Serikali zao zilikuwa sahihi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Shukrani mkuu, ni kweli hawajafika Ila wapo step ahead 🙏🏽
 
Kuna watu wanaodhani kuwa CCM hakuna wasafi,

Mimi nakataa,

Ndani ya CCM wapo wazalendo wengi tu, Mpina ni MMOJA wao.
Si kweli. CCM ina watu wa aina tatu tu:
1. Mafisadi
2. Opportunists; na
3. Weirdos

Samahani kwa kuchanganya lugha lakini kuna maneno yanaeleweka vizuri zaidi katika hizo lugha.
 
Uchambuzi wako juu ya makundi hayo ni hafifu sana.

Wazalendo ndani ya CCM huwezi kuwatia wajinga.
Sawa mkuu.Huwezi kuniambia kuwa mimi ni rafiki wako wa damu wakati umenifuma laivu na mke wako hata kama nikupe pesa shilingi ngapi kama wewe si mjinga,Ila kama kuna kaujinga fulani utanisamehe na mke wako utamsamehe na maisha yakiendelea huku ukiendelea kuugulia moyoni.
 
Mfano huo pia ni BATILI🤔
 
Kwa spidi hii ya ukopaji na wizi wa pesa za mikopo,

Mpina Uko sahihi.
 
Mfaidika na mfumo mpuuzi mmoja
 
Yuko sahihi.
 
huyo mshamba wa kisukuma mbona hakuyasema hayo wakati yule mshamba mwenzake maana ndiyo kipindi ukiukwaji wa haki za binadamu ulikuwa wa kupindukia. Uwaziri haulazimishwi kwa upumbavu wake huo. Atulize tako naona amechanganyikiwa kiasi sijui km anaweza kutibika tena. Kipindi cha Magu ufisadim ulikuwa wa kutisha sema hakuna aliyeweza kusema chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…