Luhaga Mpina: Wanaomsifia Rais Samia ndio hao wanaoongoza kwa kumhujumu na kufanya uovu

Luhaga Mpina: Wanaomsifia Rais Samia ndio hao wanaoongoza kwa kumhujumu na kufanya uovu

Kweli wewe jamaa punguani kweli amemtaja mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya meatu , au uchawa umehamisha ufikiri wako kutoka kichwani kwenda makalioni ?
Afikishe taarifa zake Takukuru.Kwamba mpina anajua wezi.kukiko Takukuru na usalama waliopo hapo wikayani plus DC?
 
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema wanaomsifia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ndio hao wanaoongoza kwa kumhujumu na kufanya uovu.

Mpina ametoa kauli hiyo wakati akiwa ziarani jimboni humo ambapo amebaini ubadhirifu wa fedha za miradi ya ujenzi wa shule ambazo hazionekani kutekeleza miradi, huku kukiwa na udanganyifu katika uidhinishaji wa malipo pamoja na kumsajili mkandarasi hewa, ambapo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu ndiye anayedaiwa kuhusika katika hayo.

"Huyu mtu kama ni kukamatwa akamatwe atumie mafungu yake alipe hizi fedha za umma jumla ya shilingi milioni 402 ziletwe."

"Huyu Mama Rais wetu Samia Suluhu Hassan watu wanapenda tu kusema maneno, Rais wetu tunampenda, nani kama Samia huku wanamhujumu usiku na mchana, fedha zinaliwa halafu aliyekula hizo fedha ndio wa kwanza kufanya makongamano eti ya kumpongeza Rais na kumwombea ili kuficha uovu, akizungumza neno moja 'Mama Samia' utadhani ni mwema mno, hawa akina Mpina wanaosema wanageuzwa wao ndio maadui wa Rais," amesema Mpina.

View attachment 3199466
Mwamba karudi kumbe
 
Luhaga mpina amedhulumu ardhi ya wanakijiji Morogoro, matrekta yake yanalima mpaka kwenye milango yao, amedhulumu maelfu ya ekari
Umewahi kufika kwenye haya mashamba au unaleta umbeya wa mitandaoni ?
 
Mbona hawataki hao waliokula Fedha za umma?

Anajikosha tuu hana lolote.

Wanaomsigia Rais wanaonesha hela alizotoa na kioichofanyika Sasa kama yeye ameona hela zimeliwa sehemu ndio awataje Ili nae amsifie Rais Kwa utaratibu huo.
Mpina toka atolewe uwaziri kichwa chake kimevurugika mno

Kule kwenye uwaziri kulikuwa na kitu.kikubwa alichokuwa akifaidi

Wataalamu wa saikolojia msaidieni hayuko sawa kichwani huyo
 
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema wanaomsifia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ndio hao wanaoongoza kwa kumhujumu na kufanya uovu.

Mpina ametoa kauli hiyo wakati akiwa ziarani jimboni humo ambapo amebaini ubadhirifu wa fedha za miradi ya ujenzi wa shule ambazo hazionekani kutekeleza miradi, huku kukiwa na udanganyifu katika uidhinishaji wa malipo pamoja na kumsajili mkandarasi hewa, ambapo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu ndiye anayedaiwa kuhusika katika hayo.

"Huyu mtu kama ni kukamatwa akamatwe atumie mafungu yake alipe hizi fedha za umma jumla ya shilingi milioni 402 ziletwe."

"Huyu Mama Rais wetu Samia Suluhu Hassan watu wanapenda tu kusema maneno, Rais wetu tunampenda, nani kama Samia huku wanamhujumu usiku na mchana, fedha zinaliwa halafu aliyekula hizo fedha ndio wa kwanza kufanya makongamano eti ya kumpongeza Rais na kumwombea ili kuficha uovu, akizungumza neno moja 'Mama Samia' utadhani ni mwema mno, hawa akina Mpina wanaosema wanageuzwa wao ndio maadui wa Rais," amesema Mpina.

View attachment 3199466
Japo ametia chumvi ila kanuni za manunuzi ya Umma haziruhusu mtu mmja kuwa na miradi zaidi ya mmja ndani ya Halmashauri Moja.

Hoja sio wa wapi katokea Kwa sababu hiyo ni open tendering ila haitakiwi kuwa na tenda zaidi ya Moja eneo Moja.

Na mwisho Kwa nini hajaanza kazi ? Pamoja na kutia chumvi ila Mpina ana hoja ,aliyeshinda tenda hana uwezo, Serikali ifukuze hao DED na DC wa huko.
 
Urefu wa kamba mpaka kwa Mbowe .. safari hii nchi imepatwa Bi Ushungi anatupiga za chembe.. ndio maana machawa wa Ushungi wanapigana kufa na kupona Mbowe aendelee na uenyekiti.
 
Nimefika na kujihakikishia kwamba Luhaga ni fisadi
Hebu tueleze wewe chawa ukitaka kufika huko kwenye mashamba aliyodhulumu wananchi unapanda magari ya wapi na unashukia wapi ili kufika huko ?eleza usitake kuleta hoja za kipumbavu.
 
Back
Top Bottom