Luhaga Mpina: Waziri Bashe na Mwigulu walitengeneza uhaba wa sukari nchini, zilikuwa njama za kuiba mapato ya nchi

Luhaga Mpina: Waziri Bashe na Mwigulu walitengeneza uhaba wa sukari nchini, zilikuwa njama za kuiba mapato ya nchi

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
luhaga mpinaa.jpg

Katika Mkutano wa wake na Waandishi wa Habari leo 14/6/2024, wakati akitoa uthibitisho alioambiwa aupeleke na Spika wa Bunge ndani ya siku 10, Luhaga Mpina amesema;

"Hapakuwa na usimamizi wa bei nchini kwani hata pale sukari ilipopatikana kwa bei ndogo nje ya nchi bado iliuzwa kwa kubwa hapa nchini ambapo mfuko wa Kilo 50 uliuzwa Tsh. 145,000. Rejea risiti Na. ya TRA ya EFD Na. 32 ya tarehe 22 Februari 2024 na risiti yenye verification code Na.28630946606 ya tarehe 23 Februari 2024 zilizotolewa na Kampuni ya Mohammed Enterprises (T) Limited katika ofisi za Dar es Salaam.

mwiguu.jpg

"Mawaziri hawa walitengeneza uhaba wa sukari, kutoa vibali vya kuagiza sukari zaidi ya mahitaji, kuruhusu sukari inayoingizwa kwa msamaha wa kodi kuuzwa kwa bei kubwa kinyume cha sheria.

"Pia msamaha huo wa kodi unapelekea Serikali kupoteza mapato ya Tsh. Bilioni 580 na kuwawezesha wafanyabiashara kupata faida ya ziada zaidi ya Tsh. Bilioni 465. Kwa maoni yangu hizi ni njama zilizosukwa na baadhi ya Viongozi na watendaji wa Serikali kuiba mapato ya nchi."


bashe.jpeg

Pia soma: Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
 
Katika Mkutano wa wake na Waandishi wa Habari leo, wakati akitoa uthibitisho alioambiwa aupeleke na Spika wa Bunge ndani ya siku 10, Luhaga Mpina amesema...
Mpina unazungumza sana,nadhani toka ushindwe kusimamia uvuvi hadi Mjomba Magu akakutema,umepoteza muelekeo. Huwezi kuaminika kutokana ulivyoua uvuvi.Sasa imebakia na mock debate.
 
Mpina kwa sasa mwili wake ni ccm ila moyo wake ni Chadema!

Mavazi tu yanaashiria hivo!

Kikawada, maisha yetu ni mafupi sana, Mungu akikupa Nafasi ya kuongoza watu, tendea haki nafasi hiyo na uoneshe kwa dhati ya moyo Kwamba, Mungu hakukosea kukupa nafasi hiyo na ikiwezekana, itendee haki na kuwatendea haki watu wote, ilu iwe sehemu ya kumshawishi Mungu kukupa nafasi ya juu zaidi


Goo goo goo Mpina
 

Katika Mkutano wa wake na Waandishi wa Habari leo 14/6/2024, wakati akitoa uthibitisho alioambiwa aupeleke na Spika wa Bunge ndani ya siku 10, Luhaga Mpina amesema;

"Hapakuwa na usimamizi wa bei nchini kwani hata pale sukari ilipopatikana kwa bei ndogo nje ya nchi bado iliuzwa kwa kubwa hapa nchini ambapo mfuko wa Kilo 50 uliuzwa Tsh. 145,000. Rejea risiti Na. ya TRA ya EFD Na. 32 ya tarehe 22 Februari 2024 na risiti yenye verification code Na.28630946606 ya tarehe 23 Februari 2024 zilizotolewa na Kampuni ya Mohammed Enterprises (T) Limited katika ofisi za Dar es Salaam.


"Mawaziri hawa walitengeneza uhaba wa sukari, kutoa vibali vya kuagiza sukari zaidi ya mahitaji, kuruhusu sukari inayoingizwa kwa msamaha wa kodi kuuzwa kwa bei kubwa kinyume cha sheria.

"Pia msamaha huo wa kodi unapelekea Serikali kupoteza mapato ya Tsh. Bilioni 580 na kuwawezesha wafanyabiashara kupata faida ya ziada zaidi ya Tsh. Bilioni 465. Kwa maoni yangu hizi ni njama zilizosukwa na baadhi ya Viongozi na watendaji wa Serikali kuiba mapato ya nchi."


Yaani hawa wanatakiwa kujiuzulu. Kama kuna wanapewa kibali kuingiza bidhaa bila kulipia ushuru halafu bado bei ni ileile kutokana na wao kwa kusudi au kushindwa kuweka udhibiti wanaendelea kufanya nini wakati wamekosesha serikali mapato ya kodi bila matokeo ya kushuka bei kwa wananchi.
 

Katika Mkutano wa wake na Waandishi wa Habari leo 14/6/2024, wakati akitoa uthibitisho alioambiwa aupeleke na Spika wa Bunge ndani ya siku 10, Luhaga Mpina amesema;

"Hapakuwa na usimamizi wa bei nchini kwani hata pale sukari ilipopatikana kwa bei ndogo nje ya nchi bado iliuzwa kwa kubwa hapa nchini ambapo mfuko wa Kilo 50 uliuzwa Tsh. 145,000. Rejea risiti Na. ya TRA ya EFD Na. 32 ya tarehe 22 Februari 2024 na risiti yenye verification code Na.28630946606 ya tarehe 23 Februari 2024 zilizotolewa na Kampuni ya Mohammed Enterprises (T) Limited katika ofisi za Dar es Salaam.


"Mawaziri hawa walitengeneza uhaba wa sukari, kutoa vibali vya kuagiza sukari zaidi ya mahitaji, kuruhusu sukari inayoingizwa kwa msamaha wa kodi kuuzwa kwa bei kubwa kinyume cha sheria.

"Pia msamaha huo wa kodi unapelekea Serikali kupoteza mapato ya Tsh. Bilioni 580 na kuwawezesha wafanyabiashara kupata faida ya ziada zaidi ya Tsh. Bilioni 465. Kwa maoni yangu hizi ni njama zilizosukwa na baadhi ya Viongozi na watendaji wa Serikali kuiba mapato ya nchi."


CCM WOTE NI WAPIGAJI
 
Mpina unazungumza sana,nadhani toka ushindwe kusimamia uvuvi hadi Mjomba Magu akakutema,umepoteza muelekeo.Huwezi kuaminika kutokana ulivyoua uvuvi.Sasa imebakia na mock debate.
Wewe hujui hata kinachoendelea saizi kwenye Uvuvi! samaki hamna Mama yenu na Ulega waziri wa uvuvi ameachia uvuvi haramu utamaraki!
Mpina alijitahidi sana kwenye Uvuvi sema kwa vile tunapenda ujinga ujinga ndo maana hadi sasa viwanda vya samaki havipati tena samaki wa kutosha!
 

Katika Mkutano wa wake na Waandishi wa Habari leo 14/6/2024, wakati akitoa uthibitisho alioambiwa aupeleke na Spika wa Bunge ndani ya siku 10, Luhaga Mpina amesema;

"Hapakuwa na usimamizi wa bei nchini kwani hata pale sukari ilipopatikana kwa bei ndogo nje ya nchi bado iliuzwa kwa kubwa hapa nchini ambapo mfuko wa Kilo 50 uliuzwa Tsh. 145,000. Rejea risiti Na. ya TRA ya EFD Na. 32 ya tarehe 22 Februari 2024 na risiti yenye verification code Na.28630946606 ya tarehe 23 Februari 2024 zilizotolewa na Kampuni ya Mohammed Enterprises (T) Limited katika ofisi za Dar es Salaam.


"Mawaziri hawa walitengeneza uhaba wa sukari, kutoa vibali vya kuagiza sukari zaidi ya mahitaji, kuruhusu sukari inayoingizwa kwa msamaha wa kodi kuuzwa kwa bei kubwa kinyume cha sheria.

"Pia msamaha huo wa kodi unapelekea Serikali kupoteza mapato ya Tsh. Bilioni 580 na kuwawezesha wafanyabiashara kupata faida ya ziada zaidi ya Tsh. Bilioni 465. Kwa maoni yangu hizi ni njama zilizosukwa na baadhi ya Viongozi na watendaji wa Serikali kuiba mapato ya nchi."


Mpina haipendi CCM ya Kazimkazi.
 

Katika Mkutano wa wake na Waandishi wa Habari leo 14/6/2024, wakati akitoa uthibitisho alioambiwa aupeleke na Spika wa Bunge ndani ya siku 10, Luhaga Mpina amesema;

"Hapakuwa na usimamizi wa bei nchini kwani hata pale sukari ilipopatikana kwa bei ndogo nje ya nchi bado iliuzwa kwa kubwa hapa nchini ambapo mfuko wa Kilo 50 uliuzwa Tsh. 145,000. Rejea risiti Na. ya TRA ya EFD Na. 32 ya tarehe 22 Februari 2024 na risiti yenye verification code Na.28630946606 ya tarehe 23 Februari 2024 zilizotolewa na Kampuni ya Mohammed Enterprises (T) Limited katika ofisi za Dar es Salaam.


"Mawaziri hawa walitengeneza uhaba wa sukari, kutoa vibali vya kuagiza sukari zaidi ya mahitaji, kuruhusu sukari inayoingizwa kwa msamaha wa kodi kuuzwa kwa bei kubwa kinyume cha sheria.

"Pia msamaha huo wa kodi unapelekea Serikali kupoteza mapato ya Tsh. Bilioni 580 na kuwawezesha wafanyabiashara kupata faida ya ziada zaidi ya Tsh. Bilioni 465. Kwa maoni yangu hizi ni njama zilizosukwa na baadhi ya Viongozi na watendaji wa Serikali kuiba mapato ya nchi."


😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom