Pre GE2025 Luhaga Mpina: Unakuta waziri mwizi, katibu mkuu mwizi ukimbana kwenye wizi anasema wewe huipendi CCM

Pre GE2025 Luhaga Mpina: Unakuta waziri mwizi, katibu mkuu mwizi ukimbana kwenye wizi anasema wewe huipendi CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameeleza kuwa baadhi ya viongozi serikalini wamekuwa wakitumia mizengwe dhidi ya watu wanaoibua ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Soko la Idarafuma kata ya Nyakafuru Wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita, Mpina amesema kuwa viongozi hao hutumia mbinu za kujihami dhidi ya wale wanaosema ukweli.

Mpina amefafanua kuwa kila anapojaribu kuzungumzia suala la ufisadi, hukutana na kashfa inayosema kuwa hana mapenzi na chama cha CCM.


Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameeleza kuwa baadhi ya viongozi serikalini wamekuwa wakitumia mizengwe dhidi ya watu wanaoibua ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Soko la Idarafuma kata ya Nyakafuru Wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita, Mpina amesema kuwa viongozi hao hutumia mbinu za kujihami dhidi ya wale wanaosema ukweli.

Mpina amefafanua kuwa kila anapojaribu kuzungumzia suala la ufisadi, hukutana na kashfa inayosema kuwa hana mapenzi na chama cha CCM.

View attachment 3258485

Hivi nani huko kwenye hicho Chama chao ambaye siyo mwizi?
 
Kama yeye siyo MWIZI bassi bwana LUHAGA MPINA AZICHAPISHE FOMU ZAKE alizojaza tume ya maadili ya VIONGOZI ILI UMMA UZI DURUSU
 
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameeleza kuwa baadhi ya viongozi serikalini wamekuwa wakitumia mizengwe dhidi ya watu wanaoibua ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Soko la Idarafuma kata ya Nyakafuru Wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita, Mpina amesema kuwa viongozi hao hutumia mbinu za kujihami dhidi ya wale wanaosema ukweli.

Mpina amefafanua kuwa kila anapojaribu kuzungumzia suala la ufisadi, hukutana na kashfa inayosema kuwa hana mapenzi na chama cha CCM.

View attachment 3258485
Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hata yeye mwenyewe Luhaga Mpina ni mwizi ANAROPOKA hivi kwa kuwa yuko nje ya MFUMO. Ana ekari zaidi ya 1,000 Mvomero tuambieni alizipataje kama siyo ufisadi. ??

Mfumo ukiku eject basi kwisha kazi
 
Yeye ni msafi kiasi gani dhidi ya wizi na rushwa?

Isijekuwa anaonea wenzake wivu kwa kupata fursa za kuiba, ila na yeye ni mwizi anayesugua benchi
 
Kama kweli ni mzalendo na anaipenda nchi yake asitafute umaarufu ambao hauna faida Ila aachane na hicho chama kwakuwa ipo wazi kuwa huko upigaji umetamalaki Sana.

Maana hauwezi kusukuma Gari ukiwa ndani ya hilo gari
Hii mipasho mingine hata haina maana yoyote. "Huwezi kusukuma gari...".

Una maana mageuzi hayawezi kufanyika huko huko ndani ya CCM, bila ya wasiotaka hayo madudu kujiengua huko?
Maana yako ni kwamba njia pekee kwa waliomo CCM lakini wanachukizwa na hilo la ufisadi njia pekee iliyo baki kwao ni kujiengua huko badala ya kupambania huko huko kubadilisha hali hiyo?
 
Hata yeye mwenyewe Luhaga Mpina ni mwizi ANAROPOKA hivi kwa kuwa yuko nje ya MFUMO. Ana ekari zaidi ya 1,000 Mvomero tuambieni alizipataje kama siyo ufisadi. ??

Mfumo ukiku eject basi kwisha kazi
Hizo "ekari 1,000" unao uhakika zilipatikana kifisadi?
Hebu tueleze ilikuwa kuwaje hadi akazipata kwa njia za kifisadi.
Kwa hiyo hapa hoja yako ni kutaka anyamaze kwa vile naye ni fisadi? Samia kanyamazia ufisadi kwa kuwa ni fisadi?

Suluhisho lililobaki kwa maoni yako ni kunyamazia ufisadi ndani ya Tanzania?
Unakiri kabisa, kwamba "mfumo" uliopo huko CCM ni wa kifisadi!
 
Hizo "ekari 1,000" unao uhakika zilipatikana kifisadi?
Hebu tueleze ilikuwa kuwaje hadi akazipata kwa njia za kifisadi.
Kwa hiyo hapa hoja yako ni kutaka anyamaze kwa vile naye ni fisadi? Samia kanyamazia ufisadi kwa kuwa ni fisadi?

Suluhisho lililobaki kwa maoni yako ni kunyamazia ufisadi ndani ya Tanzania?
Unakiri kabisa, kwamba "mfumo" uliopo huko CCM ni wa kifisadi!
Luhaga Mpina ni loser tu. Ufisadi wa CCM ni kitu cha kawaida hakijaanza leo, hata role model wake Magufuli alikuwa fisadi tu.

Kwa hiyo sitaki tuondolewe kwenye reli kwa kelele za mtu ambaye ni fisadi ila kaondolewa kwenye channel
 
Luhaga Mpina ni loser tu. Ufisadi wa CCM ni kitu cha kawaida hakijaanza leo, hata role model wake Magufuli alikuwa fisadi tu.

Kwa hiyo sitaki tuondolewe kwenye reli kwa kelele za mtu ambaye ni fisadi ila kaondolewa kwenye channel
Eeeh Bhwanah!
Kumbe mpo kwenye "reli"..., ipi? Hii reli anayoiongoza Samia?
Luhaga Mpina anataka "kuwaondoa kwenye reli?
 
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameeleza kuwa baadhi ya viongozi serikalini wamekuwa wakitumia mizengwe dhidi ya watu wanaoibua ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Soko la Idarafuma kata ya Nyakafuru Wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita, Mpina amesema kuwa viongozi hao hutumia mbinu za kujihami dhidi ya wale wanaosema ukweli.

Mpina amefafanua kuwa kila anapojaribu kuzungumzia suala la ufisadi, hukutana na kashfa inayosema kuwa hana mapenzi na chama cha CCM.

View attachment 3258485
Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Si awafungulie kesi?
 

Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina ameeleza kuwa baadhi ya viongozi Serikalini wamekuwa wakitumia mizengwe dhidi ya watu wanaoibua ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Soko la Idarafuma kata ya Nyakafuru Wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita, Mpina amesema kuwa viongozi hao hutumia mbinu za kujihami dhidi ya wale wanaosema ukweli.

Mpina amefafanua kuwa kila anapojaribu kuzungumzia suala la ufisadi, hukutana na kashfa inayosema kuwa hana mapenzi na chama cha CCM.

Chanzo: Clouds TV
 
Mpina ondoka huko kunanuka RUSHWA njoo CHADEMA.
 
Back
Top Bottom