Nawe unaamini kikatiba, chama kikikufukuza Kwa kutumia Katiba Yao, mahakama unaweza kuzuia kufukuzwa kwako?Ndio, aende mahakamani kukwamisha kufukuzwa.
Jifunze hata kwenye mpira, Wambura Mwanasheria alipotimuliwa TFF, hakutoboa mahakamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe unaamini kikatiba, chama kikikufukuza Kwa kutumia Katiba Yao, mahakama unaweza kuzuia kufukuzwa kwako?Ndio, aende mahakamani kukwamisha kufukuzwa.
Umenena vyema,CCM ndio kwanza inakaribia chorus(kolasi) ya muziki wa kuongoza nchi, sasa piga picha ikianza nzawisha
LUHAGA MPINA katika Ubora wake, amethibitisha Ule msemo unaosema NATURE DOES NOT ALLOW VACUUMLuhaga Mpina umekuwa machachari sana kuiwajibisha serikali ya chama chako tofauti na wabunge wenzako wengine wote wa chama chako. Kama utaendelea na mwendo huo unaweza kuleta mabadiliko makubwa mno ukiwa ndani ya CCM kuliko nje yake.
Wewe sasa hivi unachukuliwa kama nembo ya ujasiri ndani ya chama chako kama vile alivyokuwa Benard Membe. Tofauti na wakati wa Membe sasa mazingira ya kufanya siasa yameboreka kiasi na ndio maana mpaka sasa hujaitwa na kamati ya maadili na hakuna dalili za kukufukuza kutoka ndani ya chama au kuundiwa zengwe lolote.
Usizifuate njia za Lowassa, Slaa, Nyalandu na Membe za kuhama chama, wananchi wengi wamezichoka siasa za aina hiyo, utawapoteza kujitoa katika chama chako.
Mkuu ujasiri wa kukiuka kasumba ya “zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi” sio swala la mchezo mchezo ujueThis guy is overrated
Mpina yupo wrong party anapaswa kuja CHADEMA ili awaweze kutimiza wito wake vizuri, karibu sana ndugu Luhaga kwenye wapiganaji wa kweli.Luhaga Mpina umekuwa machachari sana kuiwajibisha serikali ya chama chako tofauti na wabunge wenzako wengine wote wa chama chako. Kama utaendelea na mwendo huo unaweza kuleta mabadiliko makubwa mno ukiwa ndani ya CCM kuliko nje yake.
Wewe sasa hivi unachukuliwa kama nembo ya ujasiri ndani ya chama chako kama vile alivyokuwa Benard Membe. Tofauti na wakati wa Membe sasa mazingira ya kufanya siasa yameboreka kiasi na ndio maana mpaka sasa hujaitwa na kamati ya maadili na hakuna dalili za kukufukuza kutoka ndani ya chama au kuundiwa zengwe lolote.
Usizifuate njia za Lowassa, Slaa, Nyalandu na Membe za kuhama chama, wananchi wengi wamezichoka siasa za aina hiyo, utawapoteza kujitoa katika chama chako.
Mbona wakina Mdee, Bulaya, Nusrat n.k wametoboa?Nawe unaamini kikatiba, chama kikikufukuza Kwa kutumia Katiba Yao, mahakama unaweza kuzuia kufukuzwa kwako?
Jifunze hata kwenye mpira, Wambura Mwanasheria alipotimuliwa TFF, hakutoboa mahakamani.
huyu ni mtu anaandaliwa kama Membe ,akachafue upinzani kisha arudi nyumbaniLuhaga Mpina umekuwa machachari sana kuiwajibisha serikali ya chama chako tofauti na wabunge wenzako wengine wote wa chama chako. Kama utaendelea na mwendo huo unaweza kuleta mabadiliko makubwa mno ukiwa ndani ya CCM kuliko nje yake.
Wewe sasa hivi unachukuliwa kama nembo ya ujasiri ndani ya chama chako kama vile alivyokuwa Benard Membe. Tofauti na wakati wa Membe sasa mazingira ya kufanya siasa yameboreka kiasi na ndio maana mpaka sasa hujaitwa na kamati ya maadili na hakuna dalili za kukufukuza kutoka ndani ya chama au kuundiwa zengwe lolote.
Usizifuate njia za Lowassa, Slaa, Nyalandu na Membe za kuhama chama, wananchi wengi wamezichoka siasa za aina hiyo, utawapoteza kujitoa katika chama chako.
www.jamiiforums.com
Ulitaka afanye nini ?.This guy is overrated