Luhaga Mpina: Waziri Mwigulu Nchemba anahusika na ufisadi wa trilioni 1.7 mradi wa SGR

Luhaga Mpina: Waziri Mwigulu Nchemba anahusika na ufisadi wa trilioni 1.7 mradi wa SGR

Waziri wa zamani wa uvuvi Ruhaga mpina ametoa tuhuma kwa waziri wa fedha mwigulu Nchemba kuwa ameiibia serkali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .

Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.

Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi

USSR View attachment 2595078
😂😂😂
 
MPINA: WAZIRI MWIGULU ANAHUSIKA NA UFISADI WA TRILIONI 1.7 MRADI WA SGR

"Kulikuwa na kutokufuata sheria ya manunuzi wakati wa kutoa zabuni ya mradi wa SGR.Kwa mujibu wa ripoti ya CAG ya mwaka 2021/2022 inaonyesha kuwa gharama ya ujenzi wa SGR Lot. Na. 3 na Lot. Na. 4 ziliongezeka kwa dola za Marekani milioni 1.3 na milioni 1.6 kwa kilomita moja ya SGR baada ya TRC kuacha njia ya ushindani na kutumia njia ya Single Source na kusababisha hasara ya jumla ya Tsh. Trilioni 1.7 Licha ya PPRA na bodi ya zabuni ya TRC kukataa sharti la kutumia mzabuni mmoja, lakini TRC ilitoa zabuni hiyo kwa njia ya Single Source kwa kampuni ya Yapi Merkezi.Maamuzi haya yalitokana na
maelekezo ya Wizara ya Fedha na Mipango chini ya Waziri @mwigulunchemba1 kwa barua yenye Kumb: PST/GEN2021/01/55" Mhe.Luhaga Mpina Bungeni
 
Acheni kumchafuwa huyu waziri Ni kweli simkubali I'll kwa tuhuma hzo hpn ninkumchafua tu
Akanushe ili asafishwe........hata kama siyo kiasi hicho inawezekana watu wanataarifa zake.....usijipe mzigo kutetea wakati hata wewe ukweli huujui labda kama ni Kondakta wa mabus ya Ester............unapambania kibarua
 
Waziri wa zamani wa uvuvi Ruhaga mpina ametoa tuhuma kwa waziri wa fedha mwigulu Nchemba kuwa ameiibia serkali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .

Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.

Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi

USSR View attachment 2595078
Mwigulu anafaa kufungwa jiwe zito shingoni na kutupwa baharini akaliwe na mamba

Hafai Hata kidogo
 
Kumtetea Mwigulu ni ngumu mno. Ni mtu aliyeshindwa kabisa ku-control hisia zake za kuutaka urais. Ni waziri mwenye kiburi kilichopitiliza ambaye mara kwa mara amekuwa akituhumiwa kuwa na utajiri wa kufuru akimiliki mabasi na timu ya mpira. Pia anatajwa kuwa miongoni mwa watu waliofaidi papuchi ya Uwoya... kwa hilo la Irene nampongeza sana kwasababu kuichakata ile mbususu ni ndoto yangu ya miaka mingi kwahiyo Mwigulu katuwakilisha wananchi wengi. Ukaguzi ufanyike hela zilizotumika hadi Mh. Nchemba kufanikiwa kuchakata mbususu ile.
 
Kumtetea Mwigulu ni ngumu mno. Ni mtu aliyeshindwa kabisa ku-control hisia zake za kuutaka urais. Ni waziri mwenye kiburi kilichopitiliza ambaye mara kwa mara amekuwa akituhumiwa kuwa na utajiri wa kufuru akimiliki mabasi na timu ya mpira. Pia anatajwa kuwa miongoni mwa watu waliofaidi papuchi ya Uwoya... kwa hilo la Irene nampongeza sana kwasababu kuichakata ile mbususu ni ndoto yangu ya miaka mingi kwahiyo Mwigulu katuwakilisha wananchi wengi. Ukaguzi ufanyike hela zilizotumika hadi Mh. Nchemba kufanikiwa kuchakata mbususu ile.
Siku ukifanikisha kuchakata hiyo mbususu ujiandae pia na umezaji wa tembe
 
Back
Top Bottom