ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Afikishe taarifa zake Takukuru.Kwamba mpina anajua wezi.kukiko Takukuru na usalama waliopo hapo wikayani plus DC?Kweli wewe jamaa punguani kweli amemtaja mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya meatu , au uchawa umehamisha ufikiri wako kutoka kichwani kwenda makalioni ?
Mwamba karudi kumbeMbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema wanaomsifia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ndio hao wanaoongoza kwa kumhujumu na kufanya uovu.
Mpina ametoa kauli hiyo wakati akiwa ziarani jimboni humo ambapo amebaini ubadhirifu wa fedha za miradi ya ujenzi wa shule ambazo hazionekani kutekeleza miradi, huku kukiwa na udanganyifu katika uidhinishaji wa malipo pamoja na kumsajili mkandarasi hewa, ambapo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu ndiye anayedaiwa kuhusika katika hayo.
"Huyu mtu kama ni kukamatwa akamatwe atumie mafungu yake alipe hizi fedha za umma jumla ya shilingi milioni 402 ziletwe."
"Huyu Mama Rais wetu Samia Suluhu Hassan watu wanapenda tu kusema maneno, Rais wetu tunampenda, nani kama Samia huku wanamhujumu usiku na mchana, fedha zinaliwa halafu aliyekula hizo fedha ndio wa kwanza kufanya makongamano eti ya kumpongeza Rais na kumwombea ili kuficha uovu, akizungumza neno moja 'Mama Samia' utadhani ni mwema mno, hawa akina Mpina wanaosema wanageuzwa wao ndio maadui wa Rais," amesema Mpina.
View attachment 3199466
Luhaga mpina amedhulumu ardhi ya wanakijiji Morogoro, matrekta yake yanalima mpaka kwenye milango yao, amedhulumu maelfu ya ekariHapa atakorofishana na kina chiembe na ChoiceVariable
Umewahi kufika kwenye haya mashamba au unaleta umbeya wa mitandaoni ?Luhaga mpina amedhulumu ardhi ya wanakijiji Morogoro, matrekta yake yanalima mpaka kwenye milango yao, amedhulumu maelfu ya ekari
Nimefika na kujihakikishia kwamba Luhaga ni fisadiUmewahi kufika kwenye haya mashamba au unaleta umbeya wa mitandaoni ?
Mpina toka atolewe uwaziri kichwa chake kimevurugika mnoMbona hawataki hao waliokula Fedha za umma?
Anajikosha tuu hana lolote.
Wanaomsigia Rais wanaonesha hela alizotoa na kioichofanyika Sasa kama yeye ameona hela zimeliwa sehemu ndio awataje Ili nae amsifie Rais Kwa utaratibu huo.
Aambiwe kwamba Samia hapongezwi Kwa porojo Bali vitu vinavyoonekana kama hivi π πMpina toka atolewe uwaziri kichwa chake kimevurugika mno
Kule kwenye uwaziri kulikuwa na kitu.kikubwa alichokuwa akifaidi
Wataalamu wa saikolojia msaidieni hayuko sawa kichwani huyo
Anaishi na maumivu makubwa brother Mpina, alitamani JPM awe rais mpaka muda huu lakini hayo sio mapenzi ya Mungu.Hana akili huyo anajikosha tuu.
Mpina Yuko desperate na Kwa taarifa yake tuu pongezi zinazidi kumiminika ππAnaishi na maumivu makubwa brother Mpina, alitamani JPM awe rais mpaka muda huu lakini hayo sio mapenzi ya Mungu.
Aliupinga uwekezaji wa DP World pale bandarini akaangukia pua, amefungua kesi dhidi ya uongozi wa bunge na zote kashindwa.
Mwambieni amsikilize Waziri hapa na aseme Je Wanamsifia Rais NJ uongo au ukweli?Mpina toka atolewe uwaziri kichwa chake kimevurugika mno
Kule kwenye uwaziri kulikuwa na kitu.kikubwa alichokuwa akifaidi
Wataalamu wa saikolojia msaidieni hayuko sawa kichwani huyo
Hangaya alishasema watendaji wale kulingana na urefu wa kamba zao!Nasikia mama anatoa 100 Kisha mnatumia 20 then 80 mnaweka mfukoni mnapiga makofi then mnasema mitano tena kwa mama
Ni kweli kabisa ndio maana wanaendelea kula kama wanavyokula hapa Kilwa ππHangaya alishasema watendaji wale kulingana na urefu wa kamba zao!
Japo ametia chumvi ila kanuni za manunuzi ya Umma haziruhusu mtu mmja kuwa na miradi zaidi ya mmja ndani ya Halmashauri Moja.Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema wanaomsifia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ndio hao wanaoongoza kwa kumhujumu na kufanya uovu.
Mpina ametoa kauli hiyo wakati akiwa ziarani jimboni humo ambapo amebaini ubadhirifu wa fedha za miradi ya ujenzi wa shule ambazo hazionekani kutekeleza miradi, huku kukiwa na udanganyifu katika uidhinishaji wa malipo pamoja na kumsajili mkandarasi hewa, ambapo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu ndiye anayedaiwa kuhusika katika hayo.
"Huyu mtu kama ni kukamatwa akamatwe atumie mafungu yake alipe hizi fedha za umma jumla ya shilingi milioni 402 ziletwe."
"Huyu Mama Rais wetu Samia Suluhu Hassan watu wanapenda tu kusema maneno, Rais wetu tunampenda, nani kama Samia huku wanamhujumu usiku na mchana, fedha zinaliwa halafu aliyekula hizo fedha ndio wa kwanza kufanya makongamano eti ya kumpongeza Rais na kumwombea ili kuficha uovu, akizungumza neno moja 'Mama Samia' utadhani ni mwema mno, hawa akina Mpina wanaosema wanageuzwa wao ndio maadui wa Rais," amesema Mpina.
View attachment 3199466
Hebu tueleze wewe chawa ukitaka kufika huko kwenye mashamba aliyodhulumu wananchi unapanda magari ya wapi na unashukia wapi ili kufika huko ?eleza usitake kuleta hoja za kipumbavu.Nimefika na kujihakikishia kwamba Luhaga ni fisadi
Acha ujinga kichwa kileNimefika na kujihakikishia kwamba Luhaga ni fisadi
π Anamwogopa LissuMfano Lucas Mwashambwa sasa yuko kwa Mbowe πππ