Pre GE2025 Luhaga Mpina: Nchi sita za Afrika zilizopindua Serikali zao zilikuwa sahihi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kazi ya Katiba ya nchi siyo kuleta chakula mezani pa mtu yoyote yule. Watu wenye mawazo kama haya ni wale Watu ambao wana akili kiduchu, akili ndogo, wenye akili fupi au akili-mbilikimo.
Je, nchi gani hasa hapa duniani ambayo ina Katiba yenye kuleta chakula mezani kwa Wananchi wake?
 
Hapo kwenye wizi wa kura Tanzania itahusika soon kama CCM wasipoacha uharamia wao kwenye sanduku la kura.
Na siku zote nimesema kuwa kama nchi hii itakujaingia kwenye machafuko na umwagaji damu basi chanzo ni CCM kwa kupindua maoni na matakwa ya wananchi kupitia sanduku la kura kwa tabia yao iliyokubuhu ya wizi wa kura.
 
Sasa hiyo Katiba yenu itatusaidia nini?
 
Ninaungo mikono hoja.
 
Gadaffi alivyopindua serikali, watu wake waliishi vema
 
Kimataifa yapi? Ya Afrika ama ya nchi za Magharibi? Ie; Ulaya, Marekani nk?


Na kwanini hiyo Taasisi inafanya unafiki wa kudeal na matokeo ya matatizo na sio matatizo na vyanzo vyake?

Hivi, yakitokea Mapinduzi Uganda sasa hivi ama Rwanda, nao watatengwa kwanza? Hawaoni kinachoendelea sasa hivi kabla Mapinduzi hayajatokea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…