kwa maoni na mtazamo wake, ni haki na uhuru wake kuona mapinduzi yale kama alivyosema kwenye maoni yake,
lakini hayawezi kiathiri wala kudhoofisha kwa namna yoyote ile msimamao wa Tanzania, sambamba na msimamo wa umoja wa Africa...
taasisi hiyo kubwa barani Africa,
inaendeshwa kwa kanuni, taratibu na sheria za kimataifa walizo kubaliana kiziheshimu na kuzifuata collectively wanachama wote....
hata hivyo,
nchi hizo haziwezi kufungiwa nje ya umaja huo daima. Yapo mazungumzo yanaendelea hivi sasa miongoni mwao, hatimae kurejea kwenye utawala wa kiraia. Matumani ni makubwa nchi hizo kurejeshewa uanachana wao wa AU, ulio sitishwa au kusimamishwa kwa muda........
Mataifa mbalimbali ulimwenguni, mathalani Russia wanakusidia kufungua balozi zao katika nchi hizo hivi karibuni